radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Hii nimeithibitisha kwa watu zaidi ya wawili mtaani kuna dogo alikuwa akisajili laini za Tigo basi akamwambia jamaa amboreshee laini yake ili aweze kupata mb na dakika nyingi kwa elfu moja tu.
Basi jamaa akaona kama kuna hiyo ofa bora aboroshewe laini yake na huyo wakala wa Tigo alikuwa akimwambia jamaa lazima ktk simu yake kuwe na shilingi 100 jamaa akanunua vocha na kuweka ndipo wakala wa tigo akamwambia jamaa atoe lain yake ktk simu yake kisha iwekwe kwenye simu ya wakala wa Tigo akidai kuna program ya ku boresha laini ya mteja.
Kitendo cha kuweka lain ktk simu ya wakala hela yote ilikombwa kwenye simu ya jamaa basi wakala akamwambia jamaa naona mtandao upo chini hivyo zoezi litakuwa gumu wakala akasepa jamaa kuangalia masalio pesa hakuna
Hivyo basi msisajili laini mitaani nendeni kwenye maduka ya watoa huduma ni hatar sana kesi imefunguliwa tatatibu za ufuatiliaji jamaa anaendelea nazo kwani laini iliyohamishiwa pesa ni ya mtandao wa Airtel ambao jamaa alipewa na wahudumu wa mtandao na taarifa zote za muhimu kapatiwa.
Na kibaya zaidi jina la wakala msajili laini linasoma la kike wakati wakala ni wa kiume kivyovyote kasajiliwa au wanashirikiana ntaweka hapa majina (Mariamu Sozi) hii ina maana kama mwanamke hausiki basi jamaa ka mchoma atawajibika bado kumsajilia mtu laini ni hatari.
Nawaza hao mawakala watakuwa wamewaibia sana watu na jeshi letu la polisi walivyo wazito ktk kesi hizi za wizi wa mitandao hadi uwape rushwa ndipo wakufanyie kazi yako
Tukio limetokea Mbezi Malamba mawili kwa osama
Basi jamaa akaona kama kuna hiyo ofa bora aboroshewe laini yake na huyo wakala wa Tigo alikuwa akimwambia jamaa lazima ktk simu yake kuwe na shilingi 100 jamaa akanunua vocha na kuweka ndipo wakala wa tigo akamwambia jamaa atoe lain yake ktk simu yake kisha iwekwe kwenye simu ya wakala wa Tigo akidai kuna program ya ku boresha laini ya mteja.
Kitendo cha kuweka lain ktk simu ya wakala hela yote ilikombwa kwenye simu ya jamaa basi wakala akamwambia jamaa naona mtandao upo chini hivyo zoezi litakuwa gumu wakala akasepa jamaa kuangalia masalio pesa hakuna
Hivyo basi msisajili laini mitaani nendeni kwenye maduka ya watoa huduma ni hatar sana kesi imefunguliwa tatatibu za ufuatiliaji jamaa anaendelea nazo kwani laini iliyohamishiwa pesa ni ya mtandao wa Airtel ambao jamaa alipewa na wahudumu wa mtandao na taarifa zote za muhimu kapatiwa.
Na kibaya zaidi jina la wakala msajili laini linasoma la kike wakati wakala ni wa kiume kivyovyote kasajiliwa au wanashirikiana ntaweka hapa majina (Mariamu Sozi) hii ina maana kama mwanamke hausiki basi jamaa ka mchoma atawajibika bado kumsajilia mtu laini ni hatari.
Nawaza hao mawakala watakuwa wamewaibia sana watu na jeshi letu la polisi walivyo wazito ktk kesi hizi za wizi wa mitandao hadi uwape rushwa ndipo wakufanyie kazi yako
Tukio limetokea Mbezi Malamba mawili kwa osama