Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Hawa watu wasitudanganye kabisa na vijisentence vya ajabu,hapa iko wazi kuwa tbc imeuzwa.Kamahujauza hizo sharing za kazi gani 65% ni ya wachina na mchezo umekwisha.Na wadanganyika wataendelea kudanganyika una 35% halafu unasema hujauza.Ndio yaleyale Celtel ni mtoto wa TTCL sasa yako wapi.
You can full people sometimes but not all times-Bob Marley
Malindi, sidhani mambo nia kama hivyo unavyosema.
Hii 35:65 share haihusu TBC, na sio kwamba TBC imeuzwa. Ni kitu kipya ambacho kinaanzishwa na hawa wachina watakua wanauza set-top-boxes ambazo zitakuwa zinatumika kwa ajili ya kudecode broadcasted digital signals. TBC1 ni moja ya channels ambazo zitakuwa available, pamoja na TBC2 ambayo itafunguliwa hivi karibuni kwa ajili ya entertainment (kama Channel 5 hivi). Pia channel nyingine za Asia zitakuwepo pia.
Watakachokuwa wakifanya hawa wachina, na hasa ndio ambapo hiyo 35:65 share ina apply ni ku supply technology (everything including set-top-boxes, broadcasting equipments etc) kwa wateja na TBC.
Sehemu nyingine ni kwenye collection ya fees. Ni vyema kujua kwamba hii huduma haitakuwa bure, utakuwa unalipia kama vile Dstv, isipokuwa rate yake itakuwa ni ndogo sana. So tegemea in the future almost every channel itakuwa ina cost something.
This chinese guys will be suppling scratch cards (like voucher cards). You scratch the card and send hidden codes to a specific short code say 15010 to recharge your account.
TBC is looking into another way to boost their revenue, and that's it.
Kusema kuwa TBC imeuzwa hapa, si kweli! I have worked with TBC since Sep 08, and also with Star Mobile to work out the short code thing and this is what I can say.
I don't mean I am employed at TBC, nonetheless!