Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,966
- 6,704
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 10 Septemba, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Septemba, 2026.
Soma Pia:
Miongoni mwa waliofika ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana, na January Makamba aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Soma Pia:
Miongoni mwa waliofika ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana, na January Makamba aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).