TLS wamkana Fatma Karume sakata ya ushoga

TLS wamkana Fatma Karume sakata ya ushoga

Fatma Kama mwanamke hakupaswa kabisa aunge mkono vitendo vya kishoga.

Ni aibu kabisa kwa Mwanamke kuunga mkono ushoga.
Angekaa Kimya asingepata aibu anayoipata na itakua ni aibu ya kudumu mana hata maisha yake ya baadae ameyatia doa kwenye jamii.


Hivi angesema tu kistarabu kuwa hatuungi mkono ushoga mana ni kinyume na sheria zetu na mila zetu na dini zetu ,lakini pia tunapenda watendewe haki bila mtu kuonewa au kusingiziwa ,taratibu za ukamataji zitumike na wasihukumiwe nje ya mahakama.
Kauli kama hii ingetosha kabisa kuonyesha busara za mtu maarufu kama Fatma na angeishia hapo.
 
Liko wazi kwa nani? Raisi Magufuli akiwa Raisi matamko yake 24/7 ni ya Raisi Na official iwe account yake binafsi ya Twitter , Instagram , Facebook nk Tamko hili la TLs ni feki .Raisi hawezi kuwa na matamko binafsi popote iwe Raisi wa TLS au Magufuli nitakutukana matusi ya nguoni wewe bwege.shenzi type.Raisi wa TLS hawezi kuwa na matamko binafsi to hell with her and TLS
Naungana na ww kiongozi hakuna wakati Rahisi Magufuri akitoa neno popote pole au wakati wowote ule tuseme ni Mambo yameingiliana binafsi wala sio kama Rahisi hivyo ndivyo huwezi kutenganisha alixhosema Shangazi kuwa ni binafsi wakati ni Raisi wa TLS
 
I knew this post would be your justication.
I can't allow such nonsense before my eyes!
I rest my case!

What case are you resting when you have none?

You are just running away because you know you can’t debate the facts.
 
Fatma Kama mwanamke hakupaswa kabisa aunge mkono vitendo vya kishoga.

Ni aibu kabisa kwa Mwanamke kuunga mkono ushoga.
Angekaa Kimya asingepata aibu anayoipata na itakua ni aibu ya kudumu mana hata maisha yake ya baadae ameyatia doa kwenye jamii.


Hivi angesema tu kistarabu kuwa hatuungi mkono ushoga mana ni kinyume na sheria zetu na mila zetu na dini zetu ,lakini pia tunapenda watendewe haki bila mtu kuonewa au kusingiziwa ,taratibu za ukamataji zitumike na wasihukumiwe nje ya mahakama.
Kauli kama hii ingetosha kabisa kuonyesha busara za mtu maarufu kama Fatma na angeishia hapo.
Huyo ni mgombea mwenza wa Lowasa 2020. Cdm ni wataalamu wa kupiga deki. Watampiga deki hadi atakate.
 
What case are you resting when you have none?

You are just running away because you know you can’t debate the facts.
Defending homos publicly?
Indeed, I've no facts to defend them. It's against my will.
I shall oppose it till my last breath.
 
Watajijua wenyewe si wanapenda kuchagua viongozi kwa msukumo wa kisiasa. Wanasahau kutofautisha siasa na chama cha kitaaluma.
 
Hapana nachelea kuamini kuwa Rais anakuwa na maoni yake binafsi...
Yaani ni ushamba au sijui ni ukichaa kujaribu kuwaaminisha watu kuwa kiongozi wa taasisi fulani hawezi kutoa maoni binafsi! Yaani akitoa maoni binafsi lazima yawe ni maoni ya taasisi? Kama ni hivyo ibara ya 37 (2) ya katiba ya JMT inatakiwa kutekelezwa kama yalivyokuwa mapendekezo ya ZZK.
 
wamekana sawa,nini maoni yao kama chama kuhusiana na kiongozi wao?,wanasapoti au la,

Unataka watumiane sma wanachama wote ili wakubaliane msimamo wao ni upi?Inamaana kila mwanachama akitoa maoni ni lazima watoe msimamo?
 
Leo ndo mmetambua kwamba huyo Mwanamke siyo kichwani?

Chadema wamewaingiza choo cha kike bado zamu ya Mangi Kimambi kuwaanika pia.

Mimi tangia siku mlipomchagua niliwashangaa sana, Wanasheria mnawezaje kukubali kuongozwa na mtu less intelligent namna hii?
 
Shangazi ana mambo mengi anaweza kuwa hana pamoja kwamba umri umemtupa mkono naona gym anayoenda inamsaidia
 
Back
Top Bottom