Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Toa ushuhuda wowote ambao unadhani bila Mungu usingetoboa

Bado nakumbuka sana mwezi ule niliota ndoto fulani kuwa napiga story kuhusu Ukimwi (HIV) , basi nilipoamka week lote hata nikijisahaulisha basi ile ndoto na mada za Ukimwi zinakuja...

Hata mtandaoni yani nikigusa tu Twitter, na huku jf basi nakutana na mada za HIV tu..

Mwezi mmoja badae, siku moja usiku niliumwa sana usiku, pumzi ilikuwa kama inanata hivi asubuhi yake nilikuwa kitandani hospital nilizima usiku uleule

Nilishtuka nikakuta drip lipo mkononi, na doctor Mzee mmoja wa makamo yupo na ndugu zangu 5..

Nikapigwa vipimo vingi majibu yakaja nina TB nikazimia hahaha.. nilivyoshtuka doctor akanipiga elimu na kuniuliza kama nimewahi pima HIV, nikamwambia hapana,

Honestly I was so loyal kiasi kwamba nilikuwa na mpenzi mmoja tu

Basi akanipa counseling ya kuniandaa kisaikolojia juu ya majibu maana aliona nimeanza panick.

Nikapimwa pale majibu yakawa negative yani imagine familia nzima wazazi, sisters na brothers 2 wote walilia

Hapo kilo zimekata na nikatakiwa kuundergo matibabu miez 6...

Fast foward niliomba Mungu anifunulie nilipata wapi hiyo TB..ndipo Mungu akajifunua mbele zangu kuna siku nilimface tu bae wangu kuwa sina amani nae, tukapime..

She was shocked vibaya mno na nikakazia tunapima ukimwi.... Akagoma na akasema namchukulia cheap sababu ananipenda na anajitoa kwangu...

Nikamshit, sababu sikuwa na uhakika lakini mwezi mzima hatutafutani, mwisho wasiku akanitafuta kuna ktu anataka kuniambia..

Sikuhiyo ndo akafunguka kuwa amezaliwa na HIV na alitamani sana kuniambia lakini alishindwa..

Hapo imagine nimelala nae zaidi ya two years tena mara 20+ kavu....the whole year nilipima nikawa salama

Mungu mwema sana, maana nisingejua hali yake ningeendelea and you never know..

Kitu kingine chaajabu kwayule girl alikuwa mkavu nikawa natumia sana mafuta kumlainisha na hapo sijawahi tumiaga kabla..

I look back na kumuogopa sana Mungu pia naogopa sana kuomba Mungu anifunulie mambo mengine maana anatuepusha na mengi bila ya sisi kuona
 
Oya eeh sio pw..
2018 nilikua natumiki kifungo changu katika gereza la ISIS mbarali,tulikua tunafyatua tofali(zile zenye foroma mbili) yaan kwa wakati mmoja unabeba tofali mbili halafu mchakamchaka na nyuma yako kuna kiherehere anakutandika viboko...
kiukweli ile hali ya kupigwa niliichoka(nkakumbuka nimekaa jkt miez 3) nikawaza hapa nisipotumia ukakamavu wangu nitapigwa mpaka mgongo utaoza...

wakat kiherehere ananipiga nikammwagia yale matope usoni halafu nikamkumba mpaka chini tukaanza kugaragazana,wenzie wakaja...

ile wanaanza kunipiga akaja nyapara akaita jina langu,nikaitika chap "NIPO BWANA MKUBWA" akasema unaitwa ubaoni...dah kumbe bro alikua amefanya mpango wa kunitoa...NILIUONA UTUKUFU WA MUNGU SIKU ILE..
🤣🤣🤣🤣

Zaburi 46:1 SUV​

Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
 
Asante ndugu dronedrake kwa ushuhuda uliotoa....👏👏👏😀
hapana, ila nashukuru sana wallet yangu imepona, powerCef siijui


picha kibao za watoto wazuri nnazo kuanzia ella knox, sierra nicole, lola fox na wengineo, na ndiyo hua nawapigiaga nyeto kila leo, na sijawahi kujuta, nyama kwa nyama namuachia Mzee wa kupambania
 
Niliumwa sana nilivokua third year, But kwa uwezo wa MUNGU nikapona and nikamaliza shule

GOD never fail , he will just find a way and ppo to secure you , Glory to him alone 😍😍😍😍
 
Bado nakumbuka sana mwezi ule niliota ndoto fulani kuwa napiga story kuhusu Ukimwi (HIV) , basi nilipoamka week lote hata nikijisahaulisha basi ile ndoto na mada za Ukimwi zinakuja...

Hata mtandaoni yani nikigusa tu Twitter, na huku jf basi nakutana na mada za HIV tu..

Mwezi mmoja badae, siku moja usiku niliumwa sana usiku, pumzi ilikuwa kama inanata hivi asubuhi yake nilikuwa kitandani hospital nilizima usiku uleule

Nilishtuka nikakuta drip lipo mkononi, na doctor Mzee mmoja wa makamo yupo na ndugu zangu 5..

Nikapigwa vipimo vingi majibu yakaja nina TB nikazimia hahaha.. nilivyoshtuka doctor akanipiga elimu na kuniuliza kama nimewahi pima HIV, nikamwambia hapana,

Honestly I was so loyal kiasi kwamba nilikuwa na mpenzi mmoja tu

Basi akanipa counseling ya kuniandaa kisaikolojia juu ya majibu maana aliona nimeanza panick.

Nikapimwa pale majibu yakawa negative yani imagine familia nzima wazazi, sisters na brothers 2 wote walilia

Hapo kilo zimekata na nikatakiwa kuundergo matibabu miez 6...

Fast foward niliomba Mungu anifunulie nilipata wapi hiyo TB..ndipo Mungu akajifunua mbele zangu kuna siku nilimface tu bae wangu kuwa sina amani nae, tukapime..

She was shocked vibaya mno na nikakazia tunapima ukimwi.... Akagoma na akasema namchukulia cheap sababu ananipenda na anajitoa kwangu...

Nikamshit, sababu sikuwa na uhakika lakini mwezi mzima hatutafutani, mwisho wasiku akanitafuta kuna ktu anataka kuniambia..

Sikuhiyo ndo akafunguka kuwa amezaliwa na HIV na alitamani sana kuniambia lakini alishindwa..

Hapo imagine nimelala nae zaidi ya two years tena mara 20+ kavu....the whole year nilipima nikawa salama

Mungu mwema sana, maana nisingejua hali yake ningeendelea and you never know..

Kitu kingine chaajabu kwayule girl alikuwa mkavu nikawa natumia sana mafuta kumlainisha na hapo sijawahi tumiaga kabla..

I look back na kumuogopa sana Mungu pia naogopa sana kuomba Mungu anifunulie mambo mengine maana anatuepusha na mengi bila ya sisi kuona
🙏🏾🙏🏾
 
I had a serious car accident last 6 years, everyone thought I must be died because the car used to roll three times upside down.

But God is good 👍 🙏, I came out without having a single fracture and sheding a single blood on my body even after taking series of CTScan and Xrays, my body was real Okay

He (Almighty God) Saved me 🙏🙏🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom