Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 13,322
- 25,149
Ndiyo anacheza akiwa huko kwao bububu, na kiwengwa kwenye shughuli anakuwa kama mswahili, full kushangaa akhaa! Ndo yule ashura wa upatu kakua voo,Duh mimi sijui mkuu
Ndiyo anacheza akiwa huko kwao bububu, na kiwengwa kwenye shughuli anakuwa kama mswahili, full kushangaa akhaa! Ndo yule ashura wa upatu kakua voo,Duh mimi sijui mkuu
Hahaha ila sibinadamu mkuu? Kila mtu ana starehe yake😅Sorry nimekosea lengo lilikuwa kumuuliza huyo aliesema aliesema alimuona akitikisa kalio taarabuni
Wanacheza wote hata mke wa mwinyi, yule Sabra machano a.k.a chips chafu huyu yupo serikali ya mapinduziSorry nimekosea lengo lilikuwa kumuuliza huyo aliesema aliesema alimuona akitikisa kalio taarabuni
Vijana mna uhuru sana ,kweli mama yenu kafungua nchiNdiyo anacheza akiwa huko kwao bububu, na kiwengwa kwenye shughuli anakuwa kama mswahili, full kushangaa akhaa! Ndo yule ashura wa upatu kakua voo,
Hahaha itabidi baada ya October nimuunge mkono huko wete na kizimkaziVijana mna uhuru sana ,kweli mama yenu kafungua nchi
Kuna kiumbe kinajiita chips chafu huko umapinduziniWanacheza wote hata mke wa mwinyi, yule Sabra machano a.k.a chips chafu huyu yupo serikali ya mapinduzi
Yupo mwanamama mmoja kama una Instagram tafuta Sabra machano, kutwa na shughuli, na kujipaka tope zao zile za usoni na kuchamba! A.k.a chips chafuKuna kiumbe kinajiita chips chafu huko umapinduzini
Nasikia hangaiya mkutanoni kafura, htree kisa gwaji boy,Hivi ikitokea watanzania wote tuamue kuwa chawa tutalipwa? Tlaatlaah
MIN me NI ile unamshusha na kumpandisha mtu kwa macho, ni hali ya kujiona bora kuliko mwingine unanata fulani.Kuwanyali ndio kufanya nini madam🤣 nitoe ushamba
Kwa heshima na taadhima na na kwa unyenyekevu mkubwa naomba ikikupendeza nimuite huyo mama Mpumbavu Mwandamizi japo simfahamu,Naomba kuwasilisha.Yupo mwanamama mmoja kama una Instagram tafuta Sabra machano, kutwa na shughuli, na kujipaka tope zao zile za usoni na kuchamba! A.k.a chips chafu
Hawa itakuwa hawana mjini Instagram maake hiyo kila mtu aliiona mbona na kutunzana buku buku, so kama huku bara watu wanamwaga radhi,MIN me NI ile unamshusha na kumpandisha mtu kwa macho, ni hali ya kujiona bora kuliko mwingine unanata fulani.
EvilSpirit ilikuwa kwenye harusi ya mtoto wa Raisi wa Zanzibar. Kuna mwimbaji wa taarabu alialikwa kuburudisha, sasa akawa amesimama pale anacheza wao wanayumbayumba si uchezaji kama wa huku Bara.
Hahaha ukimwita chips chafu fresh tuu 😂Kwa heshima na taadhima na na kwa unyenyekevu mkubwa naomba ikikupendeza nimuite huyo mama Mpumbavu Mwandamizi japo simfahamu,Naomba kuwasilisha.
"Hakwenda haja kubwa" unamaanisha nini?Mmoja anaitwa Dr na mwingine alizaa hakwenda haja kubwa.