Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

Alafu wengi tunatumia baby scratch & scratch drop tu kwisha habari [emoji23][emoji23] mambo ya scribble scratch, flare scratch, tear, stab, chirp scratches n.k hatuna habari nazo......

U Dj mgumu mazee thus why it's among of the professional job, sabu kuna mashine zingine ni balaa ukipewa unaanza kuangalia kwanza mpangilio wake ila ukizoea unacheza nazo tu kama kuendesha magari ya kila aina..
Kwa kweli wanazingua sometime inakuwa kelele.
Yeah udj nao ni kipaji mzee
Kuna machine ngumu aseeh
Hasa hasa zile turntable inahitaji muda kuzizoea kwasababu ya mfumo wake ilivyokaa .controller ni rahisi vitu vingi vimerahisishwa pale tofauti na turntable we ndo unaichezea ..turntable inakuchezea..
DJ JD na DJ dea wanatumia turntable
 
Kuna dj namsikia Mida hii anakung'uta mikito heavy wasafi fm, anaitwa nani huyu mwana?
Namskiza hapa ni DJ Kiddylex anakiwasha kweli kweli! Jamaa anajua sana, kuna yule Delvick jamaa ana Playlist nzuri sana huyu ila shida ipo kwenye ku beatmatch anatumia sana scratch drop lakini inamshinda mara mingi, yaani inamfanya kuonekana kama anajifunza hivi...
 
Namskiza hapa ni DJ Kiddylex anakiwasha kweli kweli! Jamaa anajua sana, kuna yule Delvick jamaa ana Playlist nzuri sana huyu ila shida ipo kwenye ku beatmatch anatumia sana scratch drop lakini inamshinda mara mingi, yaani inamfanya kuonekana kama anajifunza hivi...
Kabisa
 
Ukiskia wapi mkuu kweli?
Kwahiyo jamaa ni wafanyakazi hewa?
Mkuu mimi naskiza Wasafi FM muda mwingi mpaka usiku wa manane, hata hapa nipo naskiza [emoji23][emoji23] ko nachokwambia na uhakika nacho tena toka jpili mpaka jana usiku wa manane wanapiga recorded mixes za DJ Delvick tu..

Sio kwamba ni wafanyakazi hewa hapana, Ila fuatilia utagundua kitu..
 
Tanzania hakuna dj mkali kama yule dj scrachi designer wa clouds pale sema wanambania sana dogo yule anajua balaa yan .
Kwako we we mwenyewe taja madj wako watatu unaona wako kwenye heat kwa sasa ,uwezo wao mkubwa..

Pia wale ambao ni talented pia na hawana nyota/bahati yaani wapo wapo tu ..

Na pia wale madj ambao ni overrated uwezo wao ni mdogo kuliko wanavyokuzwa ...

Mimi kwa kweli DJ d ommy huwa simuelewi uzuri jamaa anajua kujibrad ndo maana amefika mbali lakini uwezo wake ni kawaida

Tiririka
 
Tanzania hakuna dj mkali kama yule dj scrachi designer wa clouds pale sema wanambania sana dogo yule anajua balaa yan .
We sio mtu wa kwanza kusema hili
Kwa unavyoona nan anamzibia nafasi
Maana jamaa uwezo upo
 
Mkuu mimi naskiza Wasafi FM muda mwingi mpaka usiku wa manane, hata hapa nipo naskiza [emoji23][emoji23] ko nachokwambia na uhakika nacho tena toka jpili mpaka jana usiku wa manane wanapiga recorded mixes za DJ Delvick tu..

Sio kwamba ni wafanyakazi hewa hapana, Ila fuatilia utagundua kitu..
innocent dependent ambia bosi yako kumbe mnapiga recorded
 
Tanzania hakuna dj mkali kama yule dj scrachi designer wa clouds pale sema wanambania sana dogo yule anajua balaa yan .
Huyu nadhani ni bora kuliko wote pale yaani ana skills za kupindukia, Kuanzia upangiliaji wa Playlists, scratching, mixing, cutting na Beat matching zilizo kwenda shule
 
Tanzania hakuna dj mkali kama yule dj scrachi designer wa clouds pale sema wanambania sana dogo yule anajua balaa yan .
Yeah! Scratch designer ana skills flani hivi za kipekee hata wenzie pale clouds fm wanalijua hilo hadi watangazaji walishawahi kuliongelea hilo kua scratch designer ana skills flani hivi amazing...
 
Sana yani jamaa anagonga ngoma sana nilikuwa tips pale kama 3weeks ago kulikuwa na kama exhibition fulani aligonga ngoma alafu yakaingia hayo madj domy sijui hamna kitu yan unaona kabisa tofauti ya uwezo
 
Sana yani jamaa anagonga ngoma sana nilikuwa tips pale kama 3weeks ago kulikuwa na kama exhibition fulani aligonga ngoma alafu yakaingia hayo madj domy sijui hamna kitu yan unaona kabisa tofauti ya uwezo
Halafu huyo d ommy ndo tunaambiwa ni international DJ sasa dah kweli watu sana bahati
 
Back
Top Bottom