To my dear single mothers

To my dear single mothers

Mifano hai tunayo, lakini kwanini jamii inawachukulia single mothers kama wanawake wenye hatia? Fikiria kama mama asingeogopa asingempeleka mtoto kwa dada yake na yeye alijiona kiuchumi hawezi kumudu malezi ya mtoto.


Wanaume kabla hamjaacha mtoto myafikirie haya.
Huyu alikuwa anajiweza. ..sema Masharti yalitoka kwa mume. ....hataki yule mtoto kwenye Ndoa yake.
Na huyo mama kuficha Aibu ili aolewe ikabidi Dada mtu amsitiri.
It was a selfish act.
 
Huyu alikuwa anajiweza. ..sema Masharti yalitoka kwa mume. ....hataki yule mtoto kwenye Ndoa yake.
Na huyo mama kuficha Aibu ili aolewe ikabidi Dada mtu amsitiri.
It was a selfish act.
Hapa hatuangalii uwezo tunaangalia mapenzi aliyoyakosa mtoto kutoka kwa mama yake na sasa amekua mkubwa amejenga chuki kubwa kwa mama yake.
 
Una akili sana..! Ukisha likoroga utulie pale kujifanya superstar unamdindia mtu ambaye ameisha kuzalisha ni upumbavu bora uwekeze kutafuta solution za ugomvi wenu mwanao atapona mengi.

Afu mjue huwa tunapata kigugumizi kujua nini kilitokea jamaa akakuacha na mtoto wake asitake kukuoa??
Maswali yanabaki kuwa mengi..kilichomkimbiza mwanaume mwenzako lazima na ww kitakutafuna tu
 
Maswali yanabaki kuwa mengi..kilichomkimbiza mwanaume mwenzako lazima na ww kitakutafuna tu
Kama umempenda na uko tayari kwa mahusiano kasoro zake utajua jinsi ya kuzihandle na kuzirekebisha.
 
Nimekuelewa sasa,
Yeah ndio Kesha muathiri mtoto.
Na huwezi amini. ..mtoto naye amefanya same thing aliyofanya mama yake.
Mtu wangu wa karibu yalimkuta haya, alimuacha mtoto kwa wazazi wake na kuendelea na shule, alipokuwa shule alimpata mwanaume mwingine walioana.

Yule baba mtoto alipokuja alimwambia kabisa kuwa kwangu mimi wewe ni marehemu. Ukitaka uhusiano na mtoto wako subiri akue, mtoto alikua na kumtafuta baba yake, baba ana pesa ndefu lakini mtoto amemwambia hana shida nayo. Inamuuma.

Kabla ya kuancha mtoto mfikirie kwanza.
 
Hapa hatuangalii uwezo tunaangalia mapenzi aliyoyakosa mtoto kutoka kwa mama yake na sasa amekua mkubwa amejenga chuki kubwa kwa mama yake.
We hawez kumchukia mamaa make bhna. Mama ndo kamfanyia kila kitu akiwa mdogo. Istohe akiwa kijijn hua anatumiwa matumiz kamaa kawaaida na mawasiliaano ya simu yana endelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mtoto kwanini usimpeleke kwa babayake akalelewe huko? Bora hata akiwa wakike, kama ni wakiume akiwa mkubwa anakukoromea kuwa wewe siyo babayangu, nipelekeni kwa babayangu. Anaweza anza kuvuta mi bangi yake na ukimzibua ni kosa. Hapo umesha sacrifice mengi kwaajili yake kama mwanao wa kumzaa tokea akiwa mdogo lakini hayo maudhi na kiburi utajuta. Narudia tena, wapelekeni kwa baba zao. Kama ni wakike, mlete tuu nyumbani kwangu. Maana asilimia kubwa ya malezi ya mtoto wa kike yame base kwa mama na mama ndo anawezakumkanya kwa usahihi na hata akibadilika mama anaweza ku note mapema akamrudisha kwenye mstari. Maana girls siyo viburi kama boys.
NB: Kama wewe ni single parent, olewa na single parent. Hapo ngoma draw.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wanachekwa kwa kukosa msimamo, mwanaume yeyote anaemini kile anachokitetea na kusimamia hoja yake jamii itamheshimu.


Umenena vema sana. Msimamo ni kitu muhimu sana katika mahusiano.
 
Yah yah nyinyi mnaosema uhusiano umekwisha si wa kulaumiwa kabisa, kwasababu mama ndiye aliyebeba mtoto tumboni asiwe na maisha wakati wewe uko free kuoa na kuendelea na maisha yako.
Mimi ndiyo hapo huwa nasema wengi wao(singomaza) hukosa msimamo na hubaki wanayumba kimaisha, ukiamua kama mwanamke hutopata shida baba mtoto akiona vyema kumhudumia mtoto wake uwepo utaratibu wa kumhudumia km hataki pambana na hali yako siyo unakuwa na tamaa huku na huku mwisho wake unakosa kotekote! Baba mtoto huwa analazimisha kuwafanya michepuko kwa kigezo cha kumhudumia mtoto sasa wengi ni wapumbavu huwa wanakuwa victims wa huu ujinga.

Singo maza akiamua kupambana mwanae hawezi kushindwa kumlea na akipata mtu akakuta hakuna uhusiamo na baba mtoto ata aoni shida kutoa sadaka amlee yule mtoto. Ni rahisi mke aliyefiwa na mume kuolewa kuliko mama mwenye mtoto na baba wa mtoto yuko hai..!
 
C wanasema ukipenda boga upende na ua lake hyo imekaaje and kwann mwanamke akimkuta mwanaume na mtoto anakubal lakin kwa wanaume n tofaut... Kwa ukatl huo acha tu mama wa kambo aitwe wa kambo! Mungu ataelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si dudu tu, kuna mengi, kwanza ni security, unapojulikana wewe ni mke wa flani kuna heshima na protection, pia wanaume hawafirii kuwa watakupata kirahisi.
Muunganiko mkubwa wa ndoa ni dudu maana ni dudu ndio inayokufanya uitwe mke wa Fulani,siachi wanangu kwa ajili ya kijidudu cha mpito hivi mkiachana na kule kijijini mtoto akawa mkubwa akajenga chuki juu yako na upendo kwa bibi yake utakuja kumweleza nini akuelewe pale utapomkimbilia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom