Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

Ni wazi huna taarifa za uhakika bali ni chuki yako binafsi kwake,na kwa mtu kama wewe ni ngumu kukuelezea ukaelewa,hata hivyo hivi unajua ni wanafunzi wangapi wanapewa mikopo kusoma vyuo vikuu? Unajua ni kiasi gani cha pesa hicho?Hakuna Rais yoyote aliyepita ana rekodinya kutoa fedha nyingi kama Samia,ama eti ni miradi ya mtangulizi wake,je fedha za kulipia miradi hiyo ameleta mtangulizi wake?Hivi unatembea nchini uone hospitali na shule alizojenga?Tuache kumchukua mtu bilashi
Pale dar es salaam anatembeza kendes zao kwenye barabara za kisasa kabisa, mji unavutia kila kona. SGR ndio kabisaa wananing'iniza zakaris zao kwa furaha kabisa. Bandari ile walikuwa wanaifaidi matapeli na wahuni wachache kabisa, wahuni na wapuuzi walikuwa wanataka kutuaminisha kuwa eti bandari imeuzwa, sasa hivi bandari imekuwa mkombozi wa taifa hili, mizigo bwelele kila kona tunakosa pa kuiweka.

Kaka taifa hili halijapata kuwa na Rais mahiri kama huyu, wengine wote walikuwa wabadhilifu kwa njia moja au nyingine. Mfano, Mwl Nyerere alitapanya hela zetu kuikombolea Afrika na vita ya kumrudisha Obote madarakani huko Uganda. Alikuwa anataka sifa za binafsi tu.
 
Rais Samia ana exposure kubwa sana ya kimataifa inayomfanya iwe vigumu kumchafua kimataifa.

Ni Rais mwanamke, dunia nzima inajua kuwa viongozi wa siasa nchi kwake wanamuonea kwakuwa ni mwanamke. Kama sehemu ya changamoto za wanawake duniani.

Dunia inamuona Rais Samia na uongozi wake kupitia vitendo na uongozi wa mtangulizi wake, Rais Magufuli. "Bora huyu"

Rais Samia hana wategemezi wengii maskini wa kutupwa kulinganisha na watangulizi wake.

Rais Samia anataka kuacha alama badala ya laana, wengine wanaacha watoto wengi mitaani.
Rais Samia katoka familia ambayo watoto wote waliheshimika, hata wale wa kike.

Maoni ya mtu hayapigwi rungu
Anakuwa mwanamke wa pili duniani kuwa dikteta baada ya Sheikh Hasina wa Bangladesh. Wote wana sifa ya kuua raia wao, kuteka, kupoteza na kuonea wapinzani wao
 
Inaonekana SSH anao uwezo wa kuongea na marais wake, uwezo wa kujishusha na kuwa katika ngazi moja ya kibinadamu na yule anayeongea nae.

Hana kujikweza hatangulizi majigambo na ujuaji katika ukuzaji wa uhusiano na marais wa mataifa mengine.

Hao CHADEMA ni wa kuhurumiwa tu, walitaka mpaka muda huu Tanzania iwe imeshafutika kwenye ramani ya dunia, baada ya kudhibitiwa wakaenda kujiliza kwa kina ICC!.

Hivi sasa serikali ya Marekani inaongelea namna ya kuifuta hiyo mahakama yao ya The Hague, wakati wao wanaharakati ndio wanawachukulia kuwa ni kimbilio lao.
Eti wanamtishia nyau Rais Samia kwa kutumia ICC, EU na Jumuiya ya madola. Wanafanya lobbing za kijinga na baadhi ya wazungu wanaoweza kuwashawishi wajumbe wa EU, Jumuiya ya madola na ICC ili Samia akamatwe au aondolewe. Wamekwama
 
..kuna watoto waliouwawa Oct 29.

..Ssh ndio Rais wa kwanza wa Tz kusababisha vifo vya watoto.
Ni mtekaji, mwizi wa chaguzi pia aliye dhubutu hata kumteka na kumpoteza mtu aliyemteua kuwa balozi!. Yaani ni rais asiyeamini mahakama zake hata kuhukumu raisa nje ya mahakama.
 
