Tido Mhando atemwa TBC

Tido Mhando atemwa TBC

Tido hajafukuzwa ila mkataba wake umekwisha. Hajatolewa TBC bali kamaliza mkataba wake TBC. Labda tujadili kwanini wasimpe tena mkataba mwingine au kwanini wampe tena mkataba mwingine.

hata kama mkataba umekwisha .....walitakiwa kumpa miezi sita ya ku wind up..kwa maandishi that is according to Tido .......sasa kama wamemuandikia ghafla kumkabidhi mkurugenzi mpya hilo pia linawezekana lakini haliashirii peaceful transition..


MY TAKE : TIDO AMEISAIDIA SANA TBC...ANA UJUZI MKUBWA ...WA KIMATAIFA...AMEITOA TBC SHIMONI HADI AKAIFANYA KUWA NA HADHI .....ILIKUWA IKIACHWA MBALI SANA NA ITV ....LAKINI KWA SASA ,HAKUNA TELEVISHENI YEYOTE ILIYO KWENYE LEVEL YA TBC NCHINI...HE GET MY CREDITS FOR THAT......TUNAJUWA ASINGEDUMU MILELE PALE LAKINI ANGEONDOKA KWA SALAMA ANGEWEZA KUENDELEA WKUWA CONSULTANT WA TBC ....
 
Halafu tunadanganyana tutafika tunapotaka kwenda when differing in opinion is taken to be hostility in the faces of the big guys!
 
NILISHAWAHI kuandika hapa kuwa WATANZANIA ni watu wa ajabu sana.Leo Tido anamwagiwa sifa na anahurumiwa wakati aliendesha kipindi ambacho kwa anayejua kusoma kati ya mistari kilikuwa ni cha kumsafisha EL na kumkandia mtoto wa mkulima.
Aliingia katika mtego,ailaumu nafsi yake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wandugu,
tusisitize mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!. Hao Mhando's ni majina tuu. Tido angkuwa na nepotism, angemuajiri last born wa familia yake, Jane Mhando (RIP) ambaye alikuwa very competent kwenye broadcasting.
By the way, Tido anastaafu rasmi tarehe 31/12/2010. Hivyo kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma, sasa hivi lazima atakuwa likizo ya lazima na atakuwa tayari ameisha kabidhi ofisi kwa mtu wa chini yake akikaimu kusubiri mteuliwa mpya.

Pasco, Tido alikuwa anafanya kazi ya mkataba wa miaka minne ambayo imekwisha!! Sasa suala la Tido kufikia miaka ya kustaafu hapo 31/12/10 linahusiana vipi na mkataba wake kutoendelezwa? Angelihitajika hata baada ya kufikia hiyo miaka ya kustaafu angeendelea na mzigo kama wakina Luhanjo wanavyopeta!!
 
This's shocking!, lakini jamani twende mbele turudi nyuma, our so called "goverment" need some decence. Alikuwa mtumishi wa uma, and the way this story goes, seems like the gov. didn't do him justice, If his contract was over and they're not going to renew it, why didn't they follow the protocal and let him know 6 months before time? that way he could at least prepare himself and start lookin' somewhere else if he still wanted to work and also there's something called professionalism, even if they had some differences this's not the right way to let someone go especially at the gov. level. Yaani hii nchi inafanya mambo kama vile hakuna watu walioenda shule hata kidogo. It's soo damn REEEEEE-DI- CULOUS!
 
Nadhani mtu yeyote ambaye ni good professional hua anapenda na kufurahi pale anapopata au kupewa kazi inayoendana na alichosomea.
so kama serikali nia ni kumpa shavu lingine bado haitasaidia kumfanya TIDO kua happy.

OTHERWISE NINA WASI WASI SANA NDO MAANA MA CEO AU WAKUU WA MASHIRIKA MENGI NI WEZI NA MAFISADI MAANA SERIKALI HAIJALI UTUMISHI WAO!!! Kama mtu unastaafishwa kama mkimbizi utaacha kuiba kweli???
 
Ni vizuri ku budget muda wa kustaafu upumnzike. Kwa hiyo miaka minne inatosha kuweka misingi endelevu. Young generation wachukukue nafasi na wazee wapumnzike
 
OTHERWISE NINA WASI WASI SANA NDO MAANA MA CEO AU WAKUU WA MASHIRIKA MENGI NI WEZI NA MAFISADI MAANA SERIKALI HAIJALI UTUMISHI WAO!!! Kama mtu unastaafishwa kama mkimbizi utaacha kuiba kweli???[/QUOTE]

Mwanaukweli, ndo yale nlosema, kama utawala ovyo, no wonder hata watumishi nao wanakuwa hawajali,then wanaumia wananchi innocent
 
why didn't they follow the protocal and let him know 6 months
huwezi kupewa notice ya miezi 6!

utahujumu kampuni

follow protocol, whose protocol? you follow the contract, in fact they coulda fired him even before the 4 yrs they gave him if they wanted to, for heavens sake, I bet you that's in the contract too

he's lucky they even let him finish his term with the footloose expertise he brought to TBC
 
Nimefurahi Tido kuondoka TBC. Simaanishi kwamba sasa TBC itakuwa bora; bali Mhando alikuwa bogus journalist who apparently liked the humiliation of opposition political parties.
 
Tatizo sio ukabila bali ni asili:
Wachaga biashara - TRA& Banks
Wahaya Sheria - Advocates
Wakuria ngangari - Vyombo vya usalama
Wasukuma - maafisa ugani
Wagogo - NGOs
WABONDEI MDOMO- RADIO/TV

Kafanye utafiti zaidi. Wanasheria wengi ni wachaga kulinganisha na wahaya.
 
