TRA muda umepita wa kutoa "LIFETIME" "plate number" za magari, zilipiwe kila mwaka mtaondoa plate number fake nyingi

Myahudi Jr II

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
6,703
8,481
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

Faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke

1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA

FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)

3. MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.
Safi sana hata Oxygen isiwe bure. Tuwe tunalipia hii hewa adhimu ya uhai. Kwa nini iwe bure? Nchi inapata hasara kwa kuruhusu oxgeyn iwe bure.

Serikali yetu tukufu iweke oxygen tax, hii ilipwe na wanadamu wote walio hai hapa Tanzania wenye umri kuanzia miaka 15. Vile vile mifugo yote yenye kuliwa na wanadamu ilipiwe hii kodi kuanzia nguruwe, kuku, mbuzi, kondoo n.k. wanaomiliki mifugo hii walipe hii kodi kila mwaka.
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.
Ungeanza kudefine namba fake ni zipi kwani inaonekana umeandika kitu usichokifahamu
kimsingi wazo lako halioneshi kusaidia, sana sana unashauri Nchi iende tofauti na Ulimwengu kwa kusema plate number ziwekewe kodi!
Hivi unajua gari + Petrol zina jumla ya kozi za kukaribia 20?
Binafsi naona kuongeza hiyo kodi nikukosa Tax creativity.... huwezi kulundika kodi zote kwenye bidhaa moja!
Kwa tafsiri finyu/potofu ya baadhi ya Watanzania wanaona mtu akinunua kagari mf: mark11 ya shs milioni 5 huyo sasa ni tajiri wa kulundikia kodi Ila mtu akijenga nyumba ya milioni 30, 40, hata 100 sio tatizo kwao...
Ifike mahali tuelimike na kujua - GARI SIO ANASA!!!
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.
Kwa hiyo mariasili tupigwe, ela ya tozo na kodi zipigwe halafu unawapa njia nyingime ya kuendelea kutunyonya ili wapige tena au vipi...
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.
Hili wazo ni nzuri, ila isiwe issue ya Muungano, lifanyike Bara tu kama bandari zilivyouzwa kwa bara Ili Hali Bandari ni issue ya Muungano.

cc: Wakili Msomi Fatuma Karume:
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.
Yaani akili mbovu za aina hii ndiyo zinazopigania road license irudishwe bila ya kujua tayari tunailipia kwenye mafuta.
 
Watanzania ni Wajinga sana mnaona gari ndio kila kitu mnawaza kila kukicha liwe na Tozo tuu mnabaki kuendesha matakata yaliyotumika Ulaya,SA na Japan wachache sana wanaoweza kumudu kuendesha gari za miaka ya karibuni hivi vi ist,passo vya mwaka 2002 ndio mnavipa number plate ya kulipia sijui kesho mtakuja na uzito wake ili vile na Tozo na pia sio "Plate Number" ni "Number Plate" ndio sahihi...
 
Ungeanza kudefine namba fake zi zipi?
kimsingi wazo lako halioneshi kusaidia chochote, sana sana kushauri Nchi iende tofauti na Ulimwengu kwa kusema plate number ziwekewe kodi.
Hivi unajua gari + Petrol zina jumla ya kozi za kukaribia 20?
Hiyo nikukosa Tax creativity.... huwezi kulundika kodi zote kwenye bidhaa moja!
Watanzania wanafikiri kujiwekea mzigo wa kodi kwenye magari wakiaminishwa ni kitu cha maana mno mno...daah umasikini wa fikra ni ugonjwa sana..
 
NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Watanzania ni Wajinga sana mnaona gari ndio kila kitu mnawaza kila kukicha liwe na Tozo tuu mnabaki kuendesha matakata yaliyotumika Ulaya,SA na Japan wachache sana wanaoweza kumudu kuendesha gari za miaka ya karibuni hivi vi ist,passo vya mwaka 2002 ndio mnavipa number plate ya kulipia sijui kesho mtakuja na uzito wake ili vile na Tozo na pia sio "Plate Number" ni "Number Plate" ndio sahihi...

Kaka Nipo ambapo kingereza kwao ni chakuzaliwa, NA WANANIELEWA VIZURI SANA, sasa wewe usiponielewa SINA SHIDA KABISA

PENDA TANZANIA
 
Dah kumbe nyie ndo mnampaga mbinu mwigulu...kwa Mimi nisie na gari hii hainihusu..mwambie aweke na kwenye pikipiki Mana zinazoongozwa kuibiwa Ni hizo pikipiki na Sio magari..atapiga hela Sana..
Bil 700 kwa mwaka hawatoikosa
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Hii akili nimeifananisha na ile akili finyu ya kupandisha bei ya mafuta ya taa kisa watu wanayatumia kuchakachua petrol,Huwezi kudhibiti uharifu kwa kuumiza watu innocent,huu ni uvivu wa kufikiri.
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Kipindi kile tunalipia road licence kila mwaka unataka kuniambia magari yalikuwa hayaibiwi?
au ni kwamba namba za magari zilikuwa hazitumiki?
Kuna watu mnaonekana kama mna nia nzuri ya kuishauri serikali kumbe mnatafuta namna ya kuziba mashimo baada ya kuona bandari inaenda kwa waarabu na mianya ya upigaji imefungwa.
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Acha uchawi aisee woi!!
 
Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi

TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa

faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu hakuna mtu anaweza kusajili/kuilipia bila kua yake, maana wakati wa kulipia aweke
1. Namba ya NIDA
2. CONFIRMATION MESEJI KWAMBA FULANI BIN FULANI UMELIPIA PLATE NAMBA FULANI (sasa hapa kama mtu ameiba gari hawezi kubadili plate Number(KUSAJILI MARA MBILI)
3.MAPATO
Chukulia Tshs 30,000 kwa mwaka, mara magari 1,000,000= Tshs 30,000,000,000 bila jasho zinaingia kila mwaka

TUWE WAZALENDO HATA KAMA TUMEUZWA.

NAONGEZEA

PLATE NAMBA INAANDIKWA KABISA INAEXPIRE LINI

DEC 2023 (hapa mtu hawezi endesha gari JAN 2024) anakutana na Trafiki anapigwa fine

TUPENDE NCHI YETU, TUJENGE NCHI YETU
Japo zitaliwa na wenyenchi ila ni wazo zuri,naliunga mkono
 
Back
Top Bottom