iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,185
- 10,085
Sema miaka inavyozidi kwenda kila mtu atakua DJ tu kwa sababu u DJ kwa asaiv unarahisishwa mno kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia kama maana hata Virtual DJ watu wameanza nayo mbali sana na DJ wengi wameanzia huko..
...... Kwanini nasema u DJ unakua easy sana kuufanya? (Sio kupiga live mix) sababu ni ujio wa Tools za kisasa au twaweza sema ujio wa Program za kisasa zaidi Sony Acid na Sony Vegas, haya ma program ni hatari sana..., Of course kuyachezea ni magumu ya nahitaji muda kuyaelewa ila ukizijua zinarahisisha kumix, yaani unapanga tu Playlist na kuandaa patterns either za scratches, Aisee Sony Acid & Sony Vegas ukiweka tu nyimbo inaji scratch na ku sync automatically tu wewe hata hauhangaiki [emoji23] kila kitu inafanya yenyewe tu we kazi ako ni kudrop nyimbo tu..
Sema wabongo wengi hawajaziwezea kuundia mixes zaidi ya kuzitumia kuundia Intros/Extendeds kuundia matangazo ya burudani kwenye TV na Radios na kueditia muziki... Ila wakenya wanajua sana kuyachezea, ukiskiza hata mixtapes za siku hizi za wakenya au kwenye radio & TVs zao utaona tu nazungumzia nini, kuna kama mixes au intros hivi zina ma scratches, backspins za ajabu ajabu yaani zinakua performed kwa haraka sana na mbwembe nyingi ambazo ni ngumu DJ kuziperfom live kama akiwa na mashine lazima apige maembe tu...
Sony Acid & Sony Vegas ni hatari sana hizi ni nzuri kurahisisha mahitaji ya muziki ila pia zinaua vipaji vya u DJ wa kupiga live na mashine....
...... Kwanini nasema u DJ unakua easy sana kuufanya? (Sio kupiga live mix) sababu ni ujio wa Tools za kisasa au twaweza sema ujio wa Program za kisasa zaidi Sony Acid na Sony Vegas, haya ma program ni hatari sana..., Of course kuyachezea ni magumu ya nahitaji muda kuyaelewa ila ukizijua zinarahisisha kumix, yaani unapanga tu Playlist na kuandaa patterns either za scratches, Aisee Sony Acid & Sony Vegas ukiweka tu nyimbo inaji scratch na ku sync automatically tu wewe hata hauhangaiki [emoji23] kila kitu inafanya yenyewe tu we kazi ako ni kudrop nyimbo tu..
Sema wabongo wengi hawajaziwezea kuundia mixes zaidi ya kuzitumia kuundia Intros/Extendeds kuundia matangazo ya burudani kwenye TV na Radios na kueditia muziki... Ila wakenya wanajua sana kuyachezea, ukiskiza hata mixtapes za siku hizi za wakenya au kwenye radio & TVs zao utaona tu nazungumzia nini, kuna kama mixes au intros hivi zina ma scratches, backspins za ajabu ajabu yaani zinakua performed kwa haraka sana na mbwembe nyingi ambazo ni ngumu DJ kuziperfom live kama akiwa na mashine lazima apige maembe tu...
Sony Acid & Sony Vegas ni hatari sana hizi ni nzuri kurahisisha mahitaji ya muziki ila pia zinaua vipaji vya u DJ wa kupiga live na mashine....