Nadhani habari za kina na uchambuzi zinatakiwa kumwagwa hapa kabla ya kuanza kukimbilia kuwa kaonewa hasa mleta taarifa unaposema kuwa "BAADA YA MKATABA WAKE (WA KAZI KUISHA)".

Mkataba wa ajira ukiisha kama mlivyokubaliana huwezi kulazimisha kwa ni lazima wewe uendelee (maana haikuwa sehemu ya makubaliano). Kwa maana nyingine ni suala la Mwajiri na wewe (Mwajiriwa) wote kukubali kuwa uendelea na hivyo mkataba mwingine mpya unatengezenwa.
Je kama Tido ndiye angeamua kutokutaka mkataba mpya tungekimbilia kuhitimishaje?

Mwajiri anaweza kuona kuwa kuna wengine wana sifa zaidi kuliko huyu. Halafu tuwe pia na utamaduni wa wakati mwingine kupokea mabadiliko bila kutafuta mchawi.

umeongea kweli tupu. Kuna watu humu wanataka jambo lifanyike watakavyo wao. Tido alikuwa na mkataba, umeisha sasa. Mwenye maamuzi ya kumwongezea ni tajiri yake, nae ameona kuwa hana haja ya kuendelea nae, tatizo liko wapi? Kwani walindikiana kuwa ni lazima mkataba ukiisha ntakukatabisha tena? Nini maana ya mkataba?
 
huwezi kupewa notice ya miezi 6!

utahujumu kampuni

follow protocol, whose protocol? you follow the contract, in fact they coulda fired him even before the 4 yrs they gave him if they wanted to, for heavens sake, I bet you that's in the contract too

he's lucky they even let him finish his term with the footloose expertise he brought to TBC

Taso you're right but, with this case there must be some non-sensical reasons behind, 'the usuals' ktk nchi yetu, which make the whole thing fishy even if there's an outlined contract. Hatuna ustaarabu, we tend to kiss asses of those we think they may help us and then dump them when we don't need them anymore.
 
huwezi kupewa notice ya miezi 6!utahujumu kampuni
follow protocol, whose protocol? you follow the contract, in fact they coulda fired him even before the 4 yrs they gave him if they wanted to, for heavens sake, I bet you that's in the contract too he's lucky they even let him finish his term with the footloose expertise he brought to TBC

Hatujui mkataba wake ulikuwaje, ila walipojadiliana na mwajiri wake miezi 6 kabla; mwajiri hakuonyesha nia ya kuendelea nae baada ya kuisha kwa mkataba wa awali, ila yeye alikuwa anahitaji kipindi kingine japo miaka 2 ili akamilishe yale aliyoyaanzisha(source mahijiano yake na tbc taifa)
Km hili ni la kweli, ina maana taa nyekundu ilishawaka miezi 6 kabla; kibarua kitaisha na hakitaendelea tena hivyo alitakiwa ajiandae kuachia ngazi. Haya ndio madhara ya kupenda ukubwa/vyeo, muda wa utumishi ukiisha tukubaliane na matokeo.

Km mwajiri wng anasitisita kunipa mkataba mpya kazini kwangu natakiwa nitambue kuna uwezekano mkubwa wa kutokuendelea na kazi baada ya muda wa mkataba kuisha. Haina tofauti na mwajiriwa kutokusaini mkataba mpya baada ya ule wa awali kuisha km hataki kuendelea na kazi.
 
Nadhani habari za kina na uchambuzi zinatakiwa kumwagwa hapa kabla ya kuanza kukimbilia kuwa kaonewa hasa mleta taarifa unaposema kuwa "BAADA YA MKATABA WAKE (WA KAZI KUISHA)".

Mkataba wa ajira ukiisha kama mlivyokubaliana huwezi kulazimisha kwa ni lazima wewe uendelee (maana haikuwa sehemu ya makubaliano). Kwa maana nyingine ni suala la Mwajiri na wewe (Mwajiriwa) wote kukubali kuwa uendelea na hivyo mkataba mwingine mpya unatengezenwa.
Je kama Tido ndiye angeamua kutokutaka mkataba mpya tungekimbilia kuhitimishaje?

Mwajiri anaweza kuona kuwa kuna wengine wana sifa zaidi kuliko huyu. Halafu tuwe pia na utamaduni wa wakati mwingine kupokea mabadiliko bila kutafuta mchawi.

Mkuu uko sawa lakini sheria inabidi iifuatwe. Kisheria kama uko kwenye mkataba wa kazi ambao unaisha na mwajiri hana nia ya kutaka ku-renew huo mkatataba inabidi akupe notice ya miezi sita to that effect. Sasa Tido kapewa notice ya miezi sita? Na kama angepewa notice ya miezi sita, hiyo notice ingetolewa mwezi ya sita which was far away before the election campaigns. Pia inabidi kujua mkataba wake unasemaje as far as notices are cocnerned.
 
Kisheria kama uko kwenye mkataba wa kazi ambao unaisha na mwajiri hana nia ya kutaka ku-renew huo mkatataba inabidi akupe notice ya miezi sita to that effect.
lete hiyo sheria hapa ya notisi ya miezi sita, au tutajie vifungu

you better have it
 
Tido hii ndio serikali ya ccm nyeupe kwao nyeusi ukiwatumikia sisiem jiandae kupokea maumivu
 
Back
Top Bottom