Fukala yeye hata kupata chakula ni issue ngumu mnoWakuu kichwa kinajieleza ni ipi tofauti ya masikini na fukara yani ni nani aliye chini zaidi kati ya hao wawili niliowataja hapo juu?
NAWASILISHA:
Masikini na Fukara ni watu wawili tofauti kabisa:Wakuu kichwa kinajieleza ni ipi tofauti ya masikini na fukara yani ni nani aliye chini zaidi kati ya hao wawili niliowataja hapo juu?
NAWASILISHA:
KAMA UNA UHAKIKA SAWA...Ni jinsi unavyo jiona wewe