Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

Tumekataa habari za technicalities kwenye mambo ya usalama wa nchi. Ulisema utaasi na utakinukisha vibaya sana siku ya uchaguzi ili kuuzuia usifanyike na kweli mkakinukisha, mkachoma kila kitu na kuvamia vituo vya polisi mkapora silaha na sare za polisi na magofu na mabaki ya vilivyochomwa yapo mpaka sasa kwa ushahidi. Lissu amekamatwa kama suspect namba moja kutokana na alichokisema na kweli kikawa. Mahakama ndiyo itasema kama ana hatia au laa, sio chadema kusemabTAL hana hatia. Utawala wa sheria unapingana na ujinga kama huo.
Hakuna utawala wa sheria unaoteka watu mpaka kufikia kiwango cha kudhalilisha watu kingono, hakuna utawala wa sheria ambapo 'rais' anamiliki terror squad(wasiojulikana), hakuna utawala wa sheria mtawala anapojipachika madarakani kwa kumwaga damu mpaka kufikia sworn-in ceremony kushindwa kufanyika kwenye public(as the norm).
 
Hata kama ni zero brain ndiyo hauna hata common sense? For real common sense isn't common to some of you.
Kuamini tofauti na unavyoamini wewe kama ni kuchagua upande basi hata nyinyi mmeshachagua upande.
Let's check the facts, first and foremost hakuna treason case ya mtu mmoja, secondly hakuna treason case ya maneno kwani treason case ili isimame ni planning and executing hivyo Wazungu kuwabaini kuwa mmezingua na mmembambikia Lissu kesi ya uongo wako sahihi kabisa.

Hakuna utawala wa sheria unaoteka watu mpaka kufikia kiwango cha kudhalilisha watu kingono, hakuna utawala wa sheria ambapo 'rais' anamiliki terror squad(wasiojulikana), hakuna utawala wa sheria mtawala anapojipachika madarakani kwa kumwaga damu mpaka kufikia sworn-in ceremony kushindwa kufanyika kwenye public(as the norm).
Unapojipa jukumu la kuzuia uchaguzi Mkuu wa Kikatiba unaoipatia nchi viongozi ni sawa na kujitangazia kifo. Nchi haiwezi kubaki bila viongozi baada ya muda wao wa miaka 5 kutamatika. Hayo ni sawa na mapinduzi, uhaini baridi.

Tumeshamaliza ku describe WHO, WHERE na WHEN waliotaka kupindua, sasa hivi tuko kwenye kutafuta WHY ili tuwe ba uhakika.

Kwa mujibu wa Katiba yetu ni haramu nchi kuongozwa na viongozi ambao muda wao umekwisha, chadema walitaka hilo litokee tz ili waje na hoja nyingine mpya na yenye mashiko. Watanzania wako macho kuweni na kiasi.

Samia ni mama mstaarabu kwelikweli, ni muumini wa demokrasia ya staha. Alipovifungulia vyama vya siasa alidhani anafanya jambo jema lenye utu na utanzania, ila vyama alivyovifungulia vilimuangusha vibaya sana. Vimempatia roho ngumu, ujasiri na ukakamavu ambao hakuwa nao kabla. Anaongoza kulingana na mazingira yanavyomtaka. Watanzania tumemkabidhi nchi safi yenye amani, hivyo hawezi kuturudishia nchi iliyochomwa kila pahala. Atafanya kila kitu kuihami na kujihami. Mimi ninamuelewa sana.
 
Raisi ambae hajawai kupigiwa kura na wananchi wake..kamuua mtangulizi wake ili aingie madarakani..kaua wananchi wake na kujiapisha kwenye kambi ya jeshi ..samia ni takataka
 
Raisi ambae hajawai kupigiwa kura na wananchi wake..kamuua mtangulizi wake ili aingie madarakani..kaua wananchi wake na kujiapisha kwenye kambi ya jeshi ..samia ni takataka
Yaani chadema ikisusia uchaguzi basi wananchi wote hawakupiga kura. Wale mliokuwa mnakata vidole vyao vyenye wino ni akina nani? Au ule wino waliupata wakati wanawatia vidole?
 
Unapojipa jukumu la kuzuia uchaguzi Mkuu wa Kikatiba unaoipatia nchi viongozi ni sawa na kujitangazia kifo. Nchi haiwezi kubaki bila viongozi baada ya muda wao wa miaka 5 kutamatika. Hayo ni sawa na mapinduzi, uhaini baridi.

Tumeshamaliza ku describe WHO, WHERE na WHEN waliotaka kupindua, sasa hivi tuko kwenye kutafuta WHY ili tuwe ba uhakika.

Kwa mujibu wa Katiba yetu ni haramu nchi kuongozwa na viongozi ambao muda wao umekwisha, chadema walitaka hilo litokee tz ili waje na hoja nyingine mpya na yenye mashiko. Watanzania wako macho kuweni na kiasi.

