To my dear single mothers

To my dear single mothers

Ninafahamu hayo mkuu lakini makosa yanapotokea kama jamii tutayarekebisha vipi. Tusipoliangalia hili wanaoteseka ni watoto wasio na hatia.
Unawatesa kwa kuwa hukuamini. Na hayo mateso lazima yakurudie.

Uzinzi na uasherati wako unaihusu nini jamii? That's your own damned problem.
 
Tafiti zinaonyesha wasenge na makahaba wengi ni watoto wa single mother.

Nisome vizuri, nasema wengi sisemi wote.
 
Thank you, unakuta una mume hataki kumuona mwanao, mume akiwa safarini ndiyo unaangiza mwanao aletwe, ukisikia anaingiza gari gatini unamwambia mtoto aondoke kwa kupitia mlango wa jikoni ni maisha gani haya hata kama ni pesa.

Haya ni mateso na hapo hakuna mapenzi kabisa, utampendaje Mama ukamchukia mtoto? Nikimpenda single mama jambo la kwanza ni kumjali mtoto wake.
 
Kwa kweli huwezi Sema unanipenda halafu umchukie mwanangu.... Kweli sitakuwa tayari kuolewa niishi mjini na mwanangu alelewe na bibi. Huyo mwanaume atafute tuu mwanamke ambae hajazaa tu...
 
Kwa kweli huwezi Sema unanipenda halafu umchukie mwanangu.... Kweli sitakuwa tayari kuolewa niishi mjini na mwanangu alelewe na bibi. Huyo mwanaume atafute tuu mwanamke ambae hajazaa tu...
Single mothers wengine wanaona aibu hata kusema kuwa ana mtoto
 
Thank you, unakuta una mume hataki kumuona mwanao, mume akiwa safarini ndiyo unaangiza mwanao aletwe, ukisikia anaingiza gari gatini unamwambia mtoto aondoke kwa kupitia mlango wa jikoni ni maisha gani haya hata kama ni pesa.
Hivi kuna watu bado wanafanya huu ubaguzi!? aisee hao single mom before hawajakubali kuanzisha mahusiano na mwanaume mwingine inabidi wadiscuss makuzi ya mtoto wa aliyemkuta na sio mahaba niue..inatakiwa akipenda boga, apende na ua lake.
 
Hivi kuna watu bado wanafanya huu ubaguzi!? aisee hao single mom before hawajakubali kuanzisha mahusiano na mwanaume mwingine inabidi wadiscuss makuzi ya mtoto wa aliyemkuta na sio mahaba niue..inatakiwa akipenda boga, apende na ua lake.
Uongee pia na baba mtoto kama kuna mawasiliano kuwa nimepata mtu wa junior na amekubali kumlea mtoto kwahiyo sitaki mawasiliano yeyote na wewe kuanzia sasa yatanivurugia ndoa yangu
 
Uongee pia na baba mtoto kama kuna mawasiliano kuwa nimepata mtu wa junior na amekubali kumlea mtoto kwahiyo sitaki mawasiliano yeyote na wewe kuanzia sasa yatanivurugia ndoa yangu
Hilo ndo linalotakiwa,but hivi unajua bibie wanawake wengi hawapend kumove on kutoka kwa mababe dady wao kwa kigezo cha kusema wanataka huduma,yaani wanataka baba jr yeye amuhudumie mtoto atakaye kuwa kwa baba mpya? Hapo ndo wanapoishia kufeli na kuleta migongano.
 
Hilo ndo linalotakiwa,but hivi unajua bibie wanawake wengi hawapend kumove on kutoka kwa mababe dady wao kwa kigezo cha kusema wanataka huduma,yaani wanataka baba jr yeye amuhudumie mtoto atakaye kuwa kwa baba mpya? Hapo ndo wanapoishia kufeli na kuleta migongano.
Hapo ndiyo makande na mseto vinapoanza fikiria huyo mume mpya angekuwa na uhusiano unaoendelea na mwanamke mwingine ungependa?
 
Hapo ndiyo makande na mseto vinapoanza fikiria huyo mume mpya angekuwa na uhusiano unaoendelea na mwanamke mwingine ungependa?
Nisingependa haswaa!inatakiwa jamani watu wakishaachana waachane jumla huyo mtoto ukiondoka naye ndo kimoja hamna kuangalia nyuma atamtafuta baba ake akitaka kuoa au kuolewa ukubwani..haahha
 
Nisingependa haswaa!inatakiwa jamani watu wakishaachana waachane jumla huyo mtoto ukiondoka naye ndo kimoja hamna kuangalia nyuma atamtafuta baba ake akitaka kuoa au kuolewa ukubwani..haahha
Mtoto akifika secondary pia anaweza kwenda likizo kwa baba yake lakini sio mambo ya kunipigia simu saa nane usiku kuniuliza hali ya junior wakati mimi ni mke wa mtu
 
Km ni ndoa binafsi wacha ife ama nisiolewe jamani, nitajitengaje na mwanang jamani,aisee hapana
Unaweza kukuta mwanaume hana maneno matatizo yana kuwa kwa baby father ambae anajuinea wivu sasa umeolewa
 
mwanaume..nina maana mwanaume kama amegundua wewe ni wife material hawezi kukuacha hivi hivi mtoto hana shida ukimpenda mama lazma umpende na mtoto na ikitokea mwanaume anakwambia mtoto wako umpeleke sehem ili uishi nae ujue hapo kuna masimango sana itakuwa ukimkosea kidogo masimango hayaishi kama sikukukuta bikra, ndio maana ulizaa ikaachwa na mengi mengineyo, mtoto mdogo hali hata robo kilo, kwanini umnyanyapae? wengine wanaogopa gharama za kusomesha mtoto asiye wake, watoto ni malaika tu, nasema hivi ipo mifano mingi tuu watoto wa kuwalea jindi wanavyokuja kuwa msaada hapo baadae kwa familia...Mimi niko na mtoto namlea na huwezi jua kama c wangu na hata jina shuleni nimemuandikisha la kwangu na di yeye wala ndugu zake wote wanajua ni wanangu wa damu na waka sijawahi juwaza kumpunguzia ama kumfikiria mara mbili wanayopata wakwangu ndivho hicho anachopata yeye na ajabu ya mungu huyu mtoto nimefanana nae sana, na akili mno darasani, yaani ndio hivyo inatokana na roho ya mtu ningekuwa na uwezo ningeenda hata kutafuta ktk vituo niwachuke nikao nao sina uwezo tuu....ila ukiona mwanaume anamchukia mwanao ni bora kuendelea na maisha yako kuliko kuikimbilia hiyo ndoa na kukitesa kiumbe kisicho na hatia...ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom