- Ndio maana tunasema sana kwamba hili taifa tuna safari ndefu sana kufika tunakokwenda, I mean I have a lot of respect for Tido, good man, Good CEO: HOWEVER why the fuss here? Alikuwa ameajiriwa na serikali ambayo kama siko mbali na ukweli haikuridhika na uendeshaji wake wa chombo chake, sasa kama waajiri wake wameamua kwamba hawamuhitaji katika kukidhi interest za serikali ndani ya TBC!
- Now what is the problem here? A sitting Prime Minister anaacha shughuli zake muhimu za taifa anakuja kujibu non national ishus like this? I mean what is wrong with this nation? I am lost!
- Look Dan Rather ametoa news ambazo hazikuendana na policies za CBC Inc, wakamfukuza kazi, hakuridhika boom kwenye sheria, akashindwa case closed! Kama Tido ameonewa si kuna sheria, kama ile iliyomlazimisha Rais mkapa kuwalipa maofisa wa BOT na Polisi aliowafukuza illegally!
- Hili taifa vipi?
William.