Samia ni mama mstaarabu kwelikweli, ni muumini wa demokrasia ya staha. Alipovifungulia vyama vya siasa alidhani anafanya jambo jema lenye utu na utanzania, ila vyama alivyovifungulia vilimuangusha vibaya sana. Vimempatia roho ngumu, ujasiri na ukakamavu ambao hakuwa nao kabla. Anaongoza kulingana na mazingira yanavyomtaka. Watanzania tumemkabidhi nchi safi yenye amani, hivyo hawezi kuturudishia nchi iliyochomwa kila pahala. Atafanya kila kitu kuihami na kujihami. Mimi ninamuelewa sana.
Huyuhuyu bloodthirsty old witch ndiyo unamuita mstaarabu, shame on you. Hebu kawaeleze ujinga wako huo familia ya Ali Kibao au familia ya Mdude au Humphrey Polepole.
IMG-20260604-WA0251.jpg
 
Huyuhuyu bloodthirsty old witch ndiyo unamuita mstaarabu, shame on you. Hebu kawaeleze ujinga wako huo familia ya Ali Kibao au familia ya Mdude au Humphrey Polepole.
View attachment 3634168
Ali Kibao unadhani alikuwa na ugomvi gani na serikaali hadi wamteke? Suspect wa utekaji wa Ali Kibao ni chadema. Walimteka na harakaharaka wakasema ni serikali ili ku justify umuhimu wa kupatiwa misaada na wazungu ikiwepo familia zao kuendelea kupewa hadhi ya ukimbizi na mafao yanayoambatana na ukimbizi huko waliko. Yaani walimteka na kuisingizia serikali ili kuonyesha tz sio salama kwa familia zao kurudi kuishi. Walimteka na wakati huohuo walishaandaa BBC, DW, CNN vyombo vinavyofikisha haraka taarifa zinazoaminika kwa mabwana zao.

Ili jamaa wamimine fedha zao kwao lazima waonyeshe umuhimu wa kupewa fedha hizo. Bahati mbaya sana hata wewe ni mfuasi oyaoya tu hujui kama wenzenu wananufaika sana na project hii. Wewe familia yako tunayo hapa, lakini wenzenu familia zao haziko hapa, unajua nani anagharamia maisha yao huko?

Michezo hii tunaifahamu vilivyo.
 
Ali Kibao unadhani alikuwa na ugomvi gani na serikaali hadi wamteke? Suspect wa utekaji wa Ali Kibao ni chadema. Walimteka na harakaharaka wakasema ni serikali ili ku justify umuhimu wa kupatiwa misaada na wazungu ikiwepo familia zao kuendelea kupewa hadhi ya ukimbizi na mafao yanayoambatana na ukimbizi huko waliko. Yaani walimteka na kuisingizia serikali ili kuonyesha tz sio salama kwa familia zao kurudi kuishi. Walimteka na wakati huohuo walishaandaa BBC, DW, CNN vyombo vinavyofikisha haraka taarifa zinazoaminika kwa mabwana zao.

Ili jamaa wamimine fedha zao kwao lazima waonyeshe umuhimu wa kupewa fedha hizo. Bahati mbaya sana hata wewe ni mfuasi oyaoya tu hujui kama wenzenu wananufaika sana na project hii. Wewe familia yako tunayo hapa, lakini wenzenu familia zao haziko hapa, unajua nani anagharamia maisha yao huko?

Michezo hii tunaifahamu vilivyo.
You're the stupidest JF member I've ever encountered.
-The suspect is CHADEMA on what basis? Why did Samia say KIFO NI KIFO TU when CHADEMA and other civil rights groups were raising their voices for police to do the investigation on the matter?
Your level of ignorance beyond anybody's comprehension. If you claim to know the culprits, why aren't you taking them before the court of law?
NB: All criminal cases ordered by Samia the so called law enforcers act dumb and numb simultaneously, the patterns never lie.
 
Unapojipa jukumu la kuzuia uchaguzi Mkuu wa Kikatiba unaoipatia nchi viongozi ni sawa na kujitangazia kifo. Nchi haiwezi kubaki bila viongozi baada ya muda wao wa miaka 5 kutamatika. Hayo ni sawa na mapinduzi, uhaini baridi.

Tumeshamaliza ku describe WHO, WHERE na WHEN waliotaka kupindua, sasa hivi tuko kwenye kutafuta WHY ili tuwe ba uhakika.

Kwa mujibu wa Katiba yetu ni haramu nchi kuongozwa na viongozi ambao muda wao umekwisha, chadema walitaka hilo litokee tz ili waje na hoja nyingine mpya na yenye mashiko. Watanzania wako macho kuweni na kiasi.

Samia ni mama mstaarabu kwelikweli, ni muumini wa demokrasia ya staha. Alipovifungulia vyama vya siasa alidhani anafanya jambo jema lenye utu na utanzania, ila vyama alivyovifungulia vilimuangusha vibaya sana. Vimempatia roho ngumu, ujasiri na ukakamavu ambao hakuwa nao kabla. Anaongoza kulingana na mazingira yanavyomtaka. Watanzania tumemkabidhi nchi safi yenye amani, hivyo hawezi kuturudishia nchi iliyochomwa kila pahala. Atafanya kila kitu kuihami na kujihami. Mimi ninamuelewa sana.
Wewe ni chawa wa samuya na kula yako inategemea hilo, hapo utaachaje kumuelewa sasa?!.
Binafsi simuelewi hata chembe, kwanza form four yenyewe alifeli siwezi kumuelewa mtu wa hivyo mie!.
 
Back
Top Bottom