Prince az
JF-Expert Member
- Sep 27, 2018
- 1,223
- 1,570
Asante mkuuHakuna shida kwakuwa havina mahusiano
Jr[emoji769]
Asante mkuuHakuna shida kwakuwa havina mahusiano
Jr[emoji769]
ahsante kwa tag
Pouwa [emoji120][emoji120][emoji120]ahsante kwa tag
nimesoma mwanzo hadi mwisho comments za wadau nimeongeza maarifa.
Nitaanza soon.
Dunia haiishi vitimbi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144]Nashukuru sana kwa madini haya . Umegusa wenyewe.Mungu akubariki sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabsa.. imagn leo cku ya nne nmetoka kuoga.. mara nkaona mama jirani ananiangalia kwa jicho la mapenzi paka nkashangaa huyu vip.. baadae nkawa nmekaa kwangu mlangoni, majirani wangu wote wawili wakanifuata mahali nlikua, tukaja piga ctory na kucheka sana paka ucku ulipoingia.. ni kweli chumvi ni dawa..Wakuu mrejesho kuhusu maajabu ya chumvi.
1.NALALA USINGIZI MNONO BILA MANG'AMUNG'AMI
2.WASIO JULIKANA WANA NG'OA MIMEA YANGU MBALIMBALI WAKIJUA NDO KIZUIZI CHA WAO KUINGIA NAKUFANYA UBAYA WAO
3.KIPATO KINAKAA MKONONI
4.MAELEWANO NA BAADHI YA MAJIRANI YANARUDI
NITAENDELEA KULETA MREJESHO WAKUU
Mmh... [emoji144][emoji144][emoji144]Kweli kabsa.. imagn leo cku ya nne nmetoka kuoga.. mara nkaona mama jirani ananiangalia kwa jicho la mapenzi paka nkashangaa huyu vip.. baadae nkawa nmekaa kwangu mlangoni, majirani wangu wote wawili wakanifuata mahali nlikua, tukaja piga ctory na kucheka sana paka ucku ulipoingia.. ni kweli chumvi ni dawa..
kwahyo nikienda beach once nishamaliza mikosi yote. au nifate dozi ya 7,14$21Kuna msemo mmoja hivi mtu ukiwa unaandamwa na mikosi na hata kuchezea vibuti sana kwa watoto wazuri!!! Wanasema kaoge maji ya bahari.. Je haya maji huwa yanasaidia sababu ya chumvi yake au huwaga ni story za vijiweni mkuu mshana?
Sent From Guest House
huleta popo na pia hauzai hovyo hovyo
HIV miti panga uzazi madhara yake ni yepiii
Sent using Jamii Forums mobile app