Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

Kwako we we mwenyewe taja madj wako watatu unaona wako kwenye heat kwa sasa ,uwezo wao mkubwa..

Pia wale ambao ni talented pia na hawana nyota/bahati yaani wapo wapo tu ..

Na pia wale madj ambao ni overrated uwezo wao ni mdogo kuliko wanavyokuzwa ...

Mimi kwa kweli DJ d ommy huwa simuelewi uzuri jamaa anajua kujibrad ndo maana amefika mbali lakini uwezo wake ni kawaida

Tiririka
1. DJ JD
2. DJ malice
3. DJ 45 King.
 
Huyu mrembo ni mkali lakini wanamkuza sana hamkuti hata DJ mamy.
Lakini pia anajitahidi kujibrand
Anajua ila nae beat matching ni zero
Screenshot_20201007-214128.jpg
 
Back
Top Bottom