wewe umejiajiri?J.....k alimuingiza chaka lakini bado manguli wetu wa tasnia ya habari ni shida sana kwa level ya Muhando alitakiwa kuwa na media house yake baada ya kustafu toka BBC ila kwakukuwa bongo zetu ni zimekaa kuajiriwa tu basi ndiyo hivyo tena
Nimeandikia gazeti la mwananchi wakati linaanza miaaka ya tisini nikatoka nikaajiriwa media kadhaa kufika 2010 niakamua kujiajiri.wewe umejiajiri?
Bravo! Nakupongeza nikipata mtu anataka hudum akama hiyo nitakutaarifu!Nimeandikia gazeti la mwananchi wakati linaanza miaaka ya tisini nikatoka nikaajiriwa media kadhaa kufika 2010 niakamua kujiajiri.
Mkuu kama una kazi za printing , signage, booklets etc. Karibu sana karibu sana.
Pia kama una mahitaji ya solar naomba unipe kazi
Endelea kulala huna ulijualaomh, wewe GT!
TBC imeuzwa kwa wachina?!!!
lini? kwa nini iuzwe?
chanzo cha habari yako ni wapi?
maana hapa usilete habari zisizo na uhakika.
Na ndio maan wanatolewaHatushangai sana, serikali ya CCM imejaa mafisadi kila kona!!
FYI and necessary action aliyemuondoa Tido hakua JK Bali influence ya Makamba na PM Wa kipindi husika sababu ilikua pesa ilitoka UNDP ya mchakato majimboni Mil.900 kama production fee na accommodation Wa crew..Katazo LA makamba kuzuia wabunge mdahaloni likaja too late jamaa akatoa green light kwa vijana wapite majimboni licha ya ccm kukatazwa! Huyo MTU wenu mnam over rate kama kagame! Tido akaonekana Ku tarnish image ya chama tawala katika uga mpana Wa demokrasia na wananchi kuwahoji wagombea na vipaumbele..Mzee makamba akafanya yake (fitna)Mtoa habari anaonekana ana negative thoughts towards Tido,, but swali moja najiuliza, why Tido saivi wakati TBC ishabadilishwa wakurugenzi mara mbili toka uongozi wa JK hadi saiv wa JPM??? Embu ngoja tuendelee kuiskilizia hii ishu
Kusema ukweli, JF kiboko!
wapinzani wa sasa wanamteteaWapo wapi Vyama vya Upinzani kulisema hili...?Wanasubiri GT aseme? au JF...we want them to be ahead ya mambo yanayoendelea.
Bahati Mbaya vyama vyetu vya Upinzani havina wasomi wa kutosha kuweza kukabiliana na kila uozo unaofanyika. Wanasubiri magazeti yaandike, lkn watakuwa hawana watu wa kufanya uchambuzi wa Kina au kufuatilia baada ya Magazeti kuanika uozo huo....!!!
Hii TBC ndio itakayokuja kuwaua Wapinzani kwa matangazo yao...na Hawa wachina ndio Waliocheza mchezo mchafu na CCM kuiba kura za watanzania...2005.."
Leo hii wachina wameiba samaki...Kesi haifanyiki..Ubalozi wa China umewaandikia Barua Wizara husika sheria ichukue mkondo wake...Serikali inapata hasara kuwahifadhi samaki...Kesi haijulikani lini itaisha...
So China tutawapa kila kitu....the so called Wabunge nao "Hovyo"
Hatushangai sana, serikali ya CCM imejaa mafisadi kila kona!!
J.....k alimuingiza chaka lakini bado manguli wetu wa tasnia ya habari ni shida sana kwa level ya Muhando alitakiwa kuwa na media house yake baada ya kustafu toka BBC ila kwakukuwa bongo zetu ni zimekaa kuajiriwa tu basi ndiyo hivyo tena
Shikamoo JF.
Kuna watu wanadai anaonewa.