Eti wanamtishia nyau Rais Samia kwa kutumia ICC, EU na Jumuiya ya madola. Wanafanya lobbing za kijinga na baadhi ya wazungu wanaoweza kuwashawishi wajumbe wa EU, Jumuiya ya madola na ICC ili Samia akamatwe au aondolewe. Wamekwama
Hawa hawana uchungu na Tanzania kinachowaumiza vichwa ni njaa zao zinazowafanya wajikombe kwa wazungu wakiwa tayari kuiletea majanga nchi pekee waliyonayo.
 
Hawa hawana uchungu na Tanzania kinachowaumiza vichwa ni njaa zao zinazowafanya wajikombe kwa wazungu wakiwa tayari kuiletea majanga nchi pekee waliyonayo.

..hata Ssh naye hana uchungu na Tanzania na anajikomba kwa wazungu.

..hana uchungu, kwasababu pamoja na kuuwa watoto Oct 29, Ssh hajaomba radhi, wala kuwafariji waliopoteza wapendwa wao.

..Ssh anajikomba kwa wazungu, ndio maana amekodi na anailipa mabilioni kampuni ya lobbying nchini Marekani ili ikamsafishe kwa wazungu na mabeberu.
 
Hawa hawana uchungu na Tanzania kinachowaumiza vichwa ni njaa zao zinazowafanya wajikombe kwa wazungu wakiwa tayari kuiletea majanga nchi pekee waliyonayo.
Samia aliuliza wazungu swali moja tu ambalo hawalijibu mpaka sasa. Swali hilo ni "What are you?" Naomba chadema wawahimize wazungu walijibu hili swali haraka.
 
Ni mtekaji, mwizi wa chaguzi pia aliye dhubutu hata kumteka na kumpoteza mtu aliyemteua kuwa balozi!. Yaani ni rais asiyeamini mahakama zake hata kuhukumu raisa nje ya mahakama.
Shida ya chadema wanadhani wazungu wanapaswa kupata habari za uhakika kutoka tanzania kutoka kwao tu.

Wanadhani ICC hawajui kwanini watu waliuliwa Oct29.
Wanadhani wazungu hawana balozi na watu wao Tz.
Wanadhani serikali haizungumzi na wazungu kuhusu vurugu za oct29.
Wanadhani wazungu wote hawaipendi CCM.
Wanadhani wazunguzi hawajui kwanini kuna watu hawamtaki Samia.
Wanadhani wazungu hawajui ni akina nani hawamtaki Samia na kwanini.
Wanadhani wazungu hawajui kama Samia ndiye aliyefungulia vyama vya upinzani vifanye kazi tena baada ya kufungiwa na JPM.

Wanadhani wazungu hawajui kwamba Samia ndiye aliyewarejesha nyumbani akina Lissu kutoka mafichoni.

Chadema wanadhani wazungu hawajui kuwa hata nchi za ulaya yapo matatizo pia.

Wanadhani wazungu hawajui kuwa kuvamia vituo vya polisi ni ugaidi.

Wanadhani hawajui chochote kuhusu tz hadi chadema waseme. Nyashu hawa
 
Pale dar es salaam anatembeza kendes zao kwenye barabara za kisasa kabisa, mji unavutia kila kona. SGR ndio kabisaa wananing'iniza zakaris zao kwa furaha kabisa. Bandari ile walikuwa wanaifaidi matapeli na wahuni wachache kabisa, wahuni na wapuuzi walikuwa wanataka kutuaminisha kuwa eti bandari imeuzwa, sasa hivi bandari imekuwa mkombozi wa taifa hili, mizigo bwelele kila kona tunakosa pa kuiweka.

Kaka taifa hili halijapata kuwa na Rais mahiri kama huyu, wengine wote walikuwa wabadhilifu kwa njia moja au nyingine. Mfano, Mwl Nyerere alitapanya hela zetu kuikombolea Afrika na vita ya kumrudisha Obote madarakani huko Uganda. Alikuwa anataka sifa za binafsi tu.
Mimi sikatai kuwa kwenye utawala wake hakuna changamoto,zipo lakini kusema eti hajafanya kitu sio sawa,mfano kesho anazindua meli 4 za mizigo kigoma,anazindua ujenzi wa sgr kipande cha kigoma tabora,yote haya bado mtu anasema hajafanya kitu
 
Ataiponaje laana kwa mauaji yale?
Anapata thawabu nyingi kwa kuzuia mali za watanzania zisichomwe moto. Hata angekuwa mimi au Heche lazima angewaua tu. Vijana wetu walipata uwendawazimu, Mbwa kichaa unauliwa hapohapo asilete madhara kwa watu wengi. Na hata wakifanya vile tena watauliwa tena pia. Kazi ya serikali sio kubembeleza wahalifu bali kulinda nchi, raia na mali zao. Utambembeleza mtu aliyevamia vituo vya polisi na kupora silaha na sare za polisi?

Ninawalaani wote waliowasukuma vijana kwenda kuchoma mali zao wenyewe na kuhatarisha maisha yao. Hakuna nchi duniani ambayo wanakuwa hai watu wanaochoma reli, barabara, ofisi za serikali, vituo vya polisi, TRA, ATM, mahakama na hospitali. Hivyo ni vita kamili sio maandamano. Kinachotumika hapo ni the survival for the fittest; kupimana upavu.
 
Rais Samia ana exposure kubwa sana ya kimataifa inayomfanya iwe vigumu kumchafua kimataifa.

Ni Rais mwanamke, dunia nzima inajua kuwa viongozi wa siasa nchi kwake wanamuonea kwakuwa ni mwanamke. Kama sehemu ya changamoto za wanawake duniani.

Dunia inamuona Rais Samia na uongozi wake kupitia vitendo na uongozi wa mtangulizi wake, Rais Magufuli. "Bora huyu"

Rais Samia hana wategemezi wengii maskini wa kutupwa kulinganisha na watangulizi wake.

Rais Samia anataka kuacha alama badala ya laana, wengine wanaacha watoto wengi mitaani.
Rais Samia katoka familia ambayo watoto wote waliheshimika, hata wale wa kike.

Maoni ya mtu hayapigwi rungu
Blocked and Ignored successful!
 
Rais Samia hana wategemezi wengii maskini wa kutupwa kulinganisha na watangulizi wake.

Rais Samia anataka kuacha alama badala ya laana, wengine wanaacha watoto wengi mitaani.
1. Sasa mbona anajimilikisha kila kitu cha Tanganyika?

2. Sasa mbona kashalaanika?
 
1. Sasa mbona anajimilikisha kila kitu cha Tanganyika?

2. Sasa mbona kashalaanika?
Hata wewe najua ulishangaa sana ulipoona kijana anataka kuwa hai lakini anakwenda kuchoma kituo cha polisi na vituo vya mwendokasi. Najua wewe usingekubali kufanya ujinga kama huo hata ungepewa hela ngapi.
 
Shida ya chadema wanadhani wazungu wanapaswa kupata habari za uhakika kutoka tanzania kutoka kwao tu.

Wanadhani ICC hawajui kwanini watu waliuliwa Oct29.
Wanadhani wazungu hawana balozi na watu wao Tz.
Wanadhani serikali haizungumzi na wazungu kuhusu vurugu za oct29.
Wanadhani wazungu wote hawaipendi CCM.
Wanadhani wazunguzi hawajui kwanini kuna watu hawamtaki Samia.
Wanadhani wazungu hawajui ni akina nani hawamtaki Samia na kwanini.
Wanadhani wazungu hawajui kama Samia ndiye aliyefungulia vyama vya upinzani vifanye kazi tena baada ya kufungiwa na JPM.

Wanadhani wazungu hawajui kwamba Samia ndiye aliyewarejesha nyumbani akina Lissu kutoka mafichoni.

Chadema wanadhani wazungu hawajui kuwa hata nchi za ulaya yapo matatizo pia.

Wanadhani wazungu hawajui kuwa kuvamia vituo vya polisi ni ugaidi.

Wanadhani hawajui chochote kuhusu tz hadi chadema waseme. Nyashu hawa
Hebu achana na nani nazungumza na wazungu.
Tusemezane mimi na wewe.
Humphrey polepole yu wapi?
 
Samia aliuliza wazungu swali moja tu ambalo hawalijibu mpaka sasa. Swali hilo ni "What are you?" Naomba chadema wawahimize wazungu walijibu hili swali haraka.
Chawa kilaza kama huyo mamako, -'what are you' ndio nn hicho?!?!.
 
downloadfile-2.png
downloadfile-4.jpg
 
Back
Top Bottom