To my dear single mothers

To my dear single mothers

Una akili sana..! Ukisha likoroga utulie pale kujifanya superstar unamdindia mtu ambaye ameisha kuzalisha ni upumbavu bora uwekeze kutafuta solution za ugomvi wenu mwanao atapona mengi.

Afu mjue huwa tunapata kigugumizi kujua nini kilitokea jamaa akakuacha na mtoto wake asitake kukuoa??
Asante Mkuu. Hahaa nimecheka hapo mwisho eti huwa mnapata kigugumizi...hamna bwana ni basi tu baadhi ya wanaume wanakuwa hawajielewi wengine walizalishana wakiwa kwenye balehe baadae wakagundua they were not meant to be together. Wewe kama umemuelewa mtu jitose tu huyo mwingine anawza kuwa alikuwa punguani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Nanyie Wanawake Ambao Hamjazaa HamMko Tayari Kuishi Na Wanaume Wenye Watoto Basi Nasiye Wanaume Tunakuwa Hvyo Hvyo
Asilimia kubwa wanawake wapo tayari kulea watoto upande wa mwanaume, ila wanaume hawapo tayari kulea watoto wasio wao.....
 
Na nyinyi wanaume muangalie ni hali gani unayompa mwenzako unapomwambia achague ndoa au mtoto wake, nani asiyetaka kuolewa?


Mkuu mtoto ni bora zaidi ya ndoa. Mwanaume anayemkataa mtoto wako ataweza kweli hata kuwanunulia wakwe zake sukari? Huyo hafai kabisa.
 
Mmmh huoni kama unamnyima mtoto haki yake ya kulelewa na kutunzwa na baba yake? Kwa nini umtenganishe na baba yake wakati baba yake hajamkataa? Na sidhani kama kuna mwanaume atakayekukubalia hilo. Imagine mwanaume ndo amchukue mtoto wenu afu akwambie kwa sababu anaoa basi wewe hutohusika na chochote kwa mtoto, mtoto atakutafuta akikua. That's too selfish

Asante sana mkuu, tuliangalie hili kwa mapana na marefu, huyu mtoto mlimleta duniani mkiwa wawili, wote hamna simamo wa maisha. Unamamwambia mwenzako habari za ujauzito anakwambia hayuko tayari. Sawa, sasa wewe uko kwa wazazi, umejifungua salama, mtoto mwenye afya njema. Baba anakuja siku akipata, kwasababu hana stable income, fine. Amekwisha kwambia kuwa wewe na yeye hamna future, umepata mchumba huoni kwamba uhusiano wenu hapa kati kati utaleta mtafaruku kwenye uchumba wako?
 
Mkuu mtoto ni bora zaidi ya ndoa. Mwanaume anayemkataa mtoto wako ataweza kweli hata kuwanunulia wakwe zake sukari? Huyo hafai kabisa.
Wanaume wengi wanaogopa kujihusisha na single mothers kwasababu ya history of the baby father. Hii kitu leo tujaribu kuiweka wazi.
 
Mkuu hatushindani as vulnerable creatures unaambiwa tu kuwa mimba hii ilikuwa bahati mbaya na mimi bado ninawategemea wazazi ambao wanataka nikasome. Sisi ndiyo tunabeba mtoto inabidi tupokee matokeo.
Mwanaume smart anatake trouble ya matokeo ya matendo yake..!

Shida kubwa ya wadada you had not constructive idea inakuwa imetokea suala kama kupata mimba, huwa mnakimbilia kuwalaumu wapenzi wenu badala ya kumtia moyo na kutoa mawazo ya kumlea mtoto ata km mazingira magumu.

Pia mjue wengi wenu ni wavivu sana mtu anafikiria lawama na kuhudumia mtu mvivu sometime unahudumiwa afu mnaanza ushenzi kuchepuka ovyo mtu anakushiti experience nyingi ni za hivi..
 
Kama Nanyie Wanawake Ambao Hamjazaa HamMko Tayari Kuishi Na Wanaume Wenye Watoto Basi Nasiye Wanaume Tunakuwa Hvyo Hvyo
Asilimia kubwa wanawake wapo tayari kulea watoto upande wa mwanaume, ila wanaume hawapo tayari kulea watoto wasio wao.....
 
Asilimia kubwa wanawake wapo tayari kulea watoto upande wa mwanaume, ila wanaume hawapo tayari kulea watoto wasio wao.....
Mkuu Unajua Kwanini Tunawaambia Wapeleke Watoto Kwa Bibi Zao Kwasababu Ukikaa Naye Mtoto Ataendelea Kuwasiliana Na Baba Wa Mtoto Wake Hicho Kitu Wanaume Hatupendi
 
Asante Mkuu. Hahaa nimecheka hapo mwisho eti huwa mnapata kigugumizi...hamna bwana ni basi tu baadhi ya wanaume wanakuwa hawajielewi wengine walizalishana wakiwa kwenye balehe baadae wakagundua they were not meant to be together. Wewe kama umemuelewa mtu jitose tu huyo mwingine anawza kuwa alikuwa punguani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wenu masingo maza ni vilaza..! Kukosa kuwa constructive wanaishia kutupiliwa mbali na kidume anasonga mbele...!

