Naona upo katika harakati za kufukuzia uteuziMagufuli jeshi la mtu mmoja. Hayumbishwi na hao vikaragosi. Magufuli ndo kashika nchi. Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote.
Hawakunyang'anywa.Hiyo Team ndio iliyokua inaimba CCM INA WENYEWE,sasa wanataka kuirudisha mikononi mwao baada ya kunyang'anywa na jiwe...Je WATAWEZA!?!?!
Umenena vyema sanaAllah ampe hikma Rais wetu Magufuli kama alivyompa Jk kipindi kama hiki cha Mgogoro 2009 mpaka ikafikia hatua hatuachiani glass bar ukienda chooni ukirudi unarudisha glass counter unachukua nyingine wengine wakakataa kabisa kutumia glass, ukifungua chupa unapiga talumbeta ukimaliza ndio walau unaweza kugeuza shingo au kupokea simu
Kilikuwa kipindi kigumu sana kama hiki
Ningetaka uteuzi nisingetumia fekelo.Naona upo katika harakati za kufukuzia uteuzi
hapa hachomoki mtu aiseeBy Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
By Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
Pole ila sio kosa lako. Amiri jeshi mkuu ni Rais Magufuli. Commander in chief of the Army.Majeshi yanaongozwa na Hussein mwinyi
Acha kwanza watie kibiriti nyumba yao ya nyasi ili kuturahisishia kazi...Wote hao wana maslahi na CCM. Hakuna Jipya, ni sisi walala hoi ndiyo wa kuamua kwamba hakuna tena CCM Kucheka nao.
Watanzania tutajikomboa wenyewe dhidi ya Ccm na Utawala wa Kishenzi akili zikitujia.
Ehee wewe wasema!!!?Kuna Jambo baya sana Ikulu ya dar es salaam hivi karibuni
Wapoteee kwa mtindo upi!!!??? Unamaanisha wauwawe sio?Magu kama itakupendeza tafuta namna zaidi ya kuwapoteza hawa ni watu hatari kwa jamii ya watanzania
Sijui MimiEhee wewe wasema!!!?
Duh jibu hili kampatie Mange mke wa Zitto kwa kukurupukaTimu nzuri sana na wachezaji ni wa kimataifa wenye uzoefu, lkn tatizo VAR,
hii kitu sijui ililetwa kwa ajiri ya timu za Afrika tuu, arghaa.
View attachment 1158742
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1], kwamba wanakula shingo ya burigi asubui na mapema, raia twasema twende kazi tupo Nyuma yenuBy Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
Pole sana na wewePole ila sio kosa lako. Amiri jeshi mkuu ni Rais Magufuli. Commander in chief of the Army.
Wapoteee kwa mtindo upi!!!??? Unamaanisha wauwawe sio?