Tido Mhando atemwa TBC

Tido Mhando atemwa TBC

Kama ana ubavu afanye kama Jeff Koinange,aanzishe Media Network yake.
 
pamoja na kuwa na mkataba na ukaisha haiingii akilini kumpa barua akabidhi ofisi katika siku mbili, hii haina tofauti na kumkamata mke wako ugoni ukamfungia virago

ndiyo hivyo mkuu,hapa duniani ni fitina tu!cha msingi ni kumshukuru mungu kwa kila jambo!!
 
which means sasa mkurugenzi mpya inabidi aturudishe enzi zile za chama kushika hatamu. kichefuchefu!
 
Najua mangi atamvuta ITV fasta ili akawamalize mafisadi.

Mh!Mimi sina uhakika kama mangi anapigana vita ya ufisadi,nachojua mimi ni kuwa anapigana vita ya kibiashara ambapo lengo lake kuu ni kulinda maslahi yake binafsi ya kibiashara!!!
 
Kama ana ubavu afanye kama Jeff Koinange,aanzishe Media Network yake.
Hiyo ni ngumu sana maana initial capital yake ni kubwa sana,labda kama na yeye alikuwa fisadi,kingine atawekewa mizengwe mikubwa sana katika kusagili hicho chombo cha habari!!
 
Mh!Mimi sina uhakika kama mangi anapigana vita ya ufisadi,nachojua mimi ni kuwa anapigana vita ya kibiashara ambapo lengo lake kuu ni kulinda maslahi yake binafsi ya kibiashara!!!


mangi naye tayari keshaingia kwenye sistim; siku hizi kimya- chama kimeshika hatamu!
 
yaani hicho ndo kinanitatiza, kama kuna mtu alikuwa hamfahamu tido na alisoma koments humu alipata tu negative impression kuhusu huyu bwana.
To my suprise i woke up this morning nakutana na completely a different image of this tido guy...
Watu bwana....kama bendera fata upepo tu, ukivuma kuelekea kusi..l.twende!
we can really dance with the rythm!

and that's how we are
 
Kwa wanao msifia Tido kweli expectations zao they are so low....... Hivi apart from michakato majimboni where is creativity..... Kutokana na Tido experience and exposure HE MASIVELY UNDERPERFORMED....... TV ya taifa ni kwa ajili ya manufaa ya taifa (informative and educative) matokeo yake tunapata vipindi kama cherekochereko, kamali kwa wingi ...... na TV iko profit oriented full matangazo (hivi tunahitaji mambo kama bango)?
 
mangi naye tayari keshaingia kwenye sistim; siku hizi kimya- chama kimeshika hatamu!

Hicho ndiyo kitu ambacho sisi wananchi wa kawaida tunapaswa kufahamu,badala ya kuyumbishwa na propaganda za wafanya biashara wakubwa na wanasiasa!!
 
hizo hazikosi wangu! Na mambo haya haya mwanzoni wakatujengea negative image na sasa tena wanakuja kicingine....

i think to some extent tido knew what was facing him ahead so for him i guess he should be proud for what he has done for the organization and move forward and he should not start complaining whilst knowing kwamba alikuwa anaondoka tbc
 
kuja jamaa kanitonya kwamba issue iliyomwondoa ni ya mitambo ya dowans. Kuna mtambo mmoja ambao wakuu walitaka waichomekee TBC iununue ili usaidie shughuli za matangazo pindi umeme unapokatika. Nasikia Tido akavimba.
 
Kwa wanao msifia Tido kweli expectations zao they are so low....... Hivi apart from michakato majimboni where is creativity..... Kutokana na Tido experience and exposure HE MASIVELY UNDERPERFORMED....... TV ya taifa ni kwa ajili ya manufaa ya taifa (informative and educative) matokeo yake tunapata vipindi kama cherekochereko, kamali kwa wingi ...... na TV iko profit oriented full matangazo (hivi tunahitaji mambo kama bango)?

Are you having problems with Tido or you are having problems with how he runned TBC?
 
Kwennda kumharibia Tido Mhando kazi yake zuri BBC Ulaya kwa ahadi za pata potea hivi sijui kama kweli mwanataaluma yeyote huko mbele ya safari huenda akakubali kuitikia ombi la serikali kurudi nyumbani kuja kuongeza nguvu mashiri ya miaka mingi yaliodumaa kama RTD mpaka ikaja ikawa kivutio????

