Ganda la ushuru
Senior Member
- Mar 18, 2020
- 132
- 112
- Thread starter
- #21
Aisee .Mambo ya vitabu sijawahi kuelewa kabisa! OLevel sijawahi jibu swali linalohusu vitabu na A level pia. Ila chakushangaza sijawahi kukosa credit(C-B).
5/5
GLU™
Aisee .Mambo ya vitabu sijawahi kuelewa kabisa! OLevel sijawahi jibu swali linalohusu vitabu na A level pia. Ila chakushangaza sijawahi kukosa credit(C-B).
5/5
Kuna dogo aliniomba nimfundishe lakini hatukumalizia akasema atai "Opt".Earth as a sphere.
Njia iliyokuwa inachukua mda sana ni INSPECTION.
Mi probability niliianzia mbali toka enzi za Additional Mathematics ,kwa hiyo haikuwahi kunishtusha hata ikitokea kwa comrade TRANTER.Hahahahh
Probability Ya Kwenye Pure Namba sio Bam Hii Sijawahi isoma
Organic 2 Chemistry Sijawahi isoma nayo, nilikua sijibii Mimi
Hyperbooo Hyperbolic Functions
Salaam wana jamvi, matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea . Straight to the point,tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II ,share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako
Daa 😥 nimekumbuka mwalimu wetu wa Kiswahili ,ilikuwa wiki mbili kabla ya paper kwenye vipindi vyake anauliza maswali ya papo kwa papo ukishindwa tu unatembea na bakora nne za maanaIle Sarufi ya hesabu. Kima+kihisishi yakinifu+kiarifu na fujo kama hizi form III ilifanya nichukie Kiswahili na Mwisho nikaishia karai
Japo O-level nilipataga A yangu Ila hiyo topic nilikuwa nikiiona tu napita kule.Kuna dogo aliniomba nimfundishe lakini hatukumalizia akasema atai "Opt".
GLU™
Hii topic ina uzito wake, nakumbuka mwalimu wetu alituambia kuhusu Organic tujitegemee tu wenyewe, aligusaga tu mambo ya Polymers lakini wataasisi wa Necta wakatuletea Glycerine.Organic II A- Level ilkua inanipa shida sana,,, O level kiswahili kilikua kinanipa shida sana mpaka namaliza, Hasa kwenye mambo ya Sarufi, sijui makosa ya ki nini yale, mara fonimu, mofimu hata sikua naelewa kitu ndio somo pekee nilikua na feli O level...
Sent using Jamii Forums mobile app

mjuba sikusoma hata kimoja sivijua hata majina 

nikajibu na kuelezea kitabu cha ngeli kile cha Hawa the bus driver.... Nilipiga kalai la biriani after viboko vya kutosha. Ama kweli afu A -level, nikaji 'subtopic' ndani ya mheshimiwa Algebra.Logarithm
Nimecheka sana 😁😁😁😁😁😁😁.Nilikuwa natega sana mapindi ya kiswahili sasa balaa likaja kwenye mtihani si wakauliza nielezee kitabu chochote nilichosomamjuba sikusoma hata kimoja sivijua hata majina
nikajibu na kuelezea kitabu cha ngeli kile cha Hawa the bus driver.... Nilipiga kalai la biriani after viboko vya kutosha.
Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
Kongole mkuu.Japo O-level nilipataga A yangu Ila hiyo topic nilikuwa nikiiona tu napita kule.
Ila organic inaonekana ilikuwa shida kwa wengi.Organic chemistry,.kwenye conversion,..
Ether to caboxylic acid,.alcohol to ester and so on..
Sent using Jamii Forums mobile app

Organic chemistry,.kwenye conversion,..
Ether to caboxylic acid,.alcohol to ester and so on..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumetofautiana .Aiseee
Mkuu Yani Mechanics kweli ??
Tatizo niliisoma wiki moja kabla ya paper
lakini kuna vitu uli master.Tatizo niliisoma wiki moja kabla ya paper