Tofauti ya Samia na Hadija kopa ni ipi?

Tofauti ya Samia na Hadija kopa ni ipi?

Mimi nilipomuona kwenye harusi ya mtoto wa Dr Shein, akicheza taarabu huku anawanyali wamama wengine pembeni yake. Nikajua tu kuna shida sehemu fulani na ilikuwa bado mwanzo mwa uongozi wake. Na imekuja kuwa kweli. Katiba imetuangusha sana, tukubali hilo.
 
Mimi nilipomuona kwenye harusi ya mtoto wa Dr Shein, akicheza taarabu huku anawanyali wamama wengine pembeni yake. Nikajua tu kuna shida sehemu fulani na ilikuwa bado mwanzo mwa uongozi wake. Na imekuja kuwa kweli. Katiba imetuangusha sana, tukubali hilo.
Kuwanyali ndio kufanya nini madam🤣 nitoe ushamba
 
Mimi nilipomuona kwenye harusi ya mtoto wa Dr Shein, akicheza taarabu huku anawanyali wamama wengine pembeni yake. Nikajua tu kuna shida sehemu fulani na ilikuwa bado mwanzo mwa uongozi wake. Na imekuja kuwa kweli. Katiba imetuangusha sana, tukubali hilo.
Alikuwa anacheza taarabu akiwa rais
 
Sasa wezi wa mabwana, nitawachakachua,

Nawapa onyo full stop, ..hii ni challenge full gear....

Sasa saizi yako wa vichochoroni,

Dj Mtasha niletee

Hivyo vikarolaiti vyenu ntavipiga marufuku hapa,
 
Back
Top Bottom