Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,923
- 1,148
kama ya mwaka 2005 inauzwa dola 1400 kwanini hiyo isiwe hiyo beiUwezekano upo ingawaje ni mdogo sana kwa gari yenye umri zaidi ya miaka 8 kutembea km 30 000 tu! Na isitoshe Volvo V50 iliyotembea km 30 000 tu kuuzwa dola 4 000 hapo hapana, labda kama umepewa zawadi lkn kwa bei ya sokoni siyo kweli!