nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,953
- 5,823
Hakika ni Tiba ndugu, shukran sana. Mungu aliye hai akuongezee maarifa nduguVp imefanya vema?
Hakika ni Tiba ndugu, shukran sana. Mungu aliye hai akuongezee maarifa nduguVp imefanya vema?
Hakika ni Tiba ndugu, shukran sana. Mungu aliye hai akuongezee maarifa ndugu
Biashara yangu sasa iko vizuri, mwili wangu naona umekuwa mwepesi mno kiutendaji na kimaamuzi. Napata usingizi vizuri sana, nikiamka asubuhi sisikii uchovu kama zamaniMkuu naomba kuuliza ilikusaidia kitu gani au ugonjwa gani.
Mkuu nsanzu ni vizuri ukifafanua ili wengine tujifunze umeitumiaje katika kuweka mazingira mazuri ya kibiashara.?Biashara yangu sasa iko vizuri, mwili wangu naona umekuwa mwepesi mno kiutendaji na kimaamuzi. Napata usingizi vizuri sana, nikiamka asubuhi sisikii uchovu kama zamani
Bundi akilia juu ya paa,chukua chumvi kiasi na moto halafu nyunyiza chumvi kwenye moto elekezea bundi alipo atajiharishia na kuondoka zake dakika hiyo hiyo.Hii nime prove several time enzi hizo kijijini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yakobo, tafadhali tume mfano wa namna na maneno unayotumia.katika kunuizia...CHUMVI NI DAWA NZURI SANA NA UONDOA MIKOSI UKIINUIA VIZURI WAKATI WA KUITUMIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo inabidi wazae na weweMi hua naamini kua wachawi wapo siku zote yawezekana wala hawana mpango na wewe lakini ukianza kujihami watajiuliza kama wanakuachaga kumbe wewe ni mpinzani hodari
Mimi nimelelewa na babu yangu, nikiwa mtoto mdogo pindi mvua kubwa ikinyesha na upepo mkali kwa pamoja nilikuwa naona babu yangu Anachukua chumvi na kurusha nje.
Mara baada ya kitendo hicho, mvua na upepo mkali hutulia tuli. Na mvua inaaza kunyesha kawaida.
mkaa tayari, Chumvi ratiba inaanza leoHabarini za usiku huu
Ningependa kushare nanyi hii tiba mbadala ya chumvi kwa wale waamini na wenye uhitaji, hii si uchawi ushirikina wala ulozi na wala huhitaji kwenda kwa 'mtaalam' kupoteza pesa na muda wako huku ukiwa kwenye hatari ya kutapeliwa nk
Chumvi yenye matokeo bora ni chumvi ya mabonge, au ile chumvi ya kuchimba kwa vifaa vya kawaida (epuka chumvi ya viwandani ni mfu) japo inaweza kusaidia kwa kasi chake
Chumvi ni kinga bora kwa nguvu hasi zote ushirikina na nguvu nyingine za giza! Hata wale wanaohisi kuibiwa ama kuchafuliwa nyota zao, stimulus bora ni chumvi... Hata zile hatari nyingine katika ulimwengu wa roho, zote zinazokunyelemea kinga kuu pamoja na sala na imani yako kwa Mungu ni chumvi
MATUMIZI
Chukua kiasi kidogo cha chumvi nyunyizia kuzunguka kitanda, chumba au hata nyumba yako, fanya hivyo huku ukinia ama kunuizia yale utakayo... Fanya ukiamini na kumaanisha.
Hapo hiyo ni kinga ya kujikinga na nguvu hasi lakini ukitaka kusafisha nyota yako(mtima/aura) kila uogapo weka chumvi kidogo kwenye maji kisha ogea..... Masharti ya kuoga ni siku 7 14 au 21 ama la mara 7 14 au 21
Nb: hii haipingani na imani yako kwakuwa hata kwenye maandiko tunaona chumvi ilivyotumika kutakasaView attachment 552038
Mubashara:
Pamoja na kwamba mada yetu ni ya chumvi lakini nakupa nyongeza ya hii ya kipande cha mkaa kwa wale wenzangu wa Uswazi kwenye chumaulete zongo na kulogana kusikoishaView attachment 552039
Alamsiki.......!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app