Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

Kwa 'rubbish🤮' hizi polisi wameshindwaje kuwakamata hao unaowaita CHADEMA, kwanini serikali inaogopa independent investigators ili kama kweli hawakuhusika basi watakuwa wamesafishika kwa majority ya raia na kimataifa pia. Wanaficha nini? Wanaogopa nini kisijulikane? Wanamlinda nani asiumbuke? Je polisi na serikali kwa ujumla kuyaficha hayo yote wanawalinda CHADEMA au wanajilinda wenyewe na viongozi wao?
Yaani hao independent investigators tuwalete waje tuwaonyeshe magofu ya sheli, mwendokasi, ofisi za serikali, malori, mahakama, vituo vya polisi, TRA, na ATM vilivyochomwa na waliopigwa risasi?

Kumbuka baadhi ya waliopigwa risasi walikuwemo hata askari, nani aliua askari wale?. Kama ukileta watu kutoka nje kuja kuchuguza matukio yale miongoni mwao watajipenyeza wale waliofadhili mapinduzi yale wanaozitaka rasilimali zetu; tunalijua hilo kaka, sisi sio maboya. Kule Iran wajumbe wa shirika la nguvu za atomic waliokwenda kuchunguza mradi wa nuclear wa Iran walipenyezwa watu wa Mossad waliotoa siri kwa Israel zilizorahisisha kushambuliwa kwa mitambo ya kurutubisha Uranium.

Kaka endelea kula ndizi kazi ya usalama na ulinzi waachie wataalam waliosomea kazi hiyo. Wachunguzi kutoka nje wapeleke kwa mkeo kujua kama anakusaliti au la, lakini sio mambo ya nchi hii.
 
CHADEMA haikuwa barabarani, CHADEMA haikuamuru polisi kupiga risasi na kuua watoto wasiokuwa na silaha na wala CHADEMA haikuzima mitandao ili dunia isifahamu namna Samia na timu yake wanavyoua watoto wa Tanganyika.
Ni chadema, hata vurugu zile zilikuwa kubwa naeneo ambayo kuna wafuasi/wachagga wengi wa chadema; kama kule Kimara, Moshi bar kule Kipunguni na Gongo la Mboto. Unadhani sisi ni mapoyoyo kama nyinyi.
 
Kila mtu kwenye taifa lolote anao wajibu wa kulinda uhai wake usitoweke kwa kuepuka visababishi na vihatarishi vya kifo. Hata wahenga walisema nyumbani kwa shujaa kila siku ni vilio na nyumbani kwa muoga kila siku kuna vicheko. Kama uwewe unatunishiana misuli na Amirijeshi Mkuu wa majeshi yote ya Tanzania unatarajia nini? Majeshi yote na askari wote wameapa kuilinda Katiba na kumtii Rais na Amirijeshi wao Mkuu. Hivyo, kabla ya kumfikia Amirijeshi Mkuu wao utalazimika kwanza kupimana ubavu na majeshi yote ya nchi hii. Someni Katiba yenu vizuri kabla ya kufanya upuuzi. Katiba hii ni tamu sana kwa watawala na hakuna anaetaka ibadilishwe. Hii Katiba ndiyo iliyomnusuru Nyerere asipinduliwe, ndiyo chanzo cha amani na utulivu tulionao sisi hapa Tz.

Katiba hii ndiyo inayoruhusu wachagga na makabila mingine kuweza kwenda kumiliki mapande makubwa ya ardhi za makabila mengine ilimradi hawavunji sheria. Katiba hii ndiyo inayoruhusu makanisa kumiliki ardhi kuuubwa nchini, Katiba hii ndiyo inayoruhusu wakimbizi kupewa uraia. Katiba hii imeleta umoja wa kitaifa, katiba hii ndiyo iliyosambaza umeme, zahanati, shule, maji, barabara nchi nzima.

Ukicheza na Katiba hii wafwa.
Mmenogewa damu za watu nyie
 
Mmenogewa damu za watu nyie
Usikubali mtu akutume ushike nyaya za umeme wa msongo mkubwa hata akupe hela ngapi. Timiza wajibu wako kuepuka kufa kizembe. Kama wangefanikiwa kuiangusha serikali vijana waliokufa wasingeyaona na wasingefaidi matunda ya kuiangusha serikali ya CCM, badala yake wangefaidi watoto wao ambao hawakushiriki kwenye vurugu ambao wakatiu wa vurugu walikuwa wanakula bata huko Canada na marekani. Msiwe mapoyoyo.
 
Yaani hao independent investigators tuwalete waje tuwaonyeshe magofu ya sheli, mwendokasi, ofisi za serikali, malori, mahakama, vituo vya polisi, TRA, na ATM vilivyochomwa na waliopigwa risasi?

Kumbuka baadhi ya waliopigwa risasi walikuwemo hata askari, nani aliua askari wale?. Kama ukileta watu kutoka nje kuja kuchuguza matukio yale miongoni mwao watajipenyeza wale waliofadhili mapinduzi yale wanaozitaka rasilimali zetu; tunalijua hilo kaka, sisi sio maboya. Kule Iran wajumbe wa shirika la nguvu za atomic waliokwenda kuchunguza mradi wa nuclear wa Iran walipenyezwa watu wa Mossad waliotoa siri kwa Israel zilizorahisisha kushambuliwa kwa mitambo ya kurutubisha Uranium.

Kaka endelea kula ndizi kazi ya usalama na ulinzi waachie wataalam waliosomea kazi hiyo. Wachunguzi kutoka nje wapeleke kwa mkeo kujua kama anakusaliti au la, lakini sio mambo ya nchi hii.
Mnaficha nini? Mnaogopa nini? Mnamlinda nani?
BOT iliwahi kuungua moto? Unafahamu nini kilifanyika na kwa nini? To clear all the doubts na kiweka imani kwa wananchi waliletwa international investigators ila sasa hivi kwa kuwa suspect number one wa massacre ni Samia eti yeye huyohuyo ndiyo ndiyo aunde tume ya kujichunguza. Pathetically absurd.
 
Ni chadema, hata vurugu zile zilikuwa kubwa naeneo ambayo kuna wafuasi/wachagga wengi wa chadema; kama kule Kimara, Moshi bar kule Kipunguni na Gongo la Mboto. Unadhani sisi ni mapoyoyo kama nyinyi.
Okay, Tunduma, Mbeya na maeneo mengi ya Morogoro road au siyo?
 
Ni wanaharakati tu hawa sawa na akina Tuck Carlson, McGregor, Scott Ritter, nk. Ni maoni yao. Hata Marekani zipo vurugu na watu wanauliwa na magereza yamejaa pomoni. Lakini maneno yao hayamalizi vita Ukraine, Sudan, DRC wala Iran. Hiyo nile ya "WHO ARE YOU" utuamulie sisi namna ya wapenda, kuwalinda, kuwahudumia, kuwaadhibu na kuwapongeza watu wetu?

Sio watu wetu tu, bali sisi watanzania tunajali hata wanyamapori wetu. Hatuhitaji kupewa somo la huruma kutoka nje. Sio watu wetu tu, bali tunajali hata wakimbizi kwa miaka mingi, na dunia yote inafahamu hilo.
Shamelessly contradicting yourself, umesifia international image ya Samia na clowns wake nikaamua kukuwekea references all of a sudden you're making a U-turn.
Feeling pain in your butt-hole?
 
Usikubali mtu akutume ushike nyaya za umeme wa msongo mkubwa hata akupe hela ngapi. Timiza wajibu wako kuepuka kufa kizembe. Kama wangefanikiwa kuiangusha serikali vijana waliokufa wasingeyaona na wasingefaidi matunda ya kuiangusha serikali ya CCM, badala yake wangefaidi watoto wao ambao hawakushiriki kwenye vurugu ambao wakatiu wa vurugu walikuwa wanakula bata huko Canada na marekani. Msiwe mapoyoyo.
Huku ni kutokujua dhamana ya mamlaka mliyonayo. Kwamba mkishakaa pale msiulizwe, msihojiwe msiwemwe...hupendi kuhojiwa kakae kwako mpikie mmeo
 
Mnaficha nini? Mnaogopa nini? Mnamlinda nani?
BOT iliwahi kuungua moto? Unafahamu nini kilifanyika na kwa nini? To clear all the doubts na kiweka imani kwa wananchi waliletwa international investigators ila sasa hivi kwa kuwa suspect number one wa massacre ni Samia eti yeye huyohuyo ndiyo ndiyo aunde tume ya kujichunguza. Pathetically absurd.
EU na Jumuiya ya madola tayari wameshachagua upande; tayari wameshainyima tz miasaada yao uchwara, tayari imeona Lissu hana hatia aachiwe, kesi iko mahakamani wao walijuaje kama Lissu hatakuwa na hatia?. Ni kuonyesha kuwa Lissu ni mtu wao na wanajua anachofanya. Huwezi kutuletea wachuguzi kutoka Ulaya ambao tayari wameshatuhukumu na kuhukumu kesi ya Lissu.

