Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Ukiuliza avaraje Juma wa mtaani kuhusu TBC atakwambia kuwa its useless and its not woth the public funds, cha ajabu for someone like Tido one would have thought kuwa anaeleewa the meaning of PUBLIC SERVICE BROADCASTING lakini wapi!
unatuambia ya kwamba akiulizwa ata averaje juma anaweza ona ni upuuzi mtupu yakuwa hela inachezewa tu, sasa kuna sababu gani ya kuendelea kuigaramia, wakati we mwenyewe kwa maneno yako vipindi vyenyewe havi kuridhishi kwa mtaji huo sio mmoja wa audience yao.
na huyo jamaa alieletwa sijui mtaalam wa media kazi imemshinda basi si ni bora waje watu watakao leta programee zako au wachina wataanza kutangaza kichina?
au tuambie ulikuwa na mapendekezo gani maana uko tayari ata kupelekana nao maakamani hawa jamaa kwa jinsi walivyo kukera ingawa vipindi vyenyewe avi-kuridhishi na avitakiwi kusajiliwa na hela ya serikali kwa kauli zako. unataka kuzua ugomvi tu au una ona ni jinsi gani inaweza kuboreshwa na utuambie wafanyaje?
ps. nasubiri post zako za bandari,ardhi naTRA maana nao pia wanakukera au its only a game to you.