Tabia yenu ya kukumbuka misri inakera mno, afu pia ujue ndoa siyo majaribio eti POTEA NJIA UTAULIZA ILA SIYO KUOA.
 
Mwanaume smart anatake trouble ya matokeo ya matendo yake..!

Shida kubwa ya wadada you had not constructive idea inakuwa imetokea suala kama kupata mimba, huwa mnakimbilia kuwalaumu wapenzi wenu badala ya kumtia moyo na kutoa mawazo ya kumlea mtoto ata km mazingira magumu.

Pia mjue wengi wenu ni wavivu sana mtu anafikiria lawama na kuhudumia mtu mvivu sometime unahudumiwa afu mnaanza ushenzi kuchepuka ovyo mtu anakushiti experience nyingi ni za hivi..

Mkuu you are trying to go out of tangent here plz don't the main issue is I'm I involved or not, if not let me make my rules which will be easy if the child will look for you as a grown up man but for now I need to be loved and cared. On top of that there is someone who is ready do so and love my son as well.
 
Washenzi hawa huwa wanakumbuka nyama na mikate ya misri..!
Inategemea mkuu... kuna wanawake hawajui kuacha kuna mwengine akiacha ameacha, single moms wanaorudi kwa baba watoto wao baada ya kuachana ni kwa sababu wanaogopa kulea watoto peke yao hivyo wako tayari hata kuwa kwenye relationship wasioifurahia basi tu aonekane na yeye anaishi na baba wa mtoto, pili kukata tamaa. Wanahisi ukishakua single mom maisha yako yameishia hapo bora urudi kwa baba mtoto mkasongeshe hata kama akiwa na mtu mwingine anakua hamuamini anaona bora shetani anaemjua kuliko malaika mgeni. Mwanamke imara tu ndo anaweza kujitoa kwenye mikono ya mwanaume waliezaa nae zikabaki story za malezi tu na sio kukumbushia yaliyopita.
 
Mkuu Unajua Kwanini Tunawaambia Wapeleke Watoto Kwa Bibi Zao Kwasababu Ukikaa Naye Mtoto Ataendelea Kuwasiliana Na Baba Wa Mtoto Wake Hicho Kitu Wanaume Hatupendi
So if between you two who created a child none of you is ready to leave with that child can't you see that there is a problem there?
 
Asante sana mkuu, tuliangalie hili kwa mapana na marefu, huyu mtoto mlimleta duniani mkiwa wawili, wote hamna simamo wa maisha. Unamamwambia mwenzako habari za ujauzito anakwambia hayuko tayari. Sawa, sasa wewe uko kwa wazazi, umejifungua salama, mtoto mwenye afya njema. Baba anakuja siku akipata, kwasababu hana stable income, fine. Amekwisha kwambia kuwa wewe na yeye hamna future, umepata mchumba huoni kwamba uhusiano wenu hapa kati kati utaleta mtafaruku kwenye uchumba wako?

Katika vitu ambavyo tunatakiwa kujua ni kwamba mtoto haombi kuzaliwa wala hachagui mzazi wake. Sasa ukifail kwenye kuchagua baba wa mtoto wako ni kosa lako binafsi na utaubeba msalaba wako mwenyewe, japo somehow na mwanao atakuwa affected. In everything, your kids welfare should come first. Kuwa mzazi inabidi uache kujifikiria wewe kwanza. Sawa baba yake hana stable income na hana future na wewe, lakini si amemkubali mwanae, kwa nini umtenganishe baba na mtoto wako? Yani kisa hayupo stable financially ndo umnyang'anye haki yake ya kuwa baba kwa mwanae? Na wakati mnadate hukujua kama hana hela?Sasa utaamua mwenyewe umplease mchumba au uangalie welfare ya mwanao. Jamani tuache kuzaa na boyfriends or tukiwa na unstable relationships, tunatesa watoto wetu. Kila mtoto anatamani alelewe na wazazi wake wawili, sio mwingine anamlea kwenye simu sijui
 
Wanaume wengi wanaogopa kujihusisha na single mothers kwasababu ya history of the baby father. Hii kitu leo tujaribu kuiweka wazi.


Sawa lakini kama anakupenda kweli mtoto hawezi kuwa kikwazo. Tatizo wanawake wengi wanakuwa wepesi sana linapokuja suala la ndoa. Hivi ni sahihi kweli kumtelekeza mtoto kwa ajili ya mwanaume ambaye wala hana hata chembe ya DNA yako? Ikumbukwe kuwa katka ndoa wote wawili mnahitajiana hakuna aliye bora zaidi ya mwingine.
 
Wengi wenu masingo maza ni vilaza..! Kukosa kuwa constructive wanaishia kutupiliwa mbali na kidume anasonga mbele...!

Tabia yenu ya kukumbuka misri inakera mno, afu pia ujue ndoa siyo majaribio eti POTEA NJIA UTAULIZA ILA SIYO KUOA.
Hapo unakuwa unawakosea...usingo maza unahusiana vipi na ukilaza wa mtu...vilaza wapo tu awe bikra, single mother au ameolewa kote vilaza wapo. Na wanaokumbuka misri ni wanawake tu? Mbona ninyi mnakuwa mmeoa ila bado na ma- baby mama wenu hamuachi kupasha kiporo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom