Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
Kaka unatukosea ambao single mother sisi sio vilaza sawa ila huwezi vumilia matatizo ambayo hayavumilikiWengi wenu masingo maza ni vilaza..! Kukosa kuwa constructive wanaishia kutupiliwa mbali na kidume anasonga mbele...!
Tabia yenu ya kukumbuka misri inakera mno, afu pia ujue ndoa siyo majaribio eti POTEA NJIA UTAULIZA ILA SIYO KUOA.
Sent using Jamii Forums mobile app