Hii ni fundisho tosha kwa wanataaluma kutoingia mitego ya ajabu ajabu ya wanasiasa. Mh Tido Pole sana lakini kwa wale wanaojua kazi uliofanya pale, CV yako iko juu sana na wala sitoshangaa ukigombaniwa kuwa CEO wa mashirika mengine makubwa zaidi ya kimataifa wanaokubaliana na dhana ya IMPERTIALITY kwenye media service.

You proved to us that you were such a unique breed of professional from the mad and always manupulated Tanzanian job market
 
kuja jamaa kanitonya kwamba issue iliyomwondoa ni ya mitambo ya dowans. Kuna mtambo mmoja ambao wakuu walitaka waichomekee tbc iununue ili usaidie shughuli za matangazo pindi umeme unapokatika. Nasikia tido akavimba.

tutasikia mengi the tido saga continues.............
 
Siwezi kushangaa maana wizara hiyo inaongozwa na mtu aliye maarufu kwa kufoji PHD manategemea weredi uzingatiwe?
 
kwennda kumharibia tido mhando kazi yake zuri bbc ulaya kwa ahadi za pata potea hivi sijui kama kweli mwanataaluma yeyote huko mbele ya safari huenda akakubali kuitikia ombi la serikali kurudi nyumbani kuja kuongeza nguvu mashiri ya miaka mingi yaliodumaa kama rtd mpaka ikaja ikawa kivutio????

Hii ni fundisho tosha kwa wanataaluma kutoingia mitego ya ajabu ajabu ya wanasiasa. Mh tido pole sana lakini kwa wale wanaojua kazi uliofanya pale, cv yako iko juu sana na wala sitoshangaa ukigombaniwa kuwa ceo wa mashirika mengine makubwa zaidi ya kimataifa wanaokubaliana na dhana ya impertiality kwenye media service.

You proved to us that you were such a unique breed of professional from the mad and always manupulated tanzanian job market

nani alimuharibia btw tido ni mtu mzima so wakati anafanya uamuzi wa kuacha kazi bbc na kuja kufanya kazi tbc lazima alikuwa ameangalia positive and negative benefits za decision yake
 
walichukizwa sana kile kipindi cha uchaguzi majimbo.......

ccm bana!!!
 
Tido Mhando alikuwa biased sana .Aliwahoji wamifisadi kwa namna ya kuwasafisha. Basi akaombe kazi EATV au Clouds TV. Pole Mhando
 
Kwa wanao msifia Tido kweli expectations zao they are so low....... Hivi apart from michakato majimboni where is creativity..... Kutokana na Tido experience and exposure HE MASIVELY UNDERPERFORMED....... TV ya taifa ni kwa ajili ya manufaa ya taifa (informative and educative) matokeo yake tunapata vipindi kama cherekochereko, kamali kwa wingi ...... na TV iko profit oriented full matangazo (hivi tunahitaji mambo kama bango)?

Mh!sawa nadhani kama binadamu wengine na yeye ana mapungufu yake.Lakini mimi naona huyu jamaa amefanya kazi kuwa,vitu ambavyo nimeviona kutoka kwake kama mafanikio ni kama infuatavyo:
*Ameifanya TBC ijiendeshe kibiashara na kupunguza utegemezi wa ruzuku kutoka serikalini,ambayo kimsingi ndiyo sababu kubwa iliyoyafanya mashirika yetu ya umma kufa.
*Ameiwezesha TBC kuzalisha vipindi mabalimbali ambovyo vinaendana na mahitaji ya wakati uliyopo kwa mfano Kipindi cha pango,chelekocheleko.
*Pia kwa kiasi kukubwa amepunguza ukilitimba wa CCM katika kutoa habari na hasa habari za siasa,na kukifanya chombo hicho kionekane kama chombo cha kitaifa,badala ya kuegemea zaidi kwa chama tawala,ingawa nakubali bado yapo mapungufu .Lakini kwa kiasi furani amejitahidi na hasa ukizingatia alikuwa anafanya kazi katika mazingira magumu.
 
Back
Top Bottom