dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,606
- 60,877
kivipi ?Mungu hadhihakiwi;
kivipi ?Mungu hadhihakiwi;
Ndiyo huyo Mungu akakuokoa!?Nilinusurika kufungwa miaka thelathini kwa kesi ya kubambikiwa
Wapenda story tupo mubasharaBlah blah nyiiingii
Hivi huu ujasiri mnautoaga wapi?mtu Kama wewe hata kutoa mtu pumzi ni jambo Dogo Sana!Mungu hakuna alilowahi kunisaidia, kikubwa anakula pesa zangu kila siku,
Mimi ndo namsaidia maana nampa pesa.
Nilikuwa na shida akanitupa halafu saivi eti nimtolee, kweli?
Kila nilichonacho nimekipata kwa jasho langu.
Kwanza hayupo na kama yupo hana nguvu yoyote, kiufupi mimi namzidi uwezo.
Na hali ya hewa hii hutaki kukumbatiwa wewe hadi upande mnazimbona ni faida kubwa kwangu aisee

Mkuu punguza na acha dharau,haya mambo tuliletewa,unaweza kuaminishwa kuwa uko sahihi kumbe uko wrong kabisa;✔️
Kwahiyo Mungu unayemzungumzia hapa ni WA kwenye Biblia!?
Pole sana Kwa kuchagua kisicho faa
Unataka kunipa facts gan kaka?naomba hizo factsNdiyo huyo Mungu akakuokoa!?
Jibu swaliUnataka kunipa facts gan kaka?naomba hizo facts
na hali ya hewa hii naendaga rounds nyingi sana, jana pekee mpaka saa 4 asubuhi niko level ya 3 ya mnaziNa hali ya hewa hii hutaki kukumbatiwa wewe hadi upande mnazi![]()
Niue ukitakaMkuu punguza na acha dharau,haya mambo tuliletewa,unaweza kuaminishwa kuwa uko sahihi kumbe uko wrong kabisa;
Ndugu zetu hapo huwa mnakosea sana,mnakua busy kukosoa watu wa kitabu,wakati wao hawawakosoi ninyi,mle ndani ya kile kitu kilochoshushwa kuna walakini mwingi sana,ila huwa mnaachwa tu;
badilika,kujitambua ni kuona wengine wako kama wewe,ni kosa kubwa kudhani uko sahihi kwenye imani;
Kila.mtu ashinde mechi zake tukutane final 😅😅😅✔️
Kwahiyo Mungu unayemzungumzia hapa ni WA kwenye Biblia!?
Pole sana Kwa kuchagua kisicho faa
Wanajishaua tu kwenye internet ila kiuhalisia wala hawapo hivyo, akijikwaa kidogo tu kishamlilia MunguHivi huu ujasiri mnautoaga wapi?mtu Kama wewe hata kutoa mtu pumzi ni jambo Dogo Sana!
AahaaahaaKila.mtu ashinde mechi zake tukutane final 😅😅😅
Kwa hiyo wanataka sifa?Wanajishaua tu kwenye internet ila kiuhalisia wala hawapo hivyo, akijikwaa kidogo tu kishamlilia Mungu
Sijaona uhusiano wa wowote kati ya Mungu wako na pumzi yanguWanajishaua tu kwenye internet ila kiuhalisia wala hawapo hivyo, akijikwaa kidogo tu kishamlilia Mungu
Tunataka logical thinkingKwa hiyo wanataka sifa?
Pole sana,na hali ya hewa hii naendaga rounds nyingi sana, jana pekee mpaka saa 4 asubuhi niko level ya 3 ya mnazi
sitaki cuddling

Tena za kijingaKwa hiyo wanataka sifa?
Unaamini kuhusu Mungu ama huamini?Sijaona uhusiano wa wowote kati ya Mungu wako na pumzi yangu