Ruhusu Mpango wa Mungu
Senior Member
- May 15, 2023
- 137
- 221
Tubu uongeayo.Mungu kasema ni mwenye uwivu.Mungu hakuna alilowahi kunisaidia, kikubwa anakula pesa zangu kila siku,
Mimi ndo namsaidia maana nampa pesa.
Nilikuwa na shida akanitupa halafu saivi eti nimtolee, kweli?
Kila nilichonacho nimekipata kwa jasho langu.
Kwanza hayupo na kama yupo hana nguvu yoyote, kiufupi mimi namzidi uwezo.