uingereza na ubepari wao elimu ya msingi mpaka sekondari/upili ni bure na kwa msingi watoto wanapewa chakula, elimu ya kulipia ni university na mkopo unatolewa kwa ajili hiyo ukifikisha maksi zinazo takiwa, sasa bado hujenda sweden/norway/denmark/canada nkJokakuu can you please tell us, when education become free who gona pay for it?