Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Mimi si mlumbanaji wa Mungu yupo ni Bora kuliko mwingine,never na usije ukadhani unaweza kuweka ligi na Mimi eti niseme Yehova ni Bora kuliko Allah,au Allah ni Bora kuliko Krishna,au Krishna ni Bora kuliko Buddha.....siko mlengo huo naamini katika JEHOVAH na simkatazi mtu kuamini anachoamini as long as anaamini ni Mungu na anajifunza yaliyo mema.
Be blessed 😍😍😍
 
Oya eeh sio pw..
2018 nilikua natumiki kifungo changu katika gereza la ISIS mbarali,tulikua tunafyatua tofali(zile zenye foroma mbili) yaan kwa wakati mmoja unabeba tofali mbili halafu mchakamchaka na nyuma yako kuna kiherehere anakutandika viboko...
kiukweli ile hali ya kupigwa niliichoka(nkakumbuka nimekaa jkt miez 3) nikawaza hapa nisipotumia ukakamavu wangu nitapigwa mpaka mgongo utaoza...

wakat kiherehere ananipiga nikammwagia yale matope usoni halafu nikamkumba mpaka chini tukaanza kugaragazana,wenzie wakaja...

ile wanaanza kunipiga akaja nyapara akaita jina langu,nikaitika chap "NIPO BWANA MKUBWA" akasema unaitwa ubaoni...dah kumbe bro alikua amefanya mpango wa kunitoa...NILIUONA UTUKUFU WA MUNGU SIKU ILE..
 
Oya eeh sio pw..
2018 nilikua natumiki kifungo changu katika gereza la ISIS mbarali,tulikua tunafyatua tofali(zile zenye foroma mbili) yaan kwa wakati mmoja unabeba tofali mbili halafu mchakamchaka na nyuma yako kuna kiherehere anakutandika viboko...
kiukweli ile hali ya kupigwa niliichoka(nkakumbuka nimekaa jkt miez 3) nikawaza hapa nisipotumia ukakamavu wangu nitapigwa mpaka mgongo utaoza...

wakat kiherehere ananipiga nikammwagia yale matope usoni halafu nikamkumba mpaka chini tukaanza kugaragazana,wenzie wakaja...

ile wanaanza kunipiga akaja nyapara akaita jina langu,nikaitika chap "NIPO BWANA MKUBWA" akasema unaitwa ubaoni...dah kumbe bro alikua amefanya mpango wa kunitoa...NILIUONA UTUKUFU WA MUNGU SIKU ILE..
🤣🤣🤣🤣Hakika ni Mungu tu alikuokoa kwenye mikono ya kiherehere Maana ungekiona Cha moto siku hiyo
 
Oya eeh sio pw..
2018 nilikua natumiki kifungo changu katika gereza la ISIS mbarali,tulikua tunafyatua tofali(zile zenye foroma mbili) yaan kwa wakati mmoja unabeba tofali mbili halafu mchakamchaka na nyuma yako kuna kiherehere anakutandika viboko...
kiukweli ile hali ya kupigwa niliichoka(nkakumbuka nimekaa jkt miez 3) nikawaza hapa nisipotumia ukakamavu wangu nitapigwa mpaka mgongo utaoza...

wakat kiherehere ananipiga nikammwagia yale matope usoni halafu nikamkumba mpaka chini tukaanza kugaragazana,wenzie wakaja...

ile wanaanza kunipiga akaja nyapara akaita jina langu,nikaitika chap "NIPO BWANA MKUBWA" akasema unaitwa ubaoni...dah kumbe bro alikua amefanya mpango wa kunitoa...NILIUONA UTUKUFU WA MUNGU SIKU ILE..
Aliyekutoa ni bro au Mungu!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom