Ndo maana siku zote mimi huwa nasema ni vema mtu akaolewa na yule aliyezaa nae kama anamjali mwanae to that eksitenti. Kwenye haya maisha huwezi kupata kila kitu. Wewe uishi maisha mazuri na mwanao aishi maisha mazuri ni ngumu sana lazima ukubali kusacrifice kimojawapo.
1. Uolewe na mwanaume mnayependana kwa dhati mtoto ukamtupe kijijini
2. Muoane wazazi wa mtoto hata kama hampendani kihivyoo ili mradi kuhakikisha mtoto anapata malezi ya wazazi wote wawili
3. Mama ubaki single milele ili umlee mwanao kwa Uhuru
Chaguo ni lako...umtoe kafara mtoto kwaajili ya furaha yako wewe au usacrifice furaha yako kwaajili ya mtoto
Sent using
Jamii Forums mobile app