Oya eeh sio pw..
2018 nilikua natumiki kifungo changu katika gereza la ISIS mbarali,tulikua tunafyatua tofali(zile zenye foroma mbili) yaan kwa wakati mmoja unabeba tofali mbili halafu mchakamchaka na nyuma yako kuna kiherehere anakutandika viboko...
kiukweli ile hali ya kupigwa niliichoka(nkakumbuka nimekaa jkt miez 3) nikawaza hapa nisipotumia ukakamavu wangu nitapigwa mpaka mgongo utaoza...
wakat kiherehere ananipiga nikammwagia yale matope usoni halafu nikamkumba mpaka chini tukaanza kugaragazana,wenzie wakaja...
ile wanaanza kunipiga akaja nyapara akaita jina langu,nikaitika chap "NIPO BWANA MKUBWA" akasema unaitwa ubaoni...dah kumbe bro alikua amefanya mpango wa kunitoa...NILIUONA UTUKUFU WA MUNGU SIKU ILE..