Unadhani hata wakiona watakuja na wazo jipya? Siku hizi wanasubiri kuambiwa na mtu mmoja tuu.Cookie hii mada ingebaki kwenye jukwaa la siasa ingekuwa vizuri zaidi maana huko ndiko wanapita wanasiasa wetu ambao ndio decision makers wakubwa, watunga sera pamoja na sheria.
Hii sasa imetosha na ni aibu kwa taifa. TRA inavuka mipaka ya ubinadamu. Hii ni pale uwanja wa Ndege wa JKNIA . Shame on you. Watu wanalia Airport, yaani wanafikia hatua ya kuvuruga nguo za watu hivi wanatafuta vitu vya kutoza ushuru. Shame on you
Last week, katika issue tofauti kabisa, rafiki yangu alinunua used small 27inch LG TV Kwa $90 Singapore . Alipofika walimmbambikizia ushuru wa laki mbili. Alishindwa na kuwaachia TRA.......Kipindi cha kikwete TRA walikuwa na aibu. Hawa hawana. Pathetic animals
You should focus on businesses and drugs. Stop harassing travelers
Hakunaga aibu kwenye vitu vya kisheria. Lipeni kodi.
Halafu huu usemi wao wa "kaka tuachie hela ya chai basi" ni aibu kwa TRA
Hii sasa imetosha na ni aibu kwa taifa. TRA inavuka mipaka ya ubinadamu. Hii ni pale uwanja wa Ndege wa JKNIA . Shame on you. Watu wanalia Airport, yaani wanafikia hatua ya kuvuruga nguo za watu hivi wanatafuta vitu vya kutoza ushuru. Shame on you
Last week, katika issue tofauti kabisa, rafiki yangu alinunua used small 27inch LG TV Kwa $90 Singapore . Alipofika walimmbambikizia ushuru wa laki mbili. Alishindwa na kuwaachia TRA.......Kipindi cha kikwete TRA walikuwa na aibu. Hawa hawana. Pathetic animals
You should focus on businesses and drugs. Stop harassing travelers
Searching kuwa mpoleAirport arrivals is disgraceful to this nation
Kuna terminal mpya inakaribia kwisha kama sio imekwisha kero ya AC na miundo mbinu itakuwa imekwisha itabakia hiyo ya TRA.Kero inaanza pale unapoland na kama uko na wageni toka nje inabidi wafunge foleni ya almost 3 hrs
1. Kuna foleni ya finger print
2. Then kuna foleni ya kulipa
3. Then kuna 3hrs za kusubiri
All that is happening hakuna air-condition wala Viti vya kukaa
Sielewi why wasifanye process ya electronic visa ili kuondoa foleni
Then kuna foleni ya kusubiri mabegi kwenye mkanda ambao.ni moja tuu na joto
Then kuna kupekuliwa physically (walau siku hizi wameondoa wale jamaa wa wanuka vikwapa pale mlangoni)
So kama una mgeni toka Europe au USA nakuhakikishia atakuwa mle ndani not less than 4 hrs in total
Natamani Magu siku ashuke pale aone
Huduma mbovu almost everywhere utadhani hawa wanasiasa hawatembei na kujifunza kutoka nje.Ukitembelea nchi za wenzetu utaona jinsi Tanzania ilivyo ya hovyo kwenye huduma zake! Yaan tukiwaza sana tunakuja na wazo la kutembea kwa miguu dar dom nakujiita wazalendo
Chizii ulietoroka wodini wewe.Porojo hizo.
Hivi mapato fake ya mwezi Novemba ni shilingi ngapi?Jenga nchi kwa KULIPA KODI, UKIUZA DAI TOA RISITI, UKINUNUA DAI RISITI na yy hadeal na wanyonge [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mkuu usimlaumu sana hajamalizia dozi huyoChizii ulietoroka wodini wewe.
Jamani hiki kitu kilikuwepo tangia siku nyingi sana ingawa sio sawaI don't get it.
They want people to pay taxes on what? Personal items like articles of clothing and whatnot?
Like pay taxes for my Polo underwear?
So stupid.