Kwa vyoyote, ni system ya kizamani wanatumia uwanja wa ndege.
Kama tunataka watalii wa nyumbani na wa nje wakue, lazima tubadilike.
Hamna nchi iliyo mkali katika ulipaji kodi kama Marekani. Lakini husumbuliwi hivyo na vitu vidogo vidogo.
Unapewa ruhusa ya kuleta vitu kadhaa bila ya ushuru chini ya $200 kwa vitu kama perfume na sigara na $800 kwa mizigo mingine katika begi. (cpv.org).
Hii ni standard kwa nchi nyingi sana.
Visa wafanye kama Thailand. Visa on arrival, free of charge kwa karibu kila raia wa dunia. Utalii wao umewaingizia
$42 Bilioni mwaka 2014 .(worldbank.org).
Kwa sasa sera ni za kukomoana tu.