Kisiwa cha Fiji wastani mtu mmoja anamiliki gari nne, tanzania watu elfu kumi wanamiliki gari moja bado tunawekeana mtimanyongo mawazo ya kimasikini tu.Hyo ndo Tra,nadhan wanazuia kila mtu kuwa na gar.
Kisiwa cha Fiji wastani mtu mmoja anamiliki gari nne, tanzania watu elfu kumi wanamiliki gari moja bado tunawekeana mtimanyongo mawazo ya kimasikini tu.Hyo ndo Tra,nadhan wanazuia kila mtu kuwa na gar.
Sasa Ku bargain watakutolea zaid ya $1000? Nani Ana muda wa kuja kuchoreshana hapo kwa $200? au mnasema tu mradi mnasema... Hampo fair bhanaKabla ya kulipa kodi agent wako huwa anapewa nafasi ya kufanya makadilio.baada ya kufanya makadilio ya kodi anapeleka Tra .tra wao wanafanya makadilio yao baadaye agent anapewa akubali au akatae Tatizo maagent hawanaga muda wa kubagein wanakubali tu ili walipwe chao pole sana hukuomba kupunguza bei kupitia agent wako
Mkuu humu kuna watu wazima kabisa wanakaribia kustaafu maisha. Bado wanatembelea gari za shemeji. Usipoteze muda kubishana. Hayo uliyoyasema mi yamenikuta mara mbili mara ya mwisho nidhani bora nipitishie gari znz nilikomaBarbabosa,
Kama kudanganya basi aliyedanganya ni yule aliyeniuzia. Mimi nimenunua gari online, na hiz ndizo details nilizopatiwa. Na hiyo valuation na kodi husika ilikokotolewa ka kutumia TRA Valaution Calculator. Ninavyozungumza hivi hata Shipping docs za hiyo gari zijazishika mkononi. Vinginevyo ninaweza kukutumia docs za manunuzi hujionee mwenyewe details za gari na manunuzi.
Ahsante kwa kunichallenge though...
Kwanza ninakupa pole lakini ninadhani kabla ya kuanza process ya kuagiza gari [baada ya kupata all specs] ungeenda TRA wakakufanyia provisional est ambayo ingekuwezesha kufanya maamuzi sahihi.Kwanza niaze kwa kusema kuwa sina nia ya KULETA UCHOCHEZI! Maana siku hizi kila jambo linalosemwa au kuandikwa ambalo linalenga kutofautiana au kukosoa mfumo mpya wa uongozi wa nchi yetu basi linatafsiriwa kama uchochezi. Siku hizi hatuna budi kufunga midomo yetu na kumuacha Rais wetu afanye kazi yake.
Nirudi kwenye hoja iliyonileta. Sasa mimi nina malalamiko na TRA valuation system ya magari. Nimemwagizia mama yangu gari kutoa Japan. Gari yenyewe ni Volvo V50. Ni ya mwaka 2009 na ina mileage ya 30k. CIF ya gari hii ni $4,455 (approx. Tshs 9,701,000). Sasa sijui kwa kigezo gani kilichotumika, TRA’s assessment ime-value gari kwa $10,884 (approx. Tshs 23,727,120). Sasa kulingana na valuation ya TRA, nimechajiwa ushuru wa Tshs. 15,477,959. Hebu jaribu ku-imagine gari ununue kwa milioni 9, halafu TRA wakuchaji ushuru wa milioni 15! How fair is that? Gari ya mwaka 2009, ambayo sio chakavu, inawezaje kuchajiwa kodi 15m??? Halafu cha kusikitisha zaidi ni kwamba hakuna room ya ku-negotiate.
Sasa basi, hivi ndivyo TRA walivyonipiga na ushuru wa kukatishana tamaa. Kulingana na invoice value ya gari (milioni 9), ushuru wake ni milioni 6. Hii ina maana, kama TRA wangetumia gharama nilizonunulia gari $4,455, basi ningechajiwa ushuru wa milioni 6 tu. Lakini kwa kuwa wamehamua ku-value gari, basi wameongeza nyongeza nyingine ya ushuru wa milioni 9. Hii ina maana kuwa, ile nyongeza ya valuation kutoka invoice value mpaka base value (milioni 23 – milioni 9 = milioni 14) ndiyo wameichaji ushuru wa milioni 9. So ushuru wa invoice value (milioni 6) + ushuru wa nyongeza iliyotokana na valuation (milioni 9) = ushuru wa milioni 15. Sijui niite huu ni uhuni au nini? Nakosa la kusema!
Kwa TRA kukomoa hivyo wanajaribu kutuma ujumbe gani? Tusiagize magari/vitu kutoka nje au ndo mambo ya ‘kumfanya kila Mtanzania haishi kama shetani”? Kwa style hii, kweli bandari yetu haitaacha kukauka?
Haya ni malalamiko yangu.
Ninadhani wanachokifanya ni wanachukua thamani ya hiyo gari kama ikiwa mpya halafu pengine wana consider depreciation value na thamani ya mwisho ndiyo huichukulia kama kigezo cha kodi stahiliHii ya TRA ni hatari balaa juzi mi niliwauliza gari Toyota Land Cruiser Prado ya 2002,4200cc nikaambiwa kodi ni sh milioni 19.6 hapo nikabroo mapigo,nikasema ngoja waendelee kuagiza wenye pesa
Hapa kazi tu!!
Wee kiazi kweli unayajua magari au unasikia kadanganya nin huyu jamaa was post ,unafikili tunavotumia magari sisi bongo na wenzetu wanatumia hivo?kuwa na km hizo mbpna possible uliza kwanza kabla hijakomentHiyo ni gari KUU KUU na hapo unadanganya/umedanganywa haiwezekani gari ya miaka zaidi ya 8 iwe imetembea km 30 000 tu!
Huo ni uongo mweupe hizo km inazimaliza kwa mwaka mmoja tu na isitoshe kama ni kweli imetembea km 30 000 haiwezi ikauzwa
Dola 4 500 hilo haliwezekani, hivyo TRA wetu wako sawa kabisa kwa maana wewe ni muongo/ umedanganywa!
Mkuu achana na hiyo kiazi hajui magariBarbabosa,
Kama kudanganya basi aliyedanganya ni yule aliyeniuzia. Mimi nimenunua gari online, na hiz ndizo details nilizopatiwa. Na hiyo valuation na kodi husika ilikokotolewa ka kutumia TRA Valaution Calculator. Ninavyozungumza hivi hata Shipping docs za hiyo gari zijazishika mkononi. Vinginevyo ninaweza kukutumia docs za manunuzi hujionee mwenyewe details za gari na manunuzi.
Ahsante kwa kunichallenge though...
Duh,sasa sisi wenye vipesa vya madafu hatutomiliki gari aisee,kama kodi ni kubwa kuliko thamani ya gari!!Ninadhani wanachokifanya ni wanachukua thamani ya hiyo gari kama ikiwa mpya halafu pengine wana consider depreciation value na thamani ya mwisho ndiyo huichukulia kama kigezo cha kodi stahili
Hapana mkuu hapo ni ushuru peke yake.Shukran mkuu. Hiyo 5.9m hadi port charges na matakataka madogo kama plate number?
Cha ajabu nini? Gari inaweza ikawa hata ya mwaka 1998 na ikawa na kms hizo. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya mwaka wa kutengenezwa na kms inazotembeaNdiyo hivyo umeibiwa Volvo iliyotembea km 30 000 haiwezi kuuzwa bei hiyo, na ndiyo maana umepigwa uchakavu, dola 4000 ni gari iliyotembea zaidi ya km 100 000 !
Ndio hivyo wanavyofanya. Na wmefanya hivyo kwasababu ya ujanja wa kibongo bongo kuzidi. Walipokuwa wana-calculate kwa kutumia bei ya manunuzi watu wakajiona ni wajanja, hivyo mtu akinunua gari kwa mfano dola 4000 anaongea na muuzaji anamwambia aandike 600 ili ushuru upungue. Hivyo ikabidi sasa watumie bei ya lile gari na model linapokuwa jipya halafu wanafanya depreciation kulingana na miaka gari lilivyotumika na kupata common price kwa magari yote yanayofanana. Huyo jamaa mwanzisha thread alikuwa bado anadhani zinatumika kanuni za zamani.Ninadhani wanachokifanya ni wanachukua thamani ya hiyo gari kama ikiwa mpya halafu pengine wana consider depreciation value na thamani ya mwisho ndiyo huichukulia kama kigezo cha kodi stahili
Na hiki ndicho kinachofanyika.Ninadhani wanachokifanya ni wanachukua thamani ya hiyo gari kama ikiwa mpya halafu pengine wana consider depreciation value na thamani ya mwisho ndiyo huichukulia kama kigezo cha kodi stahili
mwenye mawasiliano na hicho chama atupatie tuwauzie hiyo biashara hawa tra wameshatuchosha sasa,hapa suluhisho ni kutafuta jopo la wanasheria wa kodi wapambane na sheria na hiyo kalukuleta kandamizi. pia TRA watafute namna ya kuhakikisha watu hawachakachui hiyo CIF. haiwezekani waumize wananchi wengi kwasababu watu wachache walikosa uaminifu. kuna chama kinaitwa cha kutetea abiria, tukichangie pesa kitafute wanasheria.