HATUWATAKI wao na misaada yao ya kijinga

View: https://www.youtube.com/live/kG5RXWVcwyU?si=CpiT8NmDfaobej-7
 
Okay, Tunduma, Mbeya na maeneo mengi ya Morogoro road au siyo?
Kwani Tutuma hakuna wachagga na wafuasi wa chadema?. Lazima kuna mchagga amehamasisha vijana kushiriki vurugu. Yaani hata pesa za kuwalipa vijana wafanye vurugu lazima zimefikia kwa mwanachadema/mchagga. Tumeshafanya utafityi huo tayari.
 
Shamelessly contradicting yourself, umesifia international image ya Samia na clowns wake nikaamua kukuwekea references all of a sudden you're making a U-turn.
Feeling pain in your butt-hole?
References zipi umenipa. Sisi watanzania hatuui watu wetu hovyo kama kwingineko, kifupi hatuuani labda tu kwa visa vya ulosi, wivu wa mapenzi na kudhulumiana kwenye mapato. Ukiona serikali imeua watu wake hilo sio jambo la kawaida hata dunia inashtuka.

Jambo moja ambalo linaibeba serikali kimataifa dhidi ya mauaji ya Oct29 ni kwamba kila kitu tunachobishaniana kipo kwenye Katiba yetu halali ambayo iko hata UN, EU, ICC na hata Jumuiya ya madola. Tunachobishaniana ni kuiandika upya au tusiiandike upya. Kuiandika upya haliwezi kuwa jambo la kufa na kupona; ni swala linalohitaji utulivu, amani na maelewano nchini. Huwezi kuandika katiba kwenye vurugu na misuguano maana Katiba ni jambo la wote na makundi yote nchini; sio chadema na CCM tu. Kifupi Tz ina Katiba halali Kabisa hata kama inayo mapungufu ya hapa na pale. Hakuna Katiba duniani ambayo haikwazi mtu au kundi fulani ndani ya nchi husika.

Uchaguzi wetu umefanyika kwa mujibu wa Katiba tuliyonayo na iliyoko hata UN na AU. Tume ya uchaguzi imeundwa kama vile Katiba inavyoelekeza iundwe. Katiba hii na sheria zetu zinatoa muongozo juu ya namna maandamano yanavyotakiwa kuitishwa na kufanyika. Kinyume cha kutii sheria hata ICC, UN, AU, au EU haiwezi kukusaidia kwakuwa na wao wataangalia ukiukwaji wa Katiba na sheria zetu uliofanywa na serikali au na waliouliwa/walioandamana. Hata Ulaya, Marekani, Asia na kweingineko hakuna kundi linaloitisha maandamano ya amani siku ya Uchaguzi Mkuu wa nchi zao. Je, maandamano waliyofanya wapinzani wa tz yalifuata Katiba yao na sheria zao?. Je, maandamano ya amani yanaruhusu kuchoma na kupora mali za umma na watu binafsi kwa mujibu wa Katiba yao tz?

Haya ni mawali hata ICC, UN, EU,... watajiuliza.
 
Huku ni kutokujua dhamana ya mamlaka mliyonayo. Kwamba mkishakaa pale msiulizwe, msihojiwe msiwemwe...hupendi kuhojiwa kakae kwako mpikie mmeo
Unaruhusiwa kuhoji lakini huruhusiwi kuzuia watu kwenda kupiga kura, kuchoma vituo vya kupigia kura wala kuchoma mali za watu. Kufanya hivyo ni kuingilia haki za wengi/wengine wakati unatimiza haki yako ya kuacha kwenda kupiga kura.
 
EU na Jumuiya ya madola tayari wameshachagua upande; tayari wameshainyima tz miasaada yao uchwara, tayari imeona Lissu hana hatia aachiwe, kesi iko mahakamani wao walijuaje kama Lissu hatakuwa na hatia?. Ni kuonyesha kuwa Lissu ni mtu wao na wanajua anachofanya. Huwezi kutuletea wachuguzi kutoka Ulaya ambao tayari wameshatuhukumu na kuhukumu kesi ya Lissu.

HATUWATAKI wao na misaada yao ya kijinga

View: https://www.youtube.com/live/kG5RXWVcwyU?si=CpiT8NmDfaobej-7

Hata kama ni zero brain ndiyo hauna hata common sense? For real common sense isn't common to some of you.
Kuamini tofauti na unavyoamini wewe kama ni kuchagua upande basi hata nyinyi mmeshachagua upande.
Let's check the facts, first and foremost hakuna treason case ya mtu mmoja, secondly hakuna treason case ya maneno kwani treason case ili isimame ni planning and executing hivyo Wazungu kuwabaini kuwa mmezingua na mmembambikia Lissu kesi ya uongo wako sahihi kabisa.
 
