Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,710
- 54,583
Logical thinking mtaiweza wapi nyie kina zamwamwa na IQ robo walishindwa kina Aristotle na Da Vinci wenye IQ zao kamili wakakubali uwepo wakeTunataka logical thinking
Logical thinking mtaiweza wapi nyie kina zamwamwa na IQ robo walishindwa kina Aristotle na Da Vinci wenye IQ zao kamili wakakubali uwepo wakeTunataka logical thinking
hahaha so nipo nyetoni kwa sababu sina pesa ?Wewe endelea kutafuta pesa mbona ukizipata na nyeto utaacha tu
Mungu yupi sasa huyo!!?Unaamini kuhusu Mungu ama huamini?
We jibu kwanza swaliLogical thinking mtaiweza wapi nyie kina zamwamwa na IQ robo walishindwa kina Aristotle na Da Vinci wenye IQ zao kamili wakakubali uwepo wake
Mungu yupi huyo!?Nimeanza kupewa suspension kuanzia shule ya msingi mpaka chuon kwa makosa ambayo sjashiriki...kama sio Sir God ningekua nshakata tamaa .lkn mpaka sasa nadunda naendelea na mapambano .I will only surrender where I die
Kwahiyo aliyekuokoa ni huyo mtu au huyo Mungu wako!?Nikinusulika na ajali mbaya ikiyoua watu 17, Aliyeniokoa ni mtu amabae simjui sikuwahi kimuona na sinawahi kimuona baada ya siku Ile. Mungu ni mwema
Secondedhahaha so nipo nyetoni kwa sababu sina pesa ?
la hasha, nipo nyetoni kuokoa hizi dimes chache zilizobaki, nipo nyetoni kukwepa Gono, UTI, Kaswende na REA Phase-3
haina maana niko 40 huku nabugia mbaazi
Futa kauli mkuu utavuna ulichopandaMungu hakuna alilowahi kunisaidia, kikubwa anakula pesa zangu kila siku,
Mimi ndo namsaidia maana nampa pesa.
Nilikuwa na shida akanitupa halafu saivi eti nimtolee, kweli?
Kila nilichonacho nimekipata kwa jasho langu.
Kwanza hayupo na kama yupo hana nguvu yoyote, kiufupi mimi namzidi uwezo.
Atavuna nini!?Futa kauli mkuu utavuna ulichopanda
Kwani wewe unawajua akina Mungu wangap mkuu?Mungu yupi huyo!?
Mimi si mlumbanaji wa Mungu yupo ni Bora kuliko mwingine,never na usije ukadhani unaweza kuweka ligi na Mimi eti niseme Yehova ni Bora kuliko Allah,au Allah ni Bora kuliko Krishna,au Krishna ni Bora kuliko Buddha.....siko mlengo huo naamini katika JEHOVAH na simkatazi mtu kuamini anachoamini as long as anaamini ni Mungu na anajifunza yaliyo mema.A
Ahajaaaaa
Naona umerusha taulo ulingoni
Basi sawa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
mimi ndo napenda watu kama nyie,mliojichagulia njia yenu kwa hiari kabisa,safi sana mkuu,kaza sana kwenye njia yako,,,asikubugudhi mtu..na sisi tunashika sana tulichonacho...
Wengi wanajaza Dunia nzimaKwani wewe unawajua akina Mungu wangap mkuu?
Sawa Jehovan followerMimi si mlumbanaji wa Mungu yupo ni Bora kuliko mwingine,never na usije ukadhani unaweza kuweka ligi na Mimi eti niseme Yehova ni Bora kuliko Allah,au Allah ni Bora kuliko Krishna,au Krishna ni Bora kuliko Buddha.....siko mlengo huo naamini katika JEHOVAH na simkatazi mtu kuamini anachoamini as long as anaamini ni Mungu na anajifunza yaliyo mema.
Leta ushuhuda 😀😀😇😇😍😍Nilinusurika kufungwa miaka thelathini kwa kesi ya kubambikiwa
Wacha woga. Amekufuru nini? Kama baba ako hakusaidii usiseme?Hii ni kufuru tupu
Lete kisaSafari ilikuwa ngumu mno, kama siyo Mungu, Mamndenyi, na aseme sasa.