pia tujiulize nchi nyingine za Africa zinafanyaje.
iweje invoice ikiwa kubwa kuliko bei elekezi wanatumia invoice? na hiyo tozo ya reli ya kazi gani? wakati hilo gari litakuwa linatumika kwenda kazini na kurudi tu, tena hapahapa dar es salaam, cha ajabu hizi kodi sijui wanazifanyia nini! barabara za kwenda majumbani kwetu ni mbovu mno wala hawajali kama unalipa kodi katika kulitumia hilo gari.Mfumo huu kwangu umesaidia sana kufahamu kodi ya kulipa kabla ya kuagiza gari...na ni mfumo rafiki ukilinganisha na ule wa awali...kinachotumika ni retail selling price ya gari(bei yake ikiwa mpya)halafu wanatoa uchakavu kwa utaratibu huu gari la 2013 itakuwa na kodi kubwa kuliko ya 2006 kwa sababu haijatumika sana..
Sheria ya kodi kwenye ushuru wa forodha inaelezea mambo ya kuchukua bei kubwa pale unapofanya makadirio sikumbuki ni kifungu cha ngapi lakini ni kwenye sheria ya ushuru wa forodha..railway development levy ilianza mwaka 2015 na kupitishwa na bunge letu tukufu kodi hii imeanzishwa mahsusi kwa ajili ya kuboresha reli nchini mwetu kuhusu matokeo ya kodi inayokusanywa kwakweli sijui..iweje invoice ikiwa kubwa kuliko bei elekezi wanatumia invoice? na hiyo tozo ya reli ya kazi gani? wakati hilo gari litakuwa linatumika kwenda kazini na kurudi tu, tena hapahapa dar es salaam, cha ajabu hizi kodi sijui wanazifanyia nini! barabara za kwenda majumbani kwetu ni mbovu mno wala hawajali kama unalipa kodi katika kulitumia hilo gari.
iweje invoice ikiwa kubwa kuliko bei elekezi wanatumia invoice? na hiyo tozo ya reli ya kazi gani? wakati hilo gari litakuwa linatumika kwenda kazini na kurudi tu, tena hapahapa dar es salaam, cha ajabu hizi kodi sijui wanazifanyia nini! barabara za kwenda majumbani kwetu ni mbovu mno wala hawajali kama unalipa kodi katika kulitumia hilo gari.
Hili la reli unanichanganya, tunajenga reli kwa kutumia mkopo wa exim bank china na hiyo reli inatakiwa ijiendeshe kibiashara iweze kurejesha mkopo, sasa unapokusanya tozo kwa wenye magari kwa ajili ya reli huo ni uonevu kabisa, niambie mkazi wa kinondoni anayefanya kazi azikiwe reli inamhusu nini? kama tumeweka kodi ya uchakavu ili watu wasilete gari kukuu mbona gari mpya bado inakodi kubwa kuliko hiyohiyo kukuu!Sheria ya kodi kwenye ushuru wa forodha inaelezea mambo ya kuchukua bei kubwa pale unapofanya makadirio sikumbuki ni kifungu cha ngapi lakini ni kwenye sheria ya ushuru wa forodha..railway development levy ilianza mwaka 2015 na kupitishwa na bunge letu tukufu kodi hii imeanzishwa mahsusi kwa ajili ya kuboresha reli nchini mwetu kuhusu matokeo ya kodi inayokusanywa kwakweli sijui..
ubaya wake pale kwenye CIF ya TRA sio blank hivo ukinunua zaidi yake imekula kwakoYes. Hata mimi nimeshuri hivyo. Kwamba siku hizi ni muhimu kukokotoa kodi jinsi itakavyokuwa kabla hujaagiza gari. TRA Calculator inapatikana online.