Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Nasikia ni mchezaji wa timu ya taifa.
Nimefuatilia mechi za kufuzu world cup sijamuona.
Hata zile game mbili za play off ghana vs nigeria hakwepo kwenye line up.
Je, ni wale wachezaji wanaoitwa timu ya taifa inapocheza CHAN?
Au Je ni wale ambao kambi inapoanza wanaitwa 40 kisha kwenye short list ya kikosi kinachosafiri kwenda mashindanoni anakuwa hayumo
Au wanamuita ita tu kijana Okrah azoee timu yao kama kipindi fulani Tanzania walikuwa wakiwachukua akina Kelvin John na kusafiri nao
Nimefuatilia mechi za kufuzu world cup sijamuona.
Hata zile game mbili za play off ghana vs nigeria hakwepo kwenye line up.
Je, ni wale wachezaji wanaoitwa timu ya taifa inapocheza CHAN?
Au Je ni wale ambao kambi inapoanza wanaitwa 40 kisha kwenye short list ya kikosi kinachosafiri kwenda mashindanoni anakuwa hayumo
Au wanamuita ita tu kijana Okrah azoee timu yao kama kipindi fulani Tanzania walikuwa wakiwachukua akina Kelvin John na kusafiri nao