Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Tufunze vizazi vyetu kumjua Sana Mungu na kuenenda kwa mapenzi yake!Mtu anayekosa hofu ya Mungu Kama huyu ni zao la malezi mabovu yaliyokosa muongozo wa masuala ya kiroho, mtu wa namna hii ni tishio kwa jamii inayomzunguka,anaweza zua taharuki muda wowote
Ukute ni kachokoraa na buguruni malapa
 
hahaha so nipo nyetoni kwa sababu sina pesa ?
la hasha, nipo nyetoni kuokoa hizi dimes chache zilizobaki, nipo nyetoni kukwepa Gono, UTI, Kaswende na REA Phase-3

haina maana niko 40 huku nabugia mbaazi
Tunaweza kukuita Asexual lakini bado ngoja nitulie nitakuja kukuweka kundi lako mpo wengi tu Duniani,

Btw, sikuhukumu kila mtu na chaguzi zake hata mimi huku nilipo sina stress za Gono, Kaswende, HIV, wala Mimba zisizotarajiwa [emoji2960]
 
Tunaweza kukuita Asexual lakini bado ngoja nitulie nitakuja kukuweka kundi lako mpo wengi tu Duniani,

Btw, sikuhukumu kila mtu na chaguzi zake hata mimi huku nilipo sina stress za Gono, Kaswende, HIV, wala Mimba zisizotarajiwa [emoji2960]
Daah umenifanya niwaze Sana Mariposa!kwanini hakuna Kaswende kwani hamgusani?
 
My whole life aisee maisha yangu yana bahati sana asee kuna mambo hata sistahili lakini naona yananitokea tu tena mema sana

Huwaga naishi na huu msemo “tell me there is no God and i will tell you my story”

Acheni Mungu aitwe Mungu 🤲🏾
 
hahaha so nipo nyetoni kwa sababu sina pesa ?
la hasha, nipo nyetoni kuokoa hizi dimes chache zilizobaki, nipo nyetoni kukwepa Gono, UTI, Kaswende na REA Phase-3

haina maana niko 40 huku nabugia mbaazi
Pumbaaaaavu
 
Nimeanza kupewa suspension kuanzia shule ya msingi mpaka chuon kwa makosa ambayo sjashiriki...kama sio Sir God ningekua nshakata tamaa .lkn mpaka sasa nadunda naendelea na mapambano .I will only surrender where I die
Zaburi: 121
Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.
3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
5 Bwana ndiye mlinzi wako; Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume.
6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
7 Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
8 Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.
 
Nikinusulika na ajali mbaya ikiyoua watu 17, Aliyeniokoa ni mtu amabae simjui sikuwahi kimuona na sinawahi kimuona baada ya siku Ile. Mungu ni mwema

Zaburi 121​


Nitayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?
2 Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.
3 Asiuache mguu wako usogezwe; Asisinzie akulindaye;
4 Naam, hatasinzia wala hatalala usingizi, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
5 Bwana ndiye mlinzi wako; Bwana ni uvuli mkono wako wa kuume.
6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
7 Bwana atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
8 Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom