Tido Mhando atemwa TBC

Tido Mhando atemwa TBC

tido ameisaidia chadema? Alikuwa akitangaza bila upendeleo wakati wa uchaguzi mkuu? Hii mbona siielewi?
 
Daah, mmepiga kampeni hadi jamaa kapigwa chini!
 
Wale waliokuwa wafuatiliaji kile kipindi cha TBC cha Mchakato Majimboni, majimbo mengi ya kipindi hiki kilikofanyika, ndio yamechukuliwa na upinzani.
 
wako wapi wale waliokua wanailaani TBC nao waseme yakwao?? maana hapa naona zimejaa sifa wakati very short while ago nilizoea kusoma mabaya kuhusu TBC na huyu baba??

Au ndio wale mbayuwayu sisi??
 
wako wapi wale waliokua wanailaani TBC nao waseme yakwao?? maana hapa naona zimejaa sifa wakati very short while ago nilizoea kusoma mabaya kuhusu TBC na huyu baba??

Au ndio wale mbayuwayu sisi??

Yaani the twist is almost 180 deg.
 
Utakumbukwa kwa mabadiliko makubwa uliyoyafanya TBC ambapo siku wengi wetu tunaangalia TBC badala ya ITV tuliyo kuwa tumeizoea. Atakayekuja akiburunda itawacost sana maana najua hapo hakutakuwa na handover nzuri.
 
Wakati anazima mikutano ya Chadema pale jangwani alifikiri ni vizuri. Mifisadi itakuwa ilikasirishwa na midahalo ya wagombea kwenye uchaguzi wa 2010.
 
Alijitahidi sana kuwabeba hasa J.K. ila tu walikuwa hawabebeki!!
Kubukeni msemo wa makamba, mbaazi ikokosa husingizia jua
 
Jambo la kujiuliza hapo ni kuwa hao akina |Muhando ni watangazaji tuu,
mafundi mitambo wako wangapi kina Muhando hasa mikoani 😛eep:maana hatuwezi kuwasikia wala kuwaona hewani,
 
Ungekuwa na hela Tido ungeanzisha TV na Radio yako ili kuua kabisa TV ya CCM.
 
Hivi wananchi hatuna say katika hili? Can someone tell me what lipi tunaweza kufanya kuhakikisha tido stays?
 
COMING SOON: TBC YA KI-UJIMA UJIMA

TBC1 sasa kampeni tu Mhe Yussuf Makamba na itaweza kuendeshwa KIITIKADI ZAIDI na wa bila kujali uweledi wowote ule.

Nadhani kama kuna kitu ambacho CCM ilipoteza zaidi wakati wa kampeni ni UNAZI WA KIJINGA na kupendelewa wakati wote kwa gharama sawa ya walipakodi wa CCM na wale wa upinzani.

Ndugu mtazamaji, tunaweza kukuhakikishia ya kwamba tangu sasa TBC ni kama tulivyozoea RTD miaka ya nyuma - mambo yote KIUJIMA UJIMA!!! Miezi yote ya uchaguzi, nyimbo ni za John Komba na Khadija Kopa kuipaka nakshi CCM kutwa kucha na salam za pongezi za chama au hutuba zao.


Mamuzi juu ya kitu gani kitangazwe au kisitangazwe; Daktari Nchimbi aandike KI-NOTI. Agizo toka juu, na ndio maana kapangiwa wizara hiyo. Mambo ya kitaaluma ndio hivyo anaondoka nayo Tido Mhando na kuacha nyuma TBC kasha sawa sawa na Mzee Jenerali Ulimwengu alivyomhadaa FISADI Rostam Aziz kumuzia kasha za 'Rai', 'Dimba', 'Mtanzania' na 'The African' huku akitimka na magazeti yake yote kwenye mfuko mmoja na miboksi ya fedha kichwa.

Leo hii, 'Habari Leo' Mufilis!!! Sasa kuhusu hatima ya TBC baada ya kuondolewa Tido Mhando, mnaosoma taarifa hii jibu mnalo wenyewe. Chombo cha habari si majengo mazuri, mtaji wa uhakika wala kumilikiwa na Waziri au nani - siri iko kwenye (i) Content inayoongozwa na matakwa ya watumiaji na wala si kwa mtazamo wa wamiliki, (ii) Maamuzi ya kiweledi na wala si vi-noti toka juu.
 
Dah! Hii ndo Bongo mkuu Mhando umeangukia Kisogo au Mgongo?
Hili ni funzo kwako next tym usishawishiwe na kuwa kibaraka.
Unaona sasa yalokukuta kwa nn usingekaa Ulaya yakhee au ndo uzalendo?
Pole sana ila kwa jinsi ulivyocompetent anzisha kituo chako km akina Kipozi,Abdullah Majura vijana kibao wanataaluma nzuri watajiunga na wewe kv Pendael Omari n.k
 
agejua siku ile jamaa kaleta kamchezo ka kuongea na wananchi angemchana na maswali mazito tu, sasa pamoja na kumhurumia mwenzake hajamhurumia.
 
Hivi wananchi hatuna say katika hili? Can someone tell me what lipi tunaweza kufanya kuhakikisha tido stays?
i will never do this if i love my country... politicizing professions!!!

Kazi itangazwe na yeye aombe... kwani alikujaje kutoka huko UK, was the process competitive??

What happened to him was not unexpected kabisa, kumbukeni wanasema ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga... how was he recruited in teh first place? what about his allies who came along with him?? Guys...

hebu acheni kuleta siasa hapa....

Kila kazi lazima ishindanishwe....
 
Utakumbukwa kwa mabadiliko makubwa uliyoyafanya TBC ambapo siku wengi wetu tunaangalia TBC badala ya ITV tuliyo kuwa tumeizoea. Atakayekuja akiburunda itawacost sana maana najua hapo hakutakuwa na handover nzuri.
uko nchi gani? au kijiji gani mkuu?

Usitusemee
 
Ni kweli maana wapo akina SULTANI, MAKAME, PANDU, MWINYICHANDE...wazanzibari
akina MAGANGA, MASANJA, SHIJA, NYANG'IJA, NG'WANANGWA...wasukuma/wanyamwezi
akina SHIRIMA, MACHA, KINABO, LYIMO...wachagga

Nadhani tusiangalie wanakotoka bali VIWANGO ila mmh!!


VIWANGO sawa lakini ukikuta bosi ni mchaga, mhaya, mbondei etc na msululu unaofuata nyuma hapo ofisini ni kutoka makabila hayo kwa mfano, HAPO TUNA HAKI YA KUHOJI SANA, TENA SANA
 
Back
Top Bottom