NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,967
chomea popote mkuu ilimuradi uchome kwa manuizo utaona maajabu ya chumviEbhana....sasa huo mkaa hata jikoni au au unauweka ktk kitu special
Sent using Jamii Forums mobile app
chomea popote mkuu ilimuradi uchome kwa manuizo utaona maajabu ya chumviEbhana....sasa huo mkaa hata jikoni au au unauweka ktk kitu special
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama siyo Yesu basi mpaka dakika hii nisingekuwepo...Kinga yetu sisi wanadamu dhidi ya Ibilisi - shetani na maadui wote wa mwanadamu katika ulimwengu wa roho ni DAMU YA YESU!
full stop.
sent from servant of God
Mkuu mbona mimi nimefanya hiyo lakini olaaaWakuu mrejesho kuhusu maajabu ya chumvi.
1.NALALA USINGIZI MNONO BILA MANG'AMUNG'AMI
2.WASIO JULIKANA WANA NG'OA MIMEA YANGU MBALIMBALI WAKIJUA NDO KIZUIZI CHA WAO KUINGIA NAKUFANYA UBAYA WAO
3.KIPATO KINAKAA MKONONI
4.MAELEWANO NA BAADHI YA MAJIRANI YANARUDI
NITAENDELEA KULETA MREJESHO WAKUU
Asante sana kwa mrejeshoWakuu mrejesho kuhusu maajabu ya chumvi.
1.NALALA USINGIZI MNONO BILA MANG'AMUNG'AMI
2.WASIO JULIKANA WANA NG'OA MIMEA YANGU MBALIMBALI WAKIJUA NDO KIZUIZI CHA WAO KUINGIA NAKUFANYA UBAYA WAO
3.KIPATO KINAKAA MKONONI
4.MAELEWANO NA BAADHI YA MAJIRANI YANARUDI
NITAENDELEA KULETA MREJESHO WAKUU
Asante sana kwa mrejesho
Mkuu hii "kunuia" Ni namna gani?Asante sana kwa mrejesho
Aaamen asante sana nimekupata vemaNdugu Mshana, nimekuwa nikifuatilia makala zako nzuri sana... Naomba mada Kama hi usiweke kingereza ili ionekane wenzetu pia wanafanya kwa hiyo ni bora. Kama waafrika na sisi tuna sayansi na imani zinazofanya kazi na hazihitaji kuzilinganisha na za wazungu
Ahsante ubarikiwe mkuuUmepatia! Hiyo ndio tafsiri sahihi ya kunuia
huu ndo ustaarabu mkuu ukifanikiwa wafahamishe waliotoa njia ya mafanikio iki siku ukikwama kwa jingine uombe msaada tenaAsante sana kwa mrejesho
KHASWAAA!huyu ndio Mshana Jr,Mzee wa elimu adimu
Mmh NZURI PESA ni Dar ama mkoani? Pls if you don't mindMREJESHO NAMBA 2 WA MAAJABU YA CHUMVI!
SIKU YA TAREHE 24 MWEZI 09 -2017 NILIAMUA KUFANYA TENA KINGA YA CHUMVI KATKA ENEO LINALOZUNGUKA NYUMBA YANGU. ILIPOFIKA TAREHE 25-09 ASUBUHI NIKAFUATWA NA MAJIRANI WA 2 WATU WAZIMA, WAKANIULIZA KWA UKALI " KWANINI UMEWEKA KIZUIZI ENEO LA KUCHEZEA"? KWAKWELI SIKUWAELEWA KABISAA! NA SIKUWAJIBU WAKAONDOKA ZAO.!
TAREHE 26-09 AKAJA BI MKUBWA MMOJA NAE AKAULIZA KWA JAZBA " KWANINI UMEZIBA ENEO LA KUCHEZEA WATOTO USIKU? NILIBAKI NA BUTWAA! SIKUMJIBU NAE ALIPOCHOKA KUSIMAMA AKAONDOKA ZAKE!
HAYO KWANGU NI MAAJABU MENGINE YA CHUMVI NIMEPENDA KUSHARE NANYI WANA JF WENZANGU
MKOANI MKUU TENA KATIKATI YA NCHI BRO!Mmh NZURI PESA ni Dar ama mkoani? Pls if you don't mind