Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Mungu hakuna alilowahi kunisaidia, kikubwa anakula pesa zangu kila siku,

Mimi ndo namsaidia maana nampa pesa.

Nilikuwa na shida akanitupa halafu saivi eti nimtolee, kweli?

Kila nilichonacho nimekipata kwa jasho langu.

Kwanza hayupo na kama yupo hana nguvu yoyote, kiufupi mimi namzidi uwezo.
 
Mwalimu kumbe nawe ni bedui?
Bedui ni mtu katili kulingana na tafsiri ya mtandao hapo chini!

Hujajibu swali

Mungu yupi!!?
 

Attachments

  • Screenshot_20230419-072533.png
    Screenshot_20230419-072533.png
    70.7 KB · Views: 16
Mungu hakuna alilowahi kunisaidia, kikubwa anakula pesa zangu kila siku,

Mimi ndo namsaidia maana nampa pesa.

Nilikuwa na shida akanitupa halafu saivi eti nimtolee, kweli?

Kila nilichonacho nimekipata kwa jasho langu.

Kwanza hayupo na kama yupo hana nguvu yoyote, kiufupi mimi namzidi uwezo.
Aahaaaaaaah!?

Mkuu kumbe ndiyo Mungu wako alivyo

Ila kama hautajali


Mungu yupi huyo!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom