Inconvenient Truths
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 439
- 354
Kero inaanza pale unapoland na kama uko na wageni toka nje inabidi wafunge foleni ya almost 3 hrs
1. Kuna foleni ya finger print
2. Then kuna foleni ya kulipa
3. Then kuna 3hrs za kusubiri
All that is happening hakuna air-condition wala Viti vya kukaa
Sielewi why wasifanye process ya electronic visa ili kuondoa foleni
Then kuna foleni ya kusubiri mabegi kwenye mkanda ambao.ni moja tuu na joto
Then kuna kupekuliwa physically (walau siku hizi wameondoa wale jamaa wa wanuka vikwapa pale mlangoni)
So kama una mgeni toka Europe au USA nakuhakikishia atakuwa mle ndani not less than 4 hrs in total
Natamani Magu siku ashuke pale aone
1. Kuna foleni ya finger print
2. Then kuna foleni ya kulipa
3. Then kuna 3hrs za kusubiri
All that is happening hakuna air-condition wala Viti vya kukaa
Sielewi why wasifanye process ya electronic visa ili kuondoa foleni
Then kuna foleni ya kusubiri mabegi kwenye mkanda ambao.ni moja tuu na joto
Then kuna kupekuliwa physically (walau siku hizi wameondoa wale jamaa wa wanuka vikwapa pale mlangoni)
So kama una mgeni toka Europe au USA nakuhakikishia atakuwa mle ndani not less than 4 hrs in total
Natamani Magu siku ashuke pale aone