TRA, Hii ni Aibu kwa Taifa

TRA, Hii ni Aibu kwa Taifa

TRA..... TRA wamegeuka Miungu watu !!!

Hongera TRA kwa kukamata sisimizi na mende wakati mnaachia TEMBO ,TWIGA, SIMBA kuondoka nchini.... !!!
 
Mwanjomwanjo utamjuwa tu, wewe kusafiri unakuona kwa maana sana katika karne hii ambayo dunia ni kijiji?

Tena unakuja na ji TV la nchi 27 Kama accompanied baggage? Kama nchi nyingine wanalitupa kwenye dustbin.

For your information, nimekanyaga "continents" zote za dunia hii na hivi sasa nimeshafanya booking ya moon express na Virgin Galactic na probabilities are very high za kuwa abiria wa mwanzo mwanzo wa kutembelea mwezini.
continents zote za dunia hii umefikaje ww acha uongo....antarctica ulienda kufanya nn?
 
so you got to pay taxes again when you bring them with you into the country for your own personal use?
Do you have any legal documentary evidence provable in any court of law that what you had in your bag was for personal use?
 
Hiyo haikubaliki kwa kweli. Ni udhalilishaji mkubwa sana huo.

Huko ni kuingilia faragha za watu sasa.

Mtu kama mimi hapo sikawii kuwarushia ngumi za videvuni hao watu aisee.
Ukiwapiga ngumi na wewe utakuwa umewadhalilisha.
 
Hata ile kukata Tshs 2,000 ya parking pale airpot kwa muda mchache tu wakati mwingine haitimii hata nusu saa haiko poa. Tshs 2,000 ni kubwa sana kwa sisi walala hoi, tupunguziwe japo iwe 500 au 1000.
 
Hata ile kukata Tshs 2,000 ya parking pale airpot kwa muda mchache tu wakati mwingine haitimii hata nusu saa haiko poa. Tshs 2,000 ni kubwa sana kwa sisi walala hoi, tupunguziwe japo iwe 500 au 1000.
Hivi mlalahoi huwa anaenda airport? Kufanya nini? Halafu anaenda gari hoooo!!! huyo mlala hoi mmmmmmmmmm
 
Ahsante sana tena sana. Ukianza kuteua wakuu wa wilaya utanifikiria.

Kwa sasa nnaona hoja imekuingia na hauna jipya unaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Hahahahahabaa bibie una mambo.

Hapa tunadiscus issue ya TRA kukamata TV used, wewe unaanza kuhororoja au unataka kusaghula hijabu uliyovaa muda huu mchana kweupe.
 
Hiyo bibi Gagula FaizaFoxy inabidi ajabu video na siyo kujibu watu
 
Hivi mbona hizi NCHI za arubuni kama vile SAUDIA NA U.A.E na NCHI zingie chache kama MALAYSIA .

Watu wake na hawalipi KODI kabisa au malipo kidog sn ya KODI na wanazo NATURAL RESOURCES Oil tu na zingine hazina hiyo OIL ya kutosha lkn wamekuwa na maendeleo yaliyo pita kiasi .

Nini siri yao jamani.... kama ule MSEMO Unao sema na Nchi nyingi kwamba KODI (Tax)ndio msingi wa maendelo ya Nchi hili ni lakweli jamani maan sipati pic kabisa hawa wamefanyaje kupata maendeleo kiasi kile.
 
Hata ile kukata Tshs 2,000 ya parking pale airpot kwa muda mchache tu wakati mwingine haitimii hata nusu saa haiko poa. Tshs 2,000 ni kubwa sana kwa sisi walala hoi, tupunguziwe japo iwe 500 au 1000.
Wangeweka basi walau route ya BRT inayofika airport. Bodaboda wamekataza, na hakuna public transport..Halafu wanaongeza tozo ya parking?
 
Hizo si kazi za TRA.

Tumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu na si kukiacha kama mzigo juu ya mabega yako.
Huyu bibi Gagula mchawi halali.........bibi bora ujibu video badala ya kuhangaika na watu. Utakufa na ugonjwa wa moyo siku si zako
 
Do you have any legal documentary evidence provable in any court of law that what you had in your bag was for personal use?

1. The airport's arrivals section is not a court of law.

2. My arrival is neither a criminal case nor civil case.

3. My suitcase is my personal property.

4. Since it is my personal property, it does follow that what's in it is also personal.

5. Based on those facts, I don't need any stupid "legal documentary evidence provable in any court of law" to prove that what I had in MY luggage was for personal use.

6. Only a single digit IQ fool would ask for such for something so obvious.

7. Therefore, your question is misguidedly misplaced.
 
Back
Top Bottom