Kwani Tutuma hakuna wachagga na wafuasi wa chadema?. Lazima kuna mchagga amehamasisha vijana kushiriki vurugu. Yaani hata pesa za kuwalipa vijana wafanye vurugu lazima zimefikia kwa mwanachadema/mchagga. Tumeshafanya utafityi huo tayari.
You're mentally sick, pathetic and full of stupidity.
Hebu ambatanisha supporting facts ili iaminike kuwa ulichokiandika si uchoko.
 
References zipi umenipa. Sisi watanzania hatuui watu wetu hovyo kama kwingineko, kifupi hatuuani labda tu kwa visa vya ulosi, wivu wa mapenzi na kudhulumiana kwenye mapato. Ukiona serikali imeua watu wake hilo sio jambo la kawaida hata dunia inashtuka.

Jambo moja ambalo linaibeba serikali kimataifa dhidi ya mauaji ya Oct29 ni kwamba kila kitu tunachobishaniana kipo kwenye Katiba yetu halali ambayo iko hata UN, EU, ICC na hata Jumuiya ya madola. Tunachobishaniana ni kuiandika upya au tusiiandike upya. Kuiandika upya haliwezi kuwa jambo la kufa na kupona; ni swala linalohitaji utulivu, amani na maelewano nchini. Huwezi kuandika katiba kwenye vurugu na misuguano maana Katiba ni jambo la wote na makundi yote nchini; sio chadema na CCM tu. Kifupi Tz ina Katiba halali Kabisa hata kama inayo mapungufu ya hapa na pale. Hakuna Katiba duniani ambayo haikwazi mtu au kundi fulani ndani ya nchi husika.

Uchaguzi wetu umefanyika kwa mujibu wa Katiba tuliyonayo na iliyoko hata UN na AU. Tume ya uchaguzi imeundwa kama vile Katiba inavyoelekeza iundwe. Katiba hii na sheria zetu zinatoa muongozo juu ya namna maandamano yanavyotakiwa kuitishwa na kufanyika. Kinyume cha kutii sheria hata ICC, UN, AU, au EU haiwezi kukusaidia kwakuwa na wao wataangalia ukiukwaji wa Katiba na sheria zetu uliofanywa na serikali au na waliouliwa/walioandamana. Hata Ulaya, Marekani, Asia na kweingineko hakuna kundi linaloitisha maandamano ya amani siku ya Uchaguzi Mkuu wa nchi zao. Je, maandamano waliyofanya wapinzani wa tz yalifuata Katiba yao na sheria zao?. Je, maandamano ya amani yanaruhusu kuchoma na kupora mali za umma na watu binafsi kwa mujibu wa Katiba yao tz?

Haya ni mawali hata ICC, UN, EU,... watajiuliza.
Your mental sickness incurable, haohao uliowatumia kama reference ndiyo wanakata misaada kwamba mnakiuka katiba yenu wenyewe na mnaenda kinyume na sheria za kimataifa na mnakiuka haki za kiraia na za kibinadamu.
You have extreme brain fog.
 
Hata kama ni zero brain ndiyo hauna hata common sense? For real common sense isn't common to some of you.
Kuamini tofauti na unavyoamini wewe kama ni kuchagua upande basi hata nyinyi mmeshachagua upande.
Let's check the facts, first and foremost hakuna treason case ya mtu mmoja, secondly hakuna treason case ya maneno kwani treason case ili isimame ni planning and executing hivyo Wazungu kuwabaini kuwa mmezingua na mmembambikia Lissu kesi ya uongo wako sahihi kabisa.
Tumekataa habari za technicalities kwenye mambo ya usalama wa nchi. Ulisema utaasi na utakinukisha vibaya sana siku ya uchaguzi ili kuuzuia usifanyike na kweli mkakinukisha, mkachoma kila kitu na kuvamia vituo vya polisi mkapora silaha na sare za polisi na magofu na mabaki ya vilivyochomwa yapo mpaka sasa kwa ushahidi. Lissu amekamatwa kama suspect namba moja kutokana na alichokisema na kweli kikawa. Mahakama ndiyo itasema kama ana hatia au laa, sio chadema kusemabTAL hana hatia. Utawala wa sheria unapingana na ujinga kama huo.
 
Back
Top Bottom