Tido Mhando atemwa TBC

Tido Mhando atemwa TBC

i think to some extent tido knew what was facing him ahead so for him i guess he should be proud for what he has done for the organization and move forward and he should not start complaining whilst knowing kwamba alikuwa anaondoka tbc

Ofcoz haikuja as a suprise to him bana....dalili ya mvua si ni mawingu!
(kuna mahali nimesoma eti akampigia staff mmoja mmoja simu.....Ndo mkono wa kwaheri au)
Anyway mimi bana kilichonishtua asbh ya leo kuhusu Tido ni hii sudden change ya mtazamo wa wengi juu yake.
People should be frank jamani, kwenye kasoro toeni but dont forget to give credit where there is credit!
 
well,
jeykeywaukweli huyo......!kama kawaida na visilani.com

GUESS WHAT.....!ippmedia to follow (wanaandaliwa BOMU )
 
Are you having problems with Tido or you are having problems with how he runned TBC?

Run TBC ofcourse.... Na uwezo wake angeweza kuifanya TBC iwe maradufu kuliko ilivyo sasa.... When you buy Messi you dont expect him to perform like Peter Crouch or Eric Djemba Djemba.... I think you get my point
 
Sasa tuanze kusubili magofu ya TBC kuondoka kwa huyu jamaa TBC inaenda jehenamu kama ATC
 
Ni muendelezo tu wa kusaka na kutimua wachawi wote wa kusababisha "USHINDI WA KISHINDO" wa 61.5% na viti kibao vya ubunge kupotea upatikane :-
- Walianza kwa kuwaposa "Sii Yuu Efuuuu", kuwaoa kwa Umakamu wa RAHISI
- Wakafuata na Uspika wa Six
- Ikafuata kulichakachua kanisa la KKKT kwa kujaribu kumtindua Askofu Alex Malasusa
- baadae kukuza maneno ya udini
- then kumnunua Zi-toto avuuruge chama cha Upi-mzani (yeye na Rost Tam damdam)
- Sasa ni Tido Mhando
Unajua who's next??
 
Tido Mhando alikuwa biased sana .Aliwahoji wamifisadi kwa namna ya kuwasafisha. Basi akaombe kazi EATV au Clouds TV. Pole Mhando
Hiyo ni kweli kabisa mkuu,lakini kitu ambacho sisi kama watanzania wa kawaida ni kwamba mafisadi wananguvu kubwa sana kuliko tunavyofikiri!!
 
kwa tido ni kilio lakini kwetu wana mageuzi ni raha....kwani watu km tido ni maadui wa mabadiliko na kwa hiyo tunawaombea njaa wakati wote.....km ameondolewa kwa utata basi ni dua mbya za watz ndizo zimemfikisha hapa....amekuwa zandiki ajabu
 
Tido Mhando alikuwa biased sana .Aliwahoji wamifisadi kwa namna ya kuwasafisha. Basi akaombe kazi EATV au Clouds TV. Pole Mhando

Watanzania hatuna mipango ya maisha? miaka yote aliyofanya kazi bado unamshauri akawe Interviwewed ..."why do you think you are the right candidate for this post and not someone else?"

Mimi nasema atakuwa na akiba ya kutosha kujiajiri. Bora awe MC kuliko kusahiliwa na uzee huu
 
Tusubiri kuona uteuzi mpya! Yafuatayo yatazingatiwa na JK:

  1. DINI
  2. Ushabiki wake ndani ya CCM na mipango yake ya 2015
  3. Uhusiano na JK na kina AR
  4. Mikakati yake katika kuhakikisha habari zinazoikosoa serikali haziwafikii wananchi
 
nani alimuharibia btw tido ni mtu mzima so wakati anafanya uamuzi wa kuacha kazi bbc na kuja kufanya kazi tbc lazima alikuwa ameangalia positive and negative benefits za decision yake

Na nani alisema yeye kufanya kazi BBC ndo kinga ya kutositisha mkataba wake....c'mon people.
If he perfomed well and good, if he did not haya tena...
Uzuri ni sisi wenyewe tunapima hiyo perfomance yake!
 
Na Watanzania mkataba wa ajira umeisha haujakatizwa malalamishi ya nini?
 
