TRA muda umepita wa kutoa "LIFETIME" "plate number" za magari, zilipiwe kila mwaka mtaondoa plate number fake nyingi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa
Huu upumbavu wa kwenda TRA kila mwaka tumeukataa kitambo, ndiyo maana road licence ilihamishiwa kwenye mafuta, leseni za udereva zikawa ni 5 yrs, nilidhani utasema Mamlaka iweke mitambo ya ukaguzi wa namba fake barabarani badala ya mentality ya wizi unaoutengeneza hapa
 
Huu upumbavu wa kwenda TRA kila mwaka tumeukataa kitambo, ndiyo maana road licence ilihamishiwa kwenye mafuta, leseni za udereva zikawa ni 5 yrs, nilidhani utasema Mamlaka iweke mitambo ya ukaguzi wa namba fake barabarani badala ya mentality ya wizi unaoutengeneza hapa
Ahaaaaa,Ujumbe murua

May JF live long
 
Huu upumbavu wa kwenda TRA kila mwaka tumeukataa kitambo, ndiyo maana road licence ilihamishiwa kwenye mafuta, leseni za udereva zikawa ni 5 yrs, nilidhani utasema Mamlaka iweke mitambo ya ukaguzi wa namba fake barabarani badala ya mentality ya wizi unaoutengeneza hapa
Wakianza kulitumia wazo lako wakupe japo kamtaji?
Duh, Unaishi Tanzania? Siku hizi mambo yote kwenye simu unamaliza kwa CONTROL NUMBER
 
Wakianza kulitumia wazo lako wakupe japo kasenti sawa eeh....... mi nazani wange fanya hivi waondoe % ya kodi kwenye uagizwaji wa hayo magari alafu waweke kifaa maalumu kama cha tanesko yaani mtu uwe unalipia kama umeme tu luku ikiisha na gari isitembee,watapiga hela hatari, ila kuagiza magar iwe buree ili yawe mengi
 
Wakianza kulitumia wazo lako wakupe japo kasenti sawa eeh....... mi nazani wange hivi waondoe % kwenye uagizwaji wa hayo magari alafu waweke kifaa maalumu kama cha tanesko yaani mtu uwe unalipia kama umeme tu luku ikiisha na gari isitembee,watapiga hela hatari, ila kuagiza magar iwe buree ili yawe mengi

Tuwe wazalendo, tupende Nchi yetu
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Hili wazo lako linatofauti na road licence tuloamishia kwenye mafuta? Au unatamani turudi kwenye mateso yale?
 
nataman kihama kifike kifyeke wataz wenye miaka kuanzia 19 wote nchi ianze upya hakuna mzalendo hapa wote njaa tu
Mtu bado unaishi kwenu bado unaomba sala fupi yenye maafa?
hivi unajua huo ugali unaoukuta mezani ,unajua unapatikana vipi?
au hiyo nyumba ya mshua unajua anapataje bill za umeme na maji?
 
Wachawi huwa hawakosekani 🤣🤣

Sisi hatuna shida na kodi, ingeluwa tunaona maendeleo, tozo za simu wameshakausha wananunulia mishangingi..

Tuacheni tupumue kidogo, gari si anasa kwa zama hizi.
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

Faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Unakitu utfika mbali.
 
Ungeanza kudefine namba fake ni zipi kwani inaonekana umeandika kitu usichokifahamu
kimsingi wazo lako halioneshi kusaidia, sana sana unashauri Nchi iende tofauti na Ulimwengu kwa kusema plate number ziwekewe kodi!
Hivi unajua gari + Petrol zina jumla ya kozi za kukaribia 20?
Binafsi naona kuongeza hiyo kodi nikukosa Tax creativity.... huwezi kulundika kodi zote kwenye bidhaa moja!
Kwa tafsiri finyu/potofu ya baadhi ya Watanzania wanaona mtu akinunua kagari mf: mark11 ya shs milioni 5 huyo sasa ni tajiri wa kulundikia kodi Ila mtu akijenga nyumba ya milioni 30, 40, hata 100 sio tatizo kwao...
Ifike mahali tuelimike na kujua - GARI SIO ANASA!!!
Gari ni huduma jamaniiiii
 
Sijaona Upekee wa wazo lako na wala sijaona namna ambavyo hii itazuia wizi wa magari...Ninchokiona hapa ni aina flani ya ulimbukeni wa kufikiri kwamba Magari ni Anasa na chanzo cha mapato kwa serikali...
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

Faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Wewe naona una mpango wa kuturudisha kwenye Road licence sasa....
 
Waweke na kodi kwa kila aliye balehe na kuvunja ungo waweke average ya kunyanduana ni mara 3 kwa wiki kwa maana ya mwezi mara 12 X miezi 12 ya mwaka X let say kila mnyanduo kodi ni 500=Jumla ni ?? Weka jibu mwenyewe.
MATAGA wacha waendelee kula mema ya nchi.
 
Back
Top Bottom