Kisha wao watakosa makusanyo ya kodi tokea kwa makampuni ya simu.Kabla hawajafanya marekebisho lazima wamuangalie mtumiaji wa mwisho ataathirika vipi.Vinginevyo kuongeza utitiri wa kodi kutawafanya watumiaji wa sim wapunguze matumizi ya simu.
Mfumo uliowekwa utazingatia viwango vya mapato ndio maana wameweka range ya sh 10-200. Kwa hiyo wenye kipato kidogo watalipa sh 10 ambayo ni sh 300 kwa mwezi.Viongozi out of touch with reality -Hivi viongozi hawajui Tsh 3000 ndio bajeti ya mawasiliano ya simu mwezi mzima ya watanzania wengi tu.
wamekaaa uko ndani hawajui mitaani hali ikoje.Viongozi out of touch with reality -Hivi viongozi hawajui Tsh 3000 ndio bajeti ya mawasiliano ya simu mwezi mzima ya watanzania wengi tu.
Swali. Kila siku wakiondoa 10 kwenye vicha ya sh 500 utakayo enda kununua utaungaje kifurushi?Mfumo uliowekwa utazingatia viwango vya mapato ndio maana wameweka range ya sh 10-200. Kwa hiyo wenye kipato kidogo watalipa sh 10 ambayo ni sh 300 kwa mwezi.
Serikali inaendeshwa kwa kodi. Hakuna njia nyingine. Wananchi wote lazima tulipe kodi ili kuiwezesha serikali kutoa huduma mbalimbali.
Serikali ina shirikiana na mitandao ya simu kutuhujumu na kutuibia wananchiKwanini nasema hivyo? Kwa sababu hakuna mtu ataenda kununua vocha ya sh 1000 dukani wakati anajua kabisa atakatwa kiasi cha sh 100 au zaidi wakati huohuo hakuna kifurushi cha sh 900.
Hayo yanajiri ktk marekebisho ya sheria kama kiambatanisho hapa chini kitakavyo onesha.
Hii nchi ni ngumu sana kuishiwamekaaa uko ndani hawajui mitaani hali ikoje.
unajua kwann?
THEY DONT CARE
Hawa jamaa nao mbona vimakato vidogo hivyo hebu waambieni waongeze hata kidogo basi 😜!Kwanini nasema hivyo? Kwa sababu hakuna mtu ataenda kununua vocha ya sh 1000 dukani wakati anajua kabisa atakatwa kiasi cha sh 100 au zaidi wakati huohuo hakuna kifurushi cha sh 900.
Hayo yanajiri ktk marekebisho ya sheria kama kiambatanisho hapa chini kitakavyo onesha.
Mitandao ya simu watajua tu namna ya kudeal na hiyo changamoto. Mbona vat unalipa unaponunua vocha lakini haiathiri ununuaji wa vifurushi?Swali. Kila siku wakiondoa 10 kwenye vicha ya sh 500 utakayo enda kununua utaungaje kifurushi?
Vina disturb namna ya kununua kifurushu umepanga kununua kifurushi cha 2000 halafu kabla hujaunga unatumiwa meseji umekatwa tsh 178 salii baki ni 1822. Hapo utaungaje kifurushi? Unalazimika kwenda tena dukani kununua vocha ya 500 ili uunge. So kifurushi cha 2000 siku hiyo unalazimika kutumia 2500Hawa jamaa nao mbona vimakato vidogo hivyo hebu waambieni waonheze hata kidogo basi 😜!
Washenzi sana hawa! Badala ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima serikalini na bungeni ili fedha zinazo patikana zikasaidie huduma za jamii!Ccm ni janga kataa au kubari tunahitaji Mabadiliko
Hahahaaaa! Natumaini atakuwa anakusikia kabisa kabisa!Washenzi sana hawa! Badala ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima serikalini na bungeni ili fedha zinazo patikana zikasaidie huduma za jamii!
Wanaona njia nyepesi ni kuwakamua wananchi! Mwigulu Nchemba , wewe ni failure bro! Na 2025, patachimbika! Huu upuuzi wenu haukubaliki hata kidogo.
Tuchukulie umeongeza sh 1000 halafu wakukate sh 15 utaunga kifurushi gani hapo
Makampuni ya line yataweka vifurushi vya 900 na vocha zitauzwa za tsh 1000 na 500 tu!!
Hakwepi mtu hapa.
Mitandao ya simu watajua tu namna ya kudeal na hiyo changamoto. Mbona vat unalipa unaponunua vocha lakini haiathiri ununuaji wa vifurushi?Vina disturb namna ya kununua kifurushu umepanga kununua kifurushi cha 2000 halafu kabla hujaunga unatumiwa meseji umekatwa tsh 178 salii baki ni 1822. Hapo utaungaje kifurushi? Unalazimika kwenda tena dukani kununua vocha ya 500 ili uunge. So kifurushi cha 2000 siku hiyo unalazimika kutumia 2500
Una akili ndogo sana. Vat unazolipa kwenye vocha au makato ya Tanesco kuna Rea kule na mangine wanakataje? Hawakati kama unavyodhani, vifurushi vita adjust automatically kwenda chini kuacha gape ya wewe kulipia hio tozo.Vina disturb namna ya kununua kifurushu umepanga kununua kifurushi cha 2000 halafu kabla hujaunga unatumiwa meseji umekatwa tsh 178 salii baki ni 1822. Hapo utaungaje kifurushi? Unalazimika kwenda tena dukani kununua vocha ya 500 ili uunge. So kifurushi cha 2000 siku hiyo unalazimika kutumia 2500