Watanzania hatuna mipango ya maisha? miaka yote aliyofanya kazi bado unamshauri akawe Interviwewed ..."why do you think you are the right candidate for this post and not someone else?"

Mimi nasema atakuwa na akiba ya kutosha kujiajiri. Bora awe MC kuliko kusahiliwa na uzee huu
Vince yaani umenichekesha mpaka naskia kurelaksi maana hii habari ilinikera kiaina.
 
*Ameifanya TBC ijiendeshe kibiashara na kupunguza utegemezi wa ruzuku kutoka serikalini,ambayo kimsingi ndiyo sababu kubwa iliyoyafanya mashirika yetu ya umma kufa.
*Ameiwezesha TBC kuzalisha vipindi mabalimbali ambovyo vinaendana na mahitaji ya wakati uliyopo kwa mfano Kipindi cha pango,chelekocheleko.

Mkuu I beg to differ.... Kama TV ya taifa inabidi isiendeshwe kwa manufaa ya kibiashara na kuleta faida... hii ni service kwa taifa.... kwahiyo hata vipindi ambavyo havina profit lakini they are informative na educational inabidi iviweke pia.... Hebu niambie faida ya zile kamali kwa jamii...
 
Tusubiri kuona uteuzi mpya! Yafuatayo yatazingatiwa na JK:

  1. DINI
  2. Ushabiki wake ndani ya CCM na mipango yake ya 2015
  3. Uhusiano na JK na kina AR
  4. Mikakati yake katika kuhakikisha habari zinazoikosoa serikali haziwafikii wananchi

Mh!penye rangi nyekundu,tutafika kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hapa kuna neno, eti wanadai ameipendelea chadema,chadema gani, wakati alikuwa anabase ccm
Baada ya Makamba kutoa waraka wa kuzuia wagombea wake kushiriki kwenye kipindi cha "Jombo kwa Jimbo" alitakiwa kusoma alama za nyakati kuwa nyati kajeruhiwa na hivyo angesitisha kurusha kipindi hicho, kuendelea kukirusha kulisaidia sera za upinzani kuwafikia wananchi kwa wingi na hivyo ku boost idadi yao ay kuvuna kura, (yaani kupunguza kura za CCM toka >80% to 61%)
 
na nani alisema yeye kufanya kazi bbc ndo kinga ya kutositisha mkataba wake....c'mon people.
If he perfomed well and good, if he did not haya tena...
Uzuri ni sisi wenyewe tunapima hiyo perfomance yake!

bwana hadi na mimi nimechoka aiseee, halafu hii sudden change ndio nafikiri imewashtua watu mimi nikiwa mmoja wao
 
Wanaofuata ni wakurugenzi wote ambako CCM walipigwa mweleka, wakuu wa mikoa, na wakuu wa wilaya. Lakini mhariri wa Habarileo ambaye yeye alitujulisha mapema kuwa Dr Slaa hawezi kuwa raisi kabla hata ya uchaguzi kufanyika na pia anayeandika udini kwa ushabiki bila sources atapongezwa kwa kazi nzuri na atafikiriwa kwa kazi kubwa zaidi.

Ni muendelezo tu wa kusaka na kutimua wachawi wote wa kusababisha "USHINDI WA KISHINDO" wa 61.5% na viti kibao vya ubunge kupotea upatikane :-
- Walianza kwa kuwaposa "Sii Yuu Efuuuu", kuwaoa kwa Umakamu wa RAHISI
- Wakafuata na Uspika wa Six
- Ikafuata kulichakachua kanisa la KKKT kwa kujaribu kumtindua Askofu Alex Malasusa
- baadae kukuza maneno ya udini
- then kumnunua Zi-toto avuuruge chama cha Upi-mzani (yeye na Rost Tam damdam)
- Sasa ni Tido Mhando
Unajua who's next??
 
Pole sana Tido,

Hope sasa utaelewa maana ya mafisadi na utamu au uchungu wa kufanya nao kazi. Bado unayo nafasi kurudi kwenye uwanja wa mapambano. Pia naamini kwa sasa utakuwa unajua vizuri jinsi ya kuzicheza karata zako epecially linapokuja suala la kuwa-handle ma-king makers!
 
Back
Top Bottom