malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,717
- 4,295
Habar wadau msaada wenu,Mzee wangu Umri miaka65 Leo umemkamata Mshipa wakorodani moja kuuma na nyonga kuachia,ikabid awahishwe hospital akapatiwa sindano Mshipa ukapoa,
Sasa nauliza tiba yake huwa ni nin,naje hospital Gani nzuri kufanya matibabu
Sasa nauliza tiba yake huwa ni nin,naje hospital Gani nzuri kufanya matibabu