Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
Anakuwa RC mpya wa Dar es Salaam
au mojawapo ya mikoa "mikubwa" ??
Anakuwa RC mpya wa Dar es Salaam
Ni majina ya kibondei tu hayo,je kukiwa na akina Mushi au Tarimo kibao kwenye shirika utalalamika kuwa wote ni ukoo mmoja,otherwise kama una hakika kama hao wote ni ndugu ndio ulalamike
mmh ila hao hata sura zimefanana, hapo napo jee??!
Anakuwa RC mpya wa Dar es Salaam
Inawezekana maana washkaji wanafahamiana tangu enzi zile pale Gerezani railway club ilipokuwa yanafanyika mashindano ya mchezo wa netiboli,mmoja akiwa ni mtangazaji wa kipindi cha mbili kasorobo pale RTD na mwingine akiwa mgeni wa heshima ktk michezo hiyo mara kwa mara.JK anataka mlipa fadhila 2 times sasa
Inaitwaje!Anaenda kwa Lowassa Radio!
Inaitwaje!
Tatizo sio ukabila bali ni asili:GrEaTthinKers
Hivi hakuna watanzania wengine wanaoweza kutangaza?
Kwa nini TBC imejaa ukoo mmoja?
Tido kwangu ni KicheFf Cheff:A S-